Zitto akiwa mwenyekiti; naahidi kuipa CHADEMA kura zangu zote!

Umelonga mzee!!! sasa hivi hakuna kiongozi anayekubalika kama Zito hapa Tanzania. Kumbuka mada zake matukio yake mengi huongea kwa ajili ya nchi na watu wake hajali Kigoma peke yake. Kumbuka alipotofautiana na viongozi wenzake Chadema kwa kumsifia Kikwete kwamba ndiye raisi wa kwanza Tanzania kujenga barabara ya lami Kigoma kabla ya hapo hakukuwa na lami mkoa mzima wa Kigoma ukiachia km 2 tu za mkoloni.Hii inaonyesha jinsi asivyojali hata maslahi ya chama inapokuja swala la ukweli na Utanzania.NAWAASENI WATANZANIA MKITAKA MABADILIKO YA KWELI SIMAMENI KIDETE HUYU KIJANA TUMSIMIKE VINGINEVYO HAYA MATATIZO YA KILA KITU MTOTO WA BABA KAKA,SHEMEJI KABILA FULANI UKOO FULANI, DINI FULANI AMETOA KITU KIDOGO KUWA KIONGOZI AU KUPEWA MAMLAKA FULANI HAYATOISHA. TUNAKOELEKEA SASA HIVI TUNAKWENDA KUCHAPANA KWANI UVUMILIVU UNAELEKEA MWISHO. MAJESHI POLISI SASA HIVI HAYAMSIKILIZI TENA AMIIRI JESHI WAKE.TUNAKWENDA WAPI!!!!!!!!!!!!KILIO TUIKOMBOE TANZANIA
 

Anza kwanza kufikiria nani atamrithi mwenyekiti wako wa chama kabla hujarukia vyama vingine
 
Anza kwanza kufikiria nani atamrithi mwenyekiti wako wa chama kabla hujarukia vyama vingine

kweli ukweli Unauma, mwaka 2000-2005 Mbowe alikuwa bungeni hem nambie alifanya nini? na zito kafanya nini 2005-2010! kisha kama wewe ni mzalendo utatoa majibu sahihi kabisa
 
kweli ukweli Unauma, mwaka 2000-2005 Mbowe alikuwa bungeni hem nambie alifanya nini? na zito kafanya nini 2005-2010! kisha kama wewe ni mzalendo utatoa majibu sahihi kabisa

Ukweli gani?, kwanini nini CCM mnataka sana ZZK awe mwenyekiti?, hilo suala waachieni wana CDM wenyewe watajua mbivu na mbichi, sio ww na mwenzako ambao si wanachana
 
kweli ukweli Unauma, mwaka 2000-2005 Mbowe alikuwa bungeni hem nambie alifanya nini? na zito kafanya nini 2005-2010! kisha kama wewe ni mzalendo utatoa majibu sahihi kabisa

Lowassa na JK nani alikuwa mchapakazi?,kwanini hamkumpa Lowassa uwenyekiti mkampa JK?,jibu kwanza hili swali na mimi ntajibu lako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…