OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Tumeshakwambia Mbowe hahitaji kusamehewa anahitaji kuachiwa huru kwa sababu kesi ni ya kubumba. Mbona huelewi wewe wakala?
Wa kuomba msahama ni Rais Samia sio Mbowe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji38][emoji38][emoji38]View attachment 2046053
Tumeshakwambia Mbowe hahitaji kusamehewa anahitaji kuachiwa huru kwa sababu kesi ni ya kubumba. Mbona huelewi wewe wakala?
Wa kuomba msahama ni Rais Samia sio Mbowe
Ndiyo. Mbowe hana kosa; asamehewe kwa vipi?View attachment 2046053
Tumeshakwambia Mbowe hahitaji kusamehewa anahitaji kuachiwa huru kwa sababu kesi ni ya kubumba. Mbona huelewi wewe wakala?
Wa kuomba msahama ni Rais Samia sio Mbowe
Mkwere alisema hela ile siyo ya Serikali hamkumuelewa?Mbona Rugemalira alisamehewa?!
Acheni upuuzi wenu, mmetulia majumbani mwenu na familia zenu mwezenu anasota jela. Mnazani Mbowe atatoka kwa hashtag zenu! Chadema imeshapoteza mwelekeo, mpo disorganized sana katika hili, mwezenu anateseka nyie mnapiga porojo tu.View attachment 2046053
Tumeshakwambia Mbowe hahitaji kusamehewa anahitaji kuachiwa huru kwa sababu kesi ni ya kubumba. Mbona huelewi wewe wakala?
Wa kuomba msahama ni Rais Samia sio Mbowe
Mbona Rugemalira alisamehewa?!
Raisi aombe radhi kwa upuuzi upi?View attachment 2046053
Tumeshakwambia Mbowe hahitaji kusamehewa anahitaji kuachiwa huru kwa sababu kesi ni ya kubumba. Mbona huelewi wewe wakala?
Wa kuomba msahama ni Rais Samia sio Mbowe
Yaan hawa wapuuzi bora hata MBOWE atoke anaeleweka.Acheni upuuzi wenu, mmetulia majumbani mwenu na familia zenu mwezenu anasota jela. Mnazani Mbowe atatoka kwa hashtag zenu! Chadema imeshapoteza mwelekeo, mpo disorganized sana katika hili, mwezenu anateseka nyie mnapiga porojo tu.
Mbowe the GreatNchi nzima inacheza chorus ya sebene la Freeman Mbowe
Nyie ndio mliomfunga vipi mbona mnahaha atoke? Nini kimeharibika?Yaan hawa wapuuzi bora hata MBOWE atoke anaeleweka.
Maana Tangu Mbowe awe ndani haieleweki wanataka nin?
Alifutiwa mashtaka na DPPMbona Rugemalira alisamehewa?!