Zitto adai alichosema Askofu Mwingira kiliwakumba Watanzania wengi wakati wa utawala wa Hayati Dkt. Magufuli

Unakaa na familia yako eti unaamini maneno ya zito?
Itatakiwa upimwe akili kwa afya ya badae.
Kutetea legacy ya HAYAWANI ngumu sana.
Hata kama Zitto ni mnafiki , mnajisaulisha Magufuli alivyopora mali za bilionea Mbowe .
 
Tatizo la zitto ni unafiki, akipata nafasi ya kukutana na watawala anabadilika mazima. Umesahau juzi huyuhuyu alimuombea Mbowe msamaha kwa kosa ambali halipo badala ya kuwaambia watawala wamuachie Mbowe
 
Tatizo la zitto ni unafiki, akipata nafasi ya kukutana na watawala anabadilika mazima. Umesahau juzihuyuhuyu alimuombea Mbowe msamaha kwa kosa ambali halipo badala ya kuwaambia watawala wamuachie Mbowe
Hiyo ndio shida kubwa aliyonayo-hili liko wazi sana.
 
kwa jinsi munavyokwenda tutasikia bashite nayeye analia kwamba alitishiwa na utawala wa mwendazake.

na mbuzi watamuunga mkono.
 
Ulaaniwe zitto kabwe. Tume ya nini wakati awamu ya nne watu walilia kwa ufisadi kupora haki na mali ya umma. Ufisadi ulitawala hadi kwa majaji mahakamani.
Awamu ya 5 ilisafisha dhuluma halafu mnasema watu walidhulumiwa? Hiyo tume ikiundwa na waadilifu badala ya kushutumu awamu ya 5 wahuni wote waliyosalia watanyang'anywa mali za umma na dhuluma kwa wengine.
 
Hapa tusubili kauli ya Muliro akimtaka Zitto ajisalimishe.
 
Pumbavu kabisa, Iddy Amini alikuwa dictator kwakuwa aliua Waganda wote?
Ahaaa, acha hasira. Kwa hiyo yaliyotokea Uganda wakati wa Amin yalitokea hapa Tanzania wakati wa JPM?
 
Ujue Mwingira hakutumia hata chembe ya akili kwa alichosema, nawe Zitto unaunga mkono?
 
Miaka mitano iliyopita hii nchi haikuwa na raisi bali ni tapeli tu alikua
 
Wote wenye chuki na Magufuli ni kwa vile aliwagusa in one way or the other. Na ni ubinafsi wa kiwango cha kutisha kwamba kiongozi wa nchi akigusa maslahi yako basi umchukie, akipendelea maslahi yako basi huyo mtu ni malaika. Maslahi ya mtu binafsi yakiwa kinyume na maslahi mapana ya nchi na watu wake, na ukaguswa, msitupigie makelele siye. Rais alikuwa akifanya kazi yake, hakwenda pale kuimba kumbaya na kudance na matapeli.

Mzee alifanya kazi yake kwa umahiri na kwa ushindi, matunda tuliyaona na tunazidi kuyaona. Duniani kaacha alama, hilo ndilo la msingi.
 
Waliosema YESU asulubiwa,walipoona yaliyotokea wakati YESU anakata roho walikili kuwa YESU alikuwa mtu mwenye haki.
Lakini tangu mungu mtu akate roho hata malaika wake wanasema huyo mtu alikuwa zaidi ya shetani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…