Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We nina shaka na akili zako... hao tembo waliouwawa unaita porojo..!!!Mkuu, tutajie nani anafaa kuchukua nafasi ya kuwa mwanasiasa mwadilifu ndani ya chadema. Acha porojo hizo
Mbona serikali ilivyoanza kuchukua hatua mlilialia kwa kuwatumia akina Kangi Lugola?We nina shaka na akili zako... hao tembo waliouwawa unaita porojo..!!!
Naona pamoja na wajumbe kufungwa macho na fisadi Mbowe, sasa nadhani watafunguka na kumjadili kwa pesa ambazo amekuwa akipokea toka CCM, pia Dr. Slaa ambaye hata kadi ya CCM hajarudisha.
Tulishasema hawa ndo wasaliti wana wasingizia wengine, mengi tu yatakuja hapa. Hivi inakuwaje unamwomba Baba yako akupe hela umpelekee Mama yako halafu unamwambia Mama nakukopesha pesa hii na kweli Mama yako bila kujua anatafuta huku na kule anakulipa.
Jamani Mbowe uwe na hofu ya Mungu, utakufa vibaya sana. Pesa za Mkono kapewa yeye anakuja kuwakopesha CHADEMA, kwani alipewa zake binafsi au alipewa za Chama?
Hivi hiki chama kina akaunti kweli au inatumika ya Mbowe?
Mkuu, yaani chama hiki kila anayepata mpenyo wa kuongoza anawaza kufilisi chama tu. ndo maana hakina maendeleo licha ya misaada mingi kupataKadima ni genge la wezi
Wewe una uraia wa nchi gani? Kwa nini pia unapenda kufananisha chama cha siasa na SACCOS?Nimeshawahi kusema hapa nikaishia kushambuliwa nakutulizwa lakini leo nitasema tena CCM na CHADEMA ni watu wenye tabia sawa. Kiukweli ninaanza kuamini labda ndiyo tabia zetu Watanzania.
Aaaah, hivi kweli wanaccm wameishiwa hoja kiasi hiki kiasi kwamba kuzungumza hata kuandika mambo ya maana mmeshindwa, hebu tafuteni hoja nzuri za kuweza kumtia hatiani Mbowe zenye ushahidi wa kutosha siyo hizo taralila zenu. Nilimsikia hata father god wenu (Mwigulu) jana kwenye kuaga mwili wa marehemu Dr. Mgimwa nilishangaa sana hivi kweli hayo maneno ya mke mwenza yanaweza yakamtia hatiani Mbowe au Dr. Slaa?!!!!!
Imekuangusha wewe gamba. Makamanda full shangweeee!!
Usajili Mpya Lumumba B7FC!
Huyu ndiye kasajiliwa leo kujaza nafasi iliyo achwa wazi na Le mutuz au?Aahahahahahaha