gigabyte
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 5,717
- 6,465
Unataka mapendekezo gani.Mko madarakani kufanya nini sasa kama mnakua hamuwezi kuongoza kwa ufanisi.yaan mnashindwa alafu unataka mshindani wako akupe mawazo yanamna yakufanya.Ukishindwa unatakiwa kukaa pembeni aongoze mwingine sio kuomba huruma zakutaka kusaidiwa.