Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
To that point, zitto hve already declared the defeat.
Kuleta tuhuma mpya na kuhalalisha kuwa zako ni za kweli ni kukiri hufai kabisa na kwamba hutaki kuondolewa peke yako which is the fact, you must go! Pia umethibitisha Mbowe alipokea hela ikatumiwa na chama we umepokea kwa ajili ya kuisaliti CDM na watz na kuanza kujijenga kwa maslahi yako sasa kimenuka be wise otherwise unaendelea kujimaliza kaka!
mbowe naye ajibu tuhuma zake,kama kweli amekuwa akichukua hella za ccm apigwe chini kwa speed ya ajabu.
Teh teh teh!kama na wewe unavyonuka!Nimeamini maneno ya CDM kuwa saccos ya baadhi ya watu.... kimenuka..
Huyo kifaranga tu mganga njaa watu wanamtaka mama yake Mohamedi Mtoi kajichokea anaishi kwa kupandisha bendera na kufunga spika kwenye mikutano na kutumwa kwa Josephine na yule mwanamke aliyekuwa na Mbowe Dubai.Chadema kwa Mipasho bwana, chek hii ya Mohamed Mtoi kwa Dr. Kitila Mkumbo
Mohamedi Mtoiposted toKitila Mkumbo
6 hours ago
MJUMBE HAUWAWI.....
Naomba nisaidie kumfikishia ujumbe huu ndugu yangu katika imani Bwana "Zitto Zuberi kabwe"
Ujumbe wenyewe uko hapo chini huku nikitambua kuwa unakumbuka vizuri Swot analysis uliyomfanyia wewe na Mwigamba kwenye Sehemu ya "Udhaifu wa Tunaye mtaka" kipengele "C' na "G"
"Kwa kuwa kwenye majibu yako sehemu fulani uliamua kuongelea masuala binafsi, naomba kukumbusha kutoka kwenye mkakati wenu (Mkakati wa mabadiliko 2013) kipengele C cha sehemu ya Udhaifu wa tunayemtaka, kipengele hicho kinasema Hali ya ndoa ya tunayemtaka kutoeleweka msimamo wake na katika mkakati huohuo kipengele g kwenye uchambuzi wenu, wenzako wakasema tena .Kuna mambo ambayo ni haki ya mtu mfano mahusiano binafsi ya kimapenzi, kuwa na marafiki wa damu kutoka upande mwingine wa utawala nk
Kwa kufuata msingi wa kipengele g kuwa mapenzi na mahusiano ni mambo binafsi, naomba nami niache kujalidili hili kama wewe ulivyo lijadili kwa mwenyekiti wako aliye ku-groom na kuchangia sehemu kubwa ya wewe kufika hapo ulipofika kisiasa, kwa kuwa kujadili itakuwa ni kujadili mambo binafsi.
Ila kwa umuhimu wa kipekee wa kutokulijadili mambo binafsi, naomba pia nikunipe fursa ya kumkumbuka Amina Chifupa na Mohamedi Mpakanjia ambao wote ni marehemu (RIP) pamoja na wahanga wengine".
cc Kitwange, #Ritz , Mohamedi Mtoi
HAYA NDIO MANENO YA MWENYEKITI WA CHADEMA AKIJITETEA KUHUSU TUHUMA ZA KUPOKEA HELA ZA RUSHWA KUTOKA KWA ROSTAM NA MKONO NASEMA HIVI SIAMINI MANENO YA ZITTO LAKINI SIAMINI HUU UTETEZI KUWA UNATOSHA KUJISAFISHA KWA MWENYEKITI PLEASE COME CLEAN MR. CHAIRMAN!!
bora mbowe anahongwa 100m kuliko wewe unayehongwa chips mayai ya 1500 na unagawa hiyo kitu
Nimeamini maneno ya CDM kuwa saccos ya baadhi ya watu.... kimenuka..
ni mahakama tu inaweza kukusafisha. william hebu muulize mwenzio zitto kwanini kule fb alipost baadaye akaedit kama kweli alikuwa na uhakika?