AmenMagufuli alikua ni messenger of God to Tanzanians.
Kumbafu kabisaMagufuli alikua ni messenger of God to Tanzanians.
Risasi ni kitu cha kawaida. Hata majambazi hupigwa risasiHuyu jiwe alikuwa mnyama.
Tundu Lissu: Walionipiga risasi ni Kikosi Kazi cha Ofisi ya Rais chini ya Mkuu wa TISS, Balozi Kipilimba
Mh. Tundu Lissu awataja waliohusika kumshambulia. Tundu Lissu amesema Walionipiga risasi ni Kikosi kazi kilichopo chini ya Rais kikisimasimaiwa na Mkuu wa TISS Kipilimba. Kikosi kazi kimeua watanzania wengi sana. Kimeua watu wengi sana, Kilijumuisha watu wa Usalam wa taifa, Watu wa Jeshi la...www.jamiiforums.com
J.p.m nikama majiMwangalie alivyomsifia kinafiki baada ya kubanwa maswali na wanahabari.
Amekubali kuwa watanzania walitaka Rais dikteta tangu awali kutokana na ufisadi na uzembe kazini ila kwa unyonge sana.
Zitto anaumia sana kuona watu hata hao wanahabari bado wanamuona Magufuli kama shujaa anakosa amani kabisa hata michango ya wanajf inamuumiza.
Anashauri mazuri ya Magufuli yafanyiwe kazi akiyaita kwa English (gains) anaona sasa uzembe umerejea kwa kasi.
Kiufupi simuoni mwanasiasa wa kupambana na legacy ya Magufuli.
USSR
View attachment 2523990
Walimhujumu na sasa karma imeanza kuwaumbua taratibu!Mwangalie alivyomsifia kinafiki baada ya kubanwa maswali na wanahabari.
Amekubali kuwa watanzania walitaka Rais dikteta tangu awali kutokana na ufisadi na uzembe kazini ila kwa unyonge sana.
Zitto anaumia sana kuona watu hata hao wanahabari bado wanamuona Magufuli kama shujaa anakosa amani kabisa hata michango ya wanajf inamuumiza.
Anashauri mazuri ya Magufuli yafanyiwe kazi akiyaita kwa English (gains) anaona sasa uzembe umerejea kwa kasi.
Kiufupi simuoni mwanasiasa wa kupambana na legacy ya Magufuli.
USSR
View attachment 2523990