Zitto akiwa mwenyekiti; naahidi kuipa CHADEMA kura zangu zote!

Zitto akiwa mwenyekiti; naahidi kuipa CHADEMA kura zangu zote!

Kwa sababu zito ni muislamu na ni mkigoma hawezi kuongoza chama cha wachaga na wakristo ilo tu mzee
Hivi ilikuwaje mpaka Zitto akawekewa kizuizi ili asigombee uenyekiti, nikumbushe ni kikao gani kilifanyika kumkataa Zitto asiwe mwenyekiti wa CHADEMA!
 
Nyerere alishawahi kusema: Mtu mwerevu akikushauri jambo la kipumbavu huku yeye akijua ni la kipumbavu halafu wewe ukalikubali atakudharau!
 
Mkuu, nina ushawishi kwenye jamii, hivyo sio tu mimi ambae nitapigania CHADEMA ishinde (endapo Zitto akiwa mwenyekiti), bali hata vijana na wazee watajumuika na mimi kuhakikisha hilo linafanikiwa.

Sasa si umwombe Zitto awe mwenyekiti wa familia yako?
 
Ubakie huko huko Magambani,Huku hatukutaki!

na kweli hatumuhitaji kwani yeye haangalii sera anaangalia mtu sasa sijui mumewe huyo anayempigia upatu hatuwezi jua bwana yasije kuwa yale ya mama mugabe.....DORAHA
 
Chadema,hatudanganyiki! Ukombozi wa nchi hii utapatikana kwa nguvu ya umma,maana tumegundua adui wa nchi hii ni system nzima ya utawala wa ccm! So tunapambana na hawa mashetani (ccm) magamba chadema inawanyima usingizi maana mmetusingizia kesi za kila aina na ugaidi ! Lkn bado tupo imara na mtaongea yote yataisha.! Mmebakia kama mfa maji.....maskini siku za utawala wenu zimeisha hamjastuka tu!.?
 
Leo "mateja" hawana maana kwenu?, mbona mnyika alikuwa akiwasomba kwenye malori ili wakampigie kura awe mbunge wa jimbo la Ubungo?

Astakafirulah! Unampa kura zote?! na za wapi nyingine? au unampa na nini kingine?
 
Swali la kujiuliza; Ni kwanini Mbowe, Mtei, Ndesamburo, Dr Slaa, Lema, Mnyika Nassary et al hawataki Zitto awe mwenyekiti CHADEMA?

Swali la kujiuliza ni kwa nini miaka ya 2005-2008 tulikuwa tunataja Mbowe,ZItto, Slaa, Mtei; sasa tunataja Mbowe, Mtei, Ndesamburo, Dr Slaa, Lema, Mnyika,Msigwa, Lissu, Sugu, Wenje, Mdee, Nassary et al na Zitto kajitoa kwenye hii list?. Siasa za akina Lyatonga siyo nzuri kweli!.
 
jipange kwanza...............then andikisha jina lako ktkt kitabu cha wapiga kura
 
Nimesha tolea ufafanuzi hilo kwenye post yangu ya kwanza, nimesema Zitto ndio sababu ya CHADEMA kuwa hapa ilipo kwani alijitoa sana kwenye hicho chama, wewe soma post kuu utaelewa tu.

kwa hiyo zitto peke yake ndio kaifanya CDM kuwa hapo ilipo?if that is not the case,how about other fellows?
 
WanaJF!

Binafsi nina amini katika 'uongozi' na sio hali ya taasisi, hii ni kwa kumaanisha kuwa endapo akipatikana kiongozi bora, basi hata taasisi iwe hoi namna gani itanyooka tu na kuwa yenye tija na yenye manufaa makubwa kwa umma.

Nina yasema haya kwa kutambua kuwa hivi karibuni una tarajiwa kufanyika uchaguzi wa ndani ya CHADEMA ambao umekuwa ukifanyika kwa kila baada ya miaka mitano, hivyo mimi kama mwananchi mpenda amani, haki na usawa, nimeona nitoe yaliyo moyoni kuhusu uchaguzi huo.

Zitto ni kijana ambae amehusika kwa kiasi kikubwa katika haya mabadiliko tunayo yaona hivi sasa kwa CHADEMA na taifa kwa ujumla wake, ni kijana ambae amejitoa kuhakikisha haki ina tolewa, usawa una kuwepo na sheria zinafuatwa, na hayo amekuwa akihakikisha yanafanywa na kuonekana kufanyika.

Zitto ndiye amekuwa tanuru la vuguvugu lenye kutoa hamasa na ujasili kwa vijana kuamka na kuhoji juu ya mambo mbalimbali yanayogusa mstakabali wa taifa letu, kwani itakumbukwa vijana wengi walijiunga na CHADEMA kwa kuvutiwa na ushawishi wa Zitto, uwezo wa kujenga hoja na uzalendo wake.

Aidha, itakumbukwa kuwa Zitto ndiye aliye ifyeka njia na kuwaandalia mazingira ya kuaminiwa na wananchi hawa wabunge wapya wa CHADEMA, kwani ni Zitto ndiye aliyekuwa akiibua mambo mbalimbali ya kifisadi serikalini, hii ilijenga imani kuwa ya wananchi kwa kijana huyu na kupelekea CHADEMA kujulikana nchini.

CHADEMA (nikiwa na maana ya wanachama) kama itajivika ujasiri na kukataa hali ya kuendeshwa na kikundi cha watu wachache na ikathubutu kumpa ridhaa ndugu Zitto nafasi ya uenyekiti wa chama hicho, binafsi nitatoa kura zangu kuanzia ya urais, ubunge mpaka udiwani kwa CHADEMA bila kujali ni nani aliye simamishwa kugombea nafasi hizo (soma aya ya kwanza).

ANGALIZO: USHABIKI WA ITIKADI ZA KISIASA NI KIKWAZO KWA MAENDELEO YA NCHI.


Nakukumbusha:Jana kwa siku nzima ulisahau kumtaja Dr Slaa,utafutiwa ajira.
 
hivi hi ID wanatumia wangapi? maana uwa simuelewi au ubongo wake unabadilika kila mara, hivi bungeni siku hizi anatumia ID ipi? maana akili zao zinafanana. si lazima agombee cdm kuna vyama vingi, kwanini usishauri aende chausta agombee huko umpe kura yako, inaonesha jinsi gani unalikubali chama la cdm.
 
ZITTO KABWE kuwa mwenyekiti wa CHADEMA ni sawa na SHIBUDA kupewa cheo cha SLAA.[#DU! SHIBUDA PANDIKIZI LA MAGAMBA uliweke kuwa mwenyekiti aisee! CDM is so keen so that's why
is still surviving/but there is a need to mixup leadership chairpersons to make the taste of nationality!must done keenly||
 
Mwanzisha uzi huwa ana kura zaidi ya moja (Magamba tupu)
 
WanaJF!

Binafsi nina amini katika 'uongozi' na sio hali ya taasisi, hii ni kwa kumaanisha kuwa endapo akipatikana kiongozi bora, basi hata taasisi iwe hoi namna gani itanyooka tu na kuwa yenye tija na yenye manufaa makubwa kwa umma.

Nina yasema haya kwa kutambua kuwa hivi karibuni una tarajiwa kufanyika uchaguzi wa ndani ya CHADEMA ambao umekuwa ukifanyika kwa kila baada ya miaka mitano, hivyo mimi kama mwananchi mpenda amani, haki na usawa, nimeona nitoe yaliyo moyoni kuhusu uchaguzi huo.

Zitto ni kijana ambae amehusika kwa kiasi kikubwa katika haya mabadiliko tunayo yaona hivi sasa kwa CHADEMA na taifa kwa ujumla wake, ni kijana ambae amejitoa kuhakikisha haki ina tolewa, usawa una kuwepo na sheria zinafuatwa, na hayo amekuwa akihakikisha yanafanywa na kuonekana kufanyika.

Zitto ndiye amekuwa tanuru la vuguvugu lenye kutoa hamasa na ujasili kwa vijana kuamka na kuhoji juu ya mambo mbalimbali yanayogusa mstakabali wa taifa letu, kwani itakumbukwa vijana wengi walijiunga na CHADEMA kwa kuvutiwa na ushawishi wa Zitto, uwezo wa kujenga hoja na uzalendo wake.

Aidha, itakumbukwa kuwa Zitto ndiye aliye ifyeka njia na kuwaandalia mazingira ya kuaminiwa na wananchi hawa wabunge wapya wa CHADEMA, kwani ni Zitto ndiye aliyekuwa akiibua mambo mbalimbali ya kifisadi serikalini, hii ilijenga imani kuwa ya wananchi kwa kijana huyu na kupelekea CHADEMA kujulikana nchini.

CHADEMA (nikiwa na maana ya wanachama) kama itajivika ujasiri na kukataa hali ya kuendeshwa na kikundi cha watu wachache na ikathubutu kumpa ridhaa ndugu Zitto nafasi ya uenyekiti wa chama hicho, binafsi nitatoa kura zangu kuanzia ya urais, ubunge mpaka udiwani kwa CHADEMA bila kujali ni nani aliye simamishwa kugombea nafasi hizo (soma aya ya kwanza).

ANGALIZO: USHABIKI WA ITIKADI ZA KISIASA NI KIKWAZO KWA MAENDELEO YA NCHI.

Zito yupi huyo unayemsema? Ni Yule wa 2007 aliyekomaa na sakata la Buzwagi au ni huyu wa cku hizi anayebwabwaja tu hasa baada ya kukubali Kuwa mjumbe wa tume iliyopitia mkataba mibovu ya madini, Huko ndo kuna agenda ya Siri dhidi ya zito wako.
 
sasa utabigaje kula wakati wewe si mwan CDM, ndo maana tunasema hatukutaki

Sijasema naamia CHADEMA, nimeahidi kuipigia kura CHADEMA endapo Zitto akiwa mwenyekiti. Naomba ieleweke hivyo.
 
Back
Top Bottom