Zitto ashauri iundwe kampuni ya ubia kati ya DP World na Tanzania kuendesha bandari

Zitto ashauri iundwe kampuni ya ubia kati ya DP World na Tanzania kuendesha bandari

Ni mara elfu Zito Kabwe na ACT Huwa wanakuja na alternative solution na wako optimistic kuliko Machadema Huwa ni Majinga na Yasiyo na Suluhisho..

Chadema ni chama Cha hovyo sana eti nao wanataka Wapewe madaraka wakati hawajawahi kuwa na suluhisho.

Kazi wanayoweza Chadema ni kutukana,kulaumu,kupinga Kila kitu,ulalamishi,kujisifu huko Twitter,kuonesha picha za nyomi na ujinga mwingine..

Chadema ni Moja ya chama Cha hovyo na kimejaa wasalatonge ,njaa tupu.😁😁

Chadema mna Mengi ya kujifunza Kwa Zito na ACT Wazalebdo..

----
Chama cha ACT- Wazalendo kimetoa mapendekezo kwa serikali kuhusu suala la mkataba wa ushirikiano kati ya serikali ya Tanzania na Dubai juu ya usimamizi wa shughuli za bandari ambapo kimetaka wawekezaji hao kuanzisha kampuni ya uendeshaji wa bandari nchini ambayo itakuwa na umiliki wa asilimia 50 kwa 50 kati ya Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) na kampuni ya DP World.

Akizungumza Kiongozi Mkuu wa chama cha ACT- Wazalendo, Zitto Kabwe amesema kampuni hiyo inaweza kuitwa Tanzania-Dubai Ports Limited (TDPL) ambayo uwepo wake utasaidia kuondoa hofu kwa wananchi pamoja na Tanzania kuwa na udhibiti wa kila kitu katika uwekezaji huo.

Pendekezo la pili, imetaka mkataba wa uendeshaji wa bandari uingiwe kati ya TPA na Kampuni hiyo ya Ubia (TDPL) ambayo itatoa asilimia 50 kwa 50 ili kuhakikisha maslahi ya nchi yanalindwa.

“Tunataka asilimia 50 katika kampuni ya uendeshaji, tunataka makubaliano yote ambayo nchi yetu itaingia na wawekezaji yapitie hiyo kampuni ambayo TPA ina asilimia 50 na mwekezaji ana asilimia 50. Mwekezaji analeta hela na teknolojia, sisi tunatoa bandari yetu na ardhi yetu, 50 kwa 50 wawekeze tuongeze ufanisi ambao unatakiwa katika nchi yetu,” amesema.

Chama hicho pia kimependekeza kampuni ya DP World isifanye uwekezaji wowote kwenye bandari shindani na bandari za Tanzania hususani bandari za nchi jirani bila kujadiliana na Serikali ya Tanzania (exclusivity).

Credit: SwahiliTimes
Usipoitaja Chadema hupungukiwi na kitu
 
Cdm imewahi toa mapendekezo yapi unayoyajua wewe?

Au Kuna Chadema nyingine tofauti na hii ya walalamishi wasio na suluhisho? Nitajie mapendekezo Yao ya kuhoresha Ufanisi wa Bandari
Mapendekezo yangu kama Rai suluhisho baada yac ccm kushindwa kuisimamia malizetu inatosha kukaa pembeni kuwapisha vyama vingine kusimamia mali zetu.
 
Huo ndio ushauri wa hovyo kweli yaani Tanzania iwape DPW 50% ya bandari.

Kitu serikali inachoenda fanya ni kama BTO (Build, Tranfer, Operate) contract. Wanatoa hela zao kufanya uwekezaji, mali inakuwa ya TPA.

DPW wanapewa muda wa ku-operate kuongeza ufanisi na kurudisha hela yao taratibu huku serikali ikuchukua percentage ya hayo mapato ya upande wao ikitaka. Hela ya uwekezaji ikirudi na mkataba unaisha, kwenda mbele baada ya hapo wakiongezewa muda hela yote inayokusanywa inakuwa ya serikali wao wanalipwa managing fees tu.

Sasa ukawepa 50% ya shares wavune, halafu kuwatoa ununue tena hizo shares; hiyo ndio akili gani.
Kwani Kwa mkataba wa Sasa Mali inakuwa ya nani mbona unaongea vitu ambavyo ndio itakavyokuwa?
 
Ni mara elfu Zito Kabwe na ACT Huwa wanakuja na alternative solution na wako optimistic kuliko Machadema Huwa ni Majinga na Yasiyo na Suluhisho..

Chadema ni chama Cha hovyo sana eti nao wanataka Wapewe madaraka wakati hawajawahi kuwa na suluhisho.

Kazi wanayoweza Chadema ni kutukana,kulaumu,kupinga Kila kitu,ulalamishi,kujisifu huko Twitter,kuonesha picha za nyomi na ujinga mwingine..

Chadema ni Moja ya chama Cha hovyo na kimejaa wasalatonge ,njaa tupu.😁😁

Chadema mna Mengi ya kujifunza Kwa Zito na ACT Wazalebdo..

----
Chama cha ACT- Wazalendo kimetoa mapendekezo kwa serikali kuhusu suala la mkataba wa ushirikiano kati ya serikali ya Tanzania na Dubai juu ya usimamizi wa shughuli za bandari ambapo kimetaka wawekezaji hao kuanzisha kampuni ya uendeshaji wa bandari nchini ambayo itakuwa na umiliki wa asilimia 50 kwa 50 kati ya Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) na kampuni ya DP World.

Akizungumza Kiongozi Mkuu wa chama cha ACT- Wazalendo, Zitto Kabwe amesema kampuni hiyo inaweza kuitwa Tanzania-Dubai Ports Limited (TDPL) ambayo uwepo wake utasaidia kuondoa hofu kwa wananchi pamoja na Tanzania kuwa na udhibiti wa kila kitu katika uwekezaji huo.

Pendekezo la pili, imetaka mkataba wa uendeshaji wa bandari uingiwe kati ya TPA na Kampuni hiyo ya Ubia (TDPL) ambayo itatoa asilimia 50 kwa 50 ili kuhakikisha maslahi ya nchi yanalindwa.

“Tunataka asilimia 50 katika kampuni ya uendeshaji, tunataka makubaliano yote ambayo nchi yetu itaingia na wawekezaji yapitie hiyo kampuni ambayo TPA ina asilimia 50 na mwekezaji ana asilimia 50. Mwekezaji analeta hela na teknolojia, sisi tunatoa bandari yetu na ardhi yetu, 50 kwa 50 wawekeze tuongeze ufanisi ambao unatakiwa katika nchi yetu,” amesema.

Chama hicho pia kimependekeza kampuni ya DP World isifanye uwekezaji wowote kwenye bandari shindani na bandari za Tanzania hususani bandari za nchi jirani bila kujadiliana na Serikali ya Tanzania (exclusivity).

Credit: SwahiliTimes
Mtazamo wa ACT ni wakizanzibari zaidi, hao waarabu wachache wanaakili kuliko watanzania milioni 15? Kama ni hivyo tufunge chuo cha bandari cha nini?
 
Kwani Kwa mkataba wa Sasa Mali inakuwa ya nani mbona unaongea vitu ambavyo ndio itakavyokuwa?
Tofauti ya shares na BTO/BOT contracts kwa hela hiyo hiyo ya uwekezaji.

Shares anavuna bila ya muda wa kupangwa, halafu 50/50 ata management mnaamua pamoja. Na kumtoa mmbia inabidi ununue shares zake upya aijalishi amevuna miaka mingapi.

Kama kununua shares leo ambazo bandari mapato yake tsh 700 billion kwa mwaka excluding taxes. Huko mbele labda mapato ya bandari ni tsh 3 trillion inabidi ununue shares hizo kwa 1.5 trillion jumlisha na miaka yote aliyokuwa akivuna nusu ya mapato kila mwaka.

Ili uweze kununua shares za mtu mwingine kwenye kampuni inabidi we mwenyewe umiliki zaidi ya 51% majority shareholder. At 50/50 alazimishwi kukuuzia hizo hisa.

Ni ushauri wa ovyo, BTO/BOT nimeshakuelezea. Uhitaji akili ya rocket science kuona kipi bora.
 
Tofauti ya shares na BTO/BOT contracts kwa hela hiyo hiyo ya uwekezaji.

Shares anavuna bila ya muda wa kupangwa, halafu 50/50 ata management mnaamua pamoja. Na kumtoa mmbia inabidi ununue shares zake upya aijalishi amevuna miaka mingapi.

Kama kununua shares leo ambazo bandari mapato yake tsh 700 billion kwa mwaka excluding taxes. Huko mbele labda mapato ya bandari ni tsh 3 trillion inabidi ununue shares hizo kwa 1.5 trillion jumlisha na miaka yote aliyokuwa akivuna nusu ya mapato kila mwaka.

Ili uweze kununua shares za mtu mwingine kwenye kampuni inabidi we mwenyewe umiliki zaidi ya 51% majority shareholder. At 50/50 alazimishwi kukuuzia hizo hisa.

Ni ushauri wa ovyo, BTO/BOT nimeshakuelezea. Uhitaji akili ya rocket science kuona kipi bora.
 
Ni mara elfu Zito Kabwe na ACT Huwa wanakuja na alternative solution na wako optimistic kuliko Machadema Huwa ni Majinga na Yasiyo na Suluhisho..

Chadema ni chama Cha hovyo sana eti nao wanataka Wapewe madaraka wakati hawajawahi kuwa na suluhisho.

Kazi wanayoweza Chadema ni kutukana,kulaumu,kupinga Kila kitu,ulalamishi,kujisifu huko Twitter,kuonesha picha za nyomi na ujinga mwingine..

Chadema ni Moja ya chama Cha hovyo na kimejaa wasalatonge ,njaa tupu.😁😁

Chadema mna Mengi ya kujifunza Kwa Zito na ACT Wazalebdo..

----
Chama cha ACT- Wazalendo kimetoa mapendekezo kwa serikali kuhusu suala la mkataba wa ushirikiano kati ya serikali ya Tanzania na Dubai juu ya usimamizi wa shughuli za bandari ambapo kimetaka wawekezaji hao kuanzisha kampuni ya uendeshaji wa bandari nchini ambayo itakuwa na umiliki wa asilimia 50 kwa 50 kati ya Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) na kampuni ya DP World.

Akizungumza Kiongozi Mkuu wa chama cha ACT- Wazalendo, Zitto Kabwe amesema kampuni hiyo inaweza kuitwa Tanzania-Dubai Ports Limited (TDPL) ambayo uwepo wake utasaidia kuondoa hofu kwa wananchi pamoja na Tanzania kuwa na udhibiti wa kila kitu katika uwekezaji huo.

Pendekezo la pili, imetaka mkataba wa uendeshaji wa bandari uingiwe kati ya TPA na Kampuni hiyo ya Ubia (TDPL) ambayo itatoa asilimia 50 kwa 50 ili kuhakikisha maslahi ya nchi yanalindwa.

“Tunataka asilimia 50 katika kampuni ya uendeshaji, tunataka makubaliano yote ambayo nchi yetu itaingia na wawekezaji yapitie hiyo kampuni ambayo TPA ina asilimia 50 na mwekezaji ana asilimia 50. Mwekezaji analeta hela na teknolojia, sisi tunatoa bandari yetu na ardhi yetu, 50 kwa 50 wawekeze tuongeze ufanisi ambao unatakiwa katika nchi yetu,” amesema.

Chama hicho pia kimependekeza kampuni ya DP World isifanye uwekezaji wowote kwenye bandari shindani na bandari za Tanzania hususani bandari za nchi jirani bila kujadiliana na Serikali ya Tanzania (exclusivity).

Credit: SwahiliTimes
wana wazo la msingi
 
Ni mara elfu Zito Kabwe na ACT Huwa wanakuja na alternative solution na wako optimistic kuliko Machadema Huwa ni Majinga na Yasiyo na Suluhisho..

Chadema ni chama Cha hovyo sana eti nao wanataka Wapewe madaraka wakati hawajawahi kuwa na suluhisho.

Kazi wanayoweza Chadema ni kutukana,kulaumu,kupinga Kila kitu,ulalamishi,kujisifu huko Twitter,kuonesha picha za nyomi na ujinga mwingine..

Chadema ni Moja ya chama Cha hovyo na kimejaa wasalatonge ,njaa tupu.😁😁

Chadema mna Mengi ya kujifunza Kwa Zito na ACT Wazalebdo..

----
Chama cha ACT- Wazalendo kimetoa mapendekezo kwa serikali kuhusu suala la mkataba wa ushirikiano kati ya serikali ya Tanzania na Dubai juu ya usimamizi wa shughuli za bandari ambapo kimetaka wawekezaji hao kuanzisha kampuni ya uendeshaji wa bandari nchini ambayo itakuwa na umiliki wa asilimia 50 kwa 50 kati ya Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) na kampuni ya DP World.

Akizungumza Kiongozi Mkuu wa chama cha ACT- Wazalendo, Zitto Kabwe amesema kampuni hiyo inaweza kuitwa Tanzania-Dubai Ports Limited (TDPL) ambayo uwepo wake utasaidia kuondoa hofu kwa wananchi pamoja na Tanzania kuwa na udhibiti wa kila kitu katika uwekezaji huo.

Pendekezo la pili, imetaka mkataba wa uendeshaji wa bandari uingiwe kati ya TPA na Kampuni hiyo ya Ubia (TDPL) ambayo itatoa asilimia 50 kwa 50 ili kuhakikisha maslahi ya nchi yanalindwa.

“Tunataka asilimia 50 katika kampuni ya uendeshaji, tunataka makubaliano yote ambayo nchi yetu itaingia na wawekezaji yapitie hiyo kampuni ambayo TPA ina asilimia 50 na mwekezaji ana asilimia 50. Mwekezaji analeta hela na teknolojia, sisi tunatoa bandari yetu na ardhi yetu, 50 kwa 50 wawekeze tuongeze ufanisi ambao unatakiwa katika nchi yetu,” amesema.

Chama hicho pia kimependekeza kampuni ya DP World isifanye uwekezaji wowote kwenye bandari shindani na bandari za Tanzania hususani bandari za nchi jirani bila kujadiliana na Serikali ya Tanzania (exclusivity).

Credit: SwahiliTimes
Hili pendekezo halina mantik. Kinachopigiwa kelele ni mkataba mama(IGA) ambao umepitishwa kati ya serikali ya Tanzania na Dubai ambayo wengi wanaona inaipa Dubai upendeleo kupita kiasi. Haya anayopendekeza yatafanyika katika HGA ambazo hazitabadili lolote katika IGA. Kuanzishwa kwa TDPL hakutabadilisha kipengele kuwa mkataba wa IGA na hivyo nafasi ya DP World katika uendeshaji wa bandari, epz n.k. hautaweza kuvunjwa na Tanzania milele hata kama Dubai/DP World wataonekana kuukiuka kwa namna yeyote.
Hilo la kuitaka DP World ijadiliane kwanza na Tanzania kabla ya kuwekeza katika bandari za nchi jirani ni wishful thinking. Kujadiliana tu bila ya kuwa na nguvu ya kuzuia haina maana yeyote. Itakuwa ajabu sana kama DP World ataacha kuwekeza kwenye bandari ya Beira au Dry Port Malawi kama ataona inalipa hata kama serikali ya Tanzania.

Amandla...
 
Hili pendekezo halina mantik. Kinachopigiwa kelele ni mkataba mama(IGA) ambao umepitishwa kati ya serikali ya Tanzania na Dubai ambayo wengi wanaona inaipa Dubai upendeleo kupita kiasi. Haya anayopendekeza yatafanyika katika HGA ambazo hazitabadili lolote katika IGA. Kuanzishwa kwa TDPL hakutabadilisha kipengele kuwa mkataba wa IGA na hivyo nafasi ya DP World katika uendeshaji wa bandari, epz n.k. hautaweza kuvunjwa na Tanzania milele hata kama Dubai/DP World wataonekana kuukiuka kwa namna yeyote.
Hilo la kuitaka DP World ijadiliane kwanza na Tanzania kabla ya kuwekeza katika bandari za nchi jirani ni wishful thinking. Kujadiliana tu bila ya kuwa na nguvu ya kuzuia haina maana yeyote. Itakuwa ajabu sana kama DP World ataacha kuwekeza kwenye bandari ya Beira au Dry Port Malawi kama ataona inalipa hata kama serikali ya Tanzania.

Amandla...
Hivi ili la mkataba kutokuwa na muda maalum au kutoweza kuvunjwa; mmelitoa wapi kutoka katika yale makubaliano?

Ni article zipi hizo zinazo sema hayo. Vinginevyo kwa sababu mmeamua kuamini hivyo aina maana huo ndio ukweli wenyewe.
 
Mnaanza kunyunyiza oil baada ya kupigwa spana, siyo?

Hicho anachosema zitto yote yalishaongelewa humu hakuna jipya hapo. After all, TPA alishaingia mkataba na TICTS kuendesha shughuli za bandari, kwa hiyo hakuna jambo geni hapo na katika utaratibu huo huo anaweza kuingia mkataba na DP world.

Mambo ya kuingiza nchi kwenye mikataba ya kitapeli na kampuni binafsi ni kuidharaulisha nchi kimataifa.​
 

Attachments

  • IMG-20180405-WA0006.jpg
    IMG-20180405-WA0006.jpg
    36.6 KB · Views: 3
Back
Top Bottom