Zitto ashauri iundwe kampuni ya ubia kati ya DP World na Tanzania kuendesha bandari

Zitto ashauri iundwe kampuni ya ubia kati ya DP World na Tanzania kuendesha bandari

Hivi ili la mkataba kutokuwa na muda maalum au kutoweza kuvunjwa; mmelitoa wapi kutoka katika yale makubaliano?

Ni article zipi hizo zinazo sema hayo. Vinginevyo kwa sababu mmeamua kuamini hivyo aina maana huo ndio ukweli wenyewe.
Ni kwa sababu hamna kipengele kinachoonyesha muda wa uhai wa mkataba ndio maana tunasema kuwa hamna muda maalum. Kipengele cha 23 kinachohusu "Duration and Termination " kinasema :
1. a. Mkataba utakoma pale tu ambapo miradi yote itaisha permanently. Hatudhani kama miradi ya bandari na maeneo mengine yaliyokuwemo katika mkataba itakuja kuisha maana kila siku kuna uboreshaji n.k.
b. (Na HGAs zote zitakapo expire pamoja na mikataba mingine. Hizo HGAs ndio zinahusika katika utekelezaji wa mkataba.
2. Kama HGA itakuwa terminated itaendelea kuwepo kwa muda ambao nchi zilizoingia katika mkataba zitaona unafaa.
3. IGA inaweza kuvunjwa kwa kibali cha mojawapo ya nchi zilizoingia katika Mkataba.
4. Hamna nchi inayoruhusiwa kuukana (denounce), kujitoa, ku usitisha kwa muda au kuuvunja huu Mkataba katika mazingira yeyote ikiwa pamoja na kuukiuka (material breach), madiliko ya mazingira, uvunjaji wa uhusiano wa kibalozi au sababu nyingine yeyote inayotambuliwa katika sheria za kimataifa (International law). Pamoja na haya, migogoro yeyote itatatuliwa kufuatana na kifungu cha 20 cha Mkataba ( kifungu hicho kinazungumzia usuluhishi ambao utafanyika Johannesburg. Hakitaji taasisi ipi ya usuluhishi itahusika).

Sasa wewe nitajie wapi pametaja muda katika huu mkataba ili watu wasiamini kuwa ni wa milele.

Amandla...
 
Ni kwa sababu hamna kipengele kinachoonyesha muda wa uhai wa mkataba ndio maana tunasema kuwa hamna muda maalum. Kipengele cha 23 kinachohusu "Duration and Termination " kinasema :
1. a. Mkataba utakoma pale tu ambapo miradi yote itaisha permanently. Hatudhani kama miradi ya bandari na maeneo mengine yaliyokuwemo katika mkataba itakuja kuisha maana kila siku kuna uboreshaji n.k.
b. (Na HGAs zote zitakapo expire pamoja na mikataba mingine. Hizo HGAs ndio zinahusika katika utekelezaji wa mkataba.
2. Kama HGA itakuwa terminated itaendelea kuwepo kwa muda ambao nchi zilizoingia katika mkataba zitaona unafaa.
3. IGA inaweza kuvunjwa kwa kibali cha mojawapo ya nchi zilizoingia katika Mkataba.
4. Hamna nchi inayoruhusiwa kuukana (denounce), kujitoa, ku usitisha kwa muda au kuuvunja huu Mkataba katika mazingira yeyote ikiwa pamoja na kuukiuka (material breach), madiliko ya mazingira, uvunjaji wa uhusiano wa kibalozi au sababu nyingine yeyote inayotambuliwa katika sheria za kimataifa (International law). Pamoja na haya, migogoro yeyote itatatuliwa kufuatana na kifungu cha 20 cha Mkataba ( kifungu hicho kinazungumzia usuluhishi ambao utafanyika Johannesburg. Hakitaji taasisi ipi ya usuluhishi itahusika).

Sasa wewe nitajie wapi pametaja muda katika huu mkataba ili watu wasiamini kuwa ni wa milele.

Amandla...
Umeambiwa vipengele vya Ukomo vitasema wakisainiana Mikataba ya utekelezaji
 
Hivyo vitakuwa ni ukomo wa mikataba ya utekelezaji (HGA) na sio ukomo wa mkatba mama (IGA).

Amandla...
Sasa mkataba wa Ukomo wa utekelezaji si ndio automatically unaondoa IGA? Maana ikibakia na huna Cha kufanya then inakusaidiaje?
 
Ni mara elfu Zito Kabwe na ACT Huwa wanakuja na alternative solution na wako optimistic kuliko Machadema Huwa ni Majinga na Yasiyo na Suluhisho..

Chadema ni chama Cha hovyo sana eti nao wanataka Wapewe madaraka wakati hawajawahi kuwa na suluhisho.

Kazi wanayoweza Chadema ni kutukana,kulaumu,kupinga Kila kitu,ulalamishi,kujisifu huko Twitter,kuonesha picha za nyomi na ujinga mwingine..

Chadema ni Moja ya chama Cha hovyo na kimejaa wasalatonge ,njaa tupu.[emoji16][emoji16]

Chadema mna Mengi ya kujifunza Kwa Zito na ACT Wazalebdo..

----
Chama cha ACT- Wazalendo kimetoa mapendekezo kwa serikali kuhusu suala la mkataba wa ushirikiano kati ya serikali ya Tanzania na Dubai juu ya usimamizi wa shughuli za bandari ambapo kimetaka wawekezaji hao kuanzisha kampuni ya uendeshaji wa bandari nchini ambayo itakuwa na umiliki wa asilimia 50 kwa 50 kati ya Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) na kampuni ya DP World.

Akizungumza Kiongozi Mkuu wa chama cha ACT- Wazalendo, Zitto Kabwe amesema kampuni hiyo inaweza kuitwa Tanzania-Dubai Ports Limited (TDPL) ambayo uwepo wake utasaidia kuondoa hofu kwa wananchi pamoja na Tanzania kuwa na udhibiti wa kila kitu katika uwekezaji huo.

Pendekezo la pili, imetaka mkataba wa uendeshaji wa bandari uingiwe kati ya TPA na Kampuni hiyo ya Ubia (TDPL) ambayo itatoa asilimia 50 kwa 50 ili kuhakikisha maslahi ya nchi yanalindwa.

“Tunataka asilimia 50 katika kampuni ya uendeshaji, tunataka makubaliano yote ambayo nchi yetu itaingia na wawekezaji yapitie hiyo kampuni ambayo TPA ina asilimia 50 na mwekezaji ana asilimia 50. Mwekezaji analeta hela na teknolojia, sisi tunatoa bandari yetu na ardhi yetu, 50 kwa 50 wawekeze tuongeze ufanisi ambao unatakiwa katika nchi yetu,” amesema.

Chama hicho pia kimependekeza kampuni ya DP World isifanye uwekezaji wowote kwenye bandari shindani na bandari za Tanzania hususani bandari za nchi jirani bila kujadiliana na Serikali ya Tanzania (exclusivity).

Credit: SwahiliTimes
Bora huyu
 
Umeambiwa vipengele vya Ukomo vitasema wakisainiana Mikataba ya utekelezaji

Mkataba MAMA unasema wazi Iwapo DP itataka kurenew mikataba itakayoingia na serikali basi serikali HAITOKUWA NA KIPINGAMIZI!. Kiufupi ni mpaka DP World watakapoamua kuondoka wenyewe, lakini Sisi tumeshapigwa pini, Hatuna nguvu tena za maamuzi ya bandari yetu.
 
Ni mara elfu Zito Kabwe na ACT Huwa wanakuja na alternative solution na wako optimistic kuliko Machadema Huwa ni Majinga na Yasiyo na Suluhisho..

Chadema ni chama Cha hovyo sana eti nao wanataka Wapewe madaraka wakati hawajawahi kuwa na suluhisho.

Kazi wanayoweza Chadema ni kutukana,kulaumu,kupinga Kila kitu,ulalamishi,kujisifu huko Twitter,kuonesha picha za nyomi na ujinga mwingine..

Chadema ni Moja ya chama Cha hovyo na kimejaa wasalatonge ,njaa tupu.😁😁

Chadema mna Mengi ya kujifunza Kwa Zito na ACT Wazalebdo..

----
Chama cha ACT- Wazalendo kimetoa mapendekezo kwa serikali kuhusu suala la mkataba wa ushirikiano kati ya serikali ya Tanzania na Dubai juu ya usimamizi wa shughuli za bandari ambapo kimetaka wawekezaji hao kuanzisha kampuni ya uendeshaji wa bandari nchini ambayo itakuwa na umiliki wa asilimia 50 kwa 50 kati ya Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) na kampuni ya DP World.

Akizungumza Kiongozi Mkuu wa chama cha ACT- Wazalendo, Zitto Kabwe amesema kampuni hiyo inaweza kuitwa Tanzania-Dubai Ports Limited (TDPL) ambayo uwepo wake utasaidia kuondoa hofu kwa wananchi pamoja na Tanzania kuwa na udhibiti wa kila kitu katika uwekezaji huo.

Pendekezo la pili, imetaka mkataba wa uendeshaji wa bandari uingiwe kati ya TPA na Kampuni hiyo ya Ubia (TDPL) ambayo itatoa asilimia 50 kwa 50 ili kuhakikisha maslahi ya nchi yanalindwa.

“Tunataka asilimia 50 katika kampuni ya uendeshaji, tunataka makubaliano yote ambayo nchi yetu itaingia na wawekezaji yapitie hiyo kampuni ambayo TPA ina asilimia 50 na mwekezaji ana asilimia 50. Mwekezaji analeta hela na teknolojia, sisi tunatoa bandari yetu na ardhi yetu, 50 kwa 50 wawekeze tuongeze ufanisi ambao unatakiwa katika nchi yetu,” amesema.

Chama hicho pia kimependekeza kampuni ya DP World isifanye uwekezaji wowote kwenye bandari shindani na bandari za Tanzania hususani bandari za nchi jirani bila kujadiliana na Serikali ya Tanzania (exclusivity).

Credit: SwahiliTimes

Hakuna alternative, kwani hii bandari ni ya kwao? Sisi tunaenda kwenye utatuzi wa juu kabisa.
 
Mkataba MAMA unasema wazi Iwapo DP itataka kurenew mikataba itakayoingia na serikali basi serikali HAITOKUWA NA KIPINGAMIZI!. Kiufupi ni mpaka DP World watakapoamua kuondoka wenyewe, lakini Sisi tumeshapigwa pini, Hatuna nguvu tena za maamuzi ya bandari yetu.
Serikali isiwe na kipingamizi hata kama ume underperform?
 
Kamwambie aliyekutuma, moto ndio kwanza unawaka na safari hii tutahakikisha huu mkataba unawatoa madarakani tunajua jinsi mnavyomtumia Zitto kupunguza nguvu ya upinzani lakini haitasaidia
Maandamano makubwa nchi nzima yanakuja.
JIANDAENI!
 
Sasa mkataba wa Ukomo wa utekelezaji si ndio automatically unaondoa IGA? Maana ikibakia na huna Cha kufanya then inakusaidiaje?
IGA ndio msingi wa mikataba (HGA) yote itakayofuata . Ukibadilisha sheria haina maana kuwa Katiba ndio imekufa. Au ukibadilisha madirisha kwenye nyumba haina maana kuwa hauhitaji tena msingi wa nyumba yako. Msingi ukiwa mbovu hauwezi kurekebishwa kwa kupaka rangi nyumba. Hivyo hivyo mapungufu yaliyomo katika IGA hayawezi kurekebishwa kwa kupitia HGA. HGA zitaisha lakini IGA itabaki pale pale.

Amandla...
 
Ni kwa sababu hamna kipengele kinachoonyesha muda wa uhai wa mkataba ndio maana tunasema kuwa hamna muda maalum. Kipengele cha 23 kinachohusu "Duration and Termination " kinasema :
1. a. Mkataba utakoma pale tu ambapo miradi yote itaisha permanently. Hatudhani kama miradi ya bandari na maeneo mengine yaliyokuwemo katika mkataba itakuja kuisha maana kila siku kuna uboreshaji n.k.
b. (Na HGAs zote zitakapo expire pamoja na mikataba mingine. Hizo HGAs ndio zinahusika katika utekelezaji wa mkataba.
2. Kama HGA itakuwa terminated itaendelea kuwepo kwa muda ambao nchi zilizoingia katika mkataba zitaona unafaa.
3. IGA inaweza kuvunjwa kwa kibali cha mojawapo ya nchi zilizoingia katika Mkataba.
4. Hamna nchi inayoruhusiwa kuukana (denounce), kujitoa, ku usitisha kwa muda au kuuvunja huu Mkataba katika mazingira yeyote ikiwa pamoja na kuukiuka (material breach), madiliko ya mazingira, uvunjaji wa uhusiano wa kibalozi au sababu nyingine yeyote inayotambuliwa katika sheria za kimataifa (International law). Pamoja na haya, migogoro yeyote itatatuliwa kufuatana na kifungu cha 20 cha Mkataba ( kifungu hicho kinazungumzia usuluhishi ambao utafanyika Johannesburg. Hakitaji taasisi ipi ya usuluhishi itahusika).

Sasa wewe nitajie wapi pametaja muda katika huu mkataba ili watu wasiamini kuwa ni wa milele.

Amandla...
7BF25A49-D026-4455-BBCC-DA0756E43184.jpeg


Pitia, article 1 definitions inakuelezea ‘project agreement’ itakuwa ni mikataba watakayoingia baadae kwenye HGA na wanakuelezea hapo hiyo IGA unayoisoma sio mkataba rasmi.

Points zako
1. Kwanza umeweka maneno mkataba auna kikomo. Wakati appendices 1 inaelezea project zenyewe ni zipi na kila moja itakuwa na muda wa ujenzi na mkataba wake, kama article 1 ya project definition ilivyoolezea.

b. Sijakupata vizuri hapo una maanisha nini haswa.

Anyway nitajibu kwa nilivyo kuelewa katika hizo project agreements. Pamoja na investments kuna management na operation rights pia ambazo zinaisha baada ya kurudisha hela zao (logically speaking).

Sasa kama wanafanya kazi vizuri wanaweza weka option ya kuomba kuongezewa muda, ikifika review time wanaweza pewa au kataliwa kama ilivyokuwa kwa TICTS na Inchape kabla yao.

2. Doesn’t even make sense, utafutaje mkataba; halafu watu hao hao waliofuta mkataba waamue kuendelezaa kwa muda wanaodhani unafaa. Issue hapa labda ni interpretation zako tu.

3. Tatu hii nayo sijui umeitoa wapi.

IGA inakufa automatic toka ipitishwe bungeni kama ndani ya miezi 12 kutakuwa hakuna project agreement yeyote iliyosainiwa (hapo wanamaanisha katika zile zilizo orodeshwa in appendices 1). In other words hiyo IGA ni kama MoU tu lakini sio mkataba.

4. Hakuna nchi inaruhusiwa kujitoa na mengineyo uliyoyaelezea kwenye hiyo sentensi ya kwanza ya article 23 (4). Sentensi ya inayofuata hapo kwenye 23 (4) inasema isipokuwa kwa kufuata taratibu zilizowekwa in article 20.

Hayo masharti utayakuta kwenye IGA ni kwa mikataba yote ya kibiashara duniani uwezi kujitoa kiholela ukifanya ivyo utashitakiwa, so kuwepo kwake hapo ni emphasis tu. Vinginevyo njia za kumaliza migogoro ya uwekezaji zimetajwa.

Kutokuvunja mkataba ata serikali kubadilika au mahusiano ya nchi yakiaribika basically hiyo ni aspect ya stabilisation clause. Kwanini huwa inawekwa kama uwekezaji wako ili hela irudi inaweza chukua zaidi ya chaguzi tatu za nchi husika na hujui huyo atakae kuja mbele atakuwa na mtazamo gani. Kwenye kulinda investment return zao za muda mrefu hiko kipengele lazima kiwepo kwa mikataba yote ya muda mrefu (ipo hivyo duniani kote). However njia sahihi ya kufuata imeelezewa itakuwa ni article 20.

Migogoro kutatuliwa S.A, ni kawaida migogoro ya kibiashara inatatuliwa kupitia arbitration ya neutral ground na mnachagua nchi pamoja maana it doesn’t matter where. Regardless huko kwenye arbitration awatumii sheria za S.A kinachoangaliwa ni terms na sheria husika zilizotumika kuingia mkataba ambazo nyingi ni za Tanzania.

Arbitrator (mtoa maamuzi) kawaida ni industry expert labda mwanasheria tu mwenye uzoefu wa hiyo mikataba husika ya bandari duniani na ata yeye mnamuidhinisha kwa pamoja kabla ya kuchukua kesi.

Conclusion

As yet bado ujaonyesha mahala panaposema mkataba ni wa milele na auwezi vunjwa.

Mi siwezi kukuonyesha muda wa mkataba kwa sababu hayo mambo yatakuwa kwenye individual project agreements na HGA; ambazo hazipo kwa sasa.
 
View attachment 2659469

Pitia, article 1 definitions inakuelezea ‘project agreement’ itakuwa ni mikataba watakayoingia baadae kwenye HGA na wanakuelezea hapo hiyo IGA unayoisoma sio mkataba rasmi.

Points zako
1. Kwanza umeweka maneno mkataba auna kikomo. Wakati appendices 1 inaelezea project zenyewe ni zipi na kila moja itakuwa na muda wa ujenzi na mkataba wake, kama article 1 ya project definition ilivyoolezea.

b. Sijakupata vizuri hapo una maanisha nini haswa.

Anyway nitajibu kwa nilivyo kuelewa katika hizo project agreements. Pamoja na investments kuna management na operation rights pia ambazo zinaisha baada ya kurudisha hela zao (logically speaking).

Sasa kama wanafanya kazi vizuri wanaweza weka option ya kuomba kuongezewa muda, ikifika review time wanaweza pewa au kataliwa kama ilivyokuwa kwa TICTS na Inchape kabla yao.

2. Doesn’t even make sense, utafutaje mkataba; halafu watu hao hao waliofuta mkataba waamue kuendelezaa kwa muda wanaodhani unafaa. Issue hapa labda ni interpretation zako tu.

3. Tatu hii nayo sijui umeitoa wapi.

IGA inakufa automatic toka ipitishwe bungeni kama ndani ya miezi 12 kutakuwa hakuna project agreement yeyote iliyosainiwa (hapo wanamaanisha katika zile zilizo orodeshwa in appendices 1). In other words hiyo IGA ni kama MoU tu lakini sio mkataba.

4. Hakuna nchi inaruhusiwa kujitoa na mengineyo uliyoyaelezea kwenye hiyo sentensi ya kwanza ya article 23 (4). Sentensi ya inayofuata hapo kwenye 23 (4) inasema isipokuwa kwa kufuata taratibu zilizowekwa in article 20.

Hayo masharti utayakuta kwenye IGA ni kwa mikataba yote ya kibiashara duniani uwezi kujitoa kiholela ukifanya ivyo utashitakiwa, so kuwepo kwake hapo ni emphasis tu. Vinginevyo njia za kumaliza migogoro ya uwekezaji zimetajwa.

Kutokuvunja mkataba ata serikali kubadilika au mahusiano ya nchi yakiaribika basically hiyo ni aspect ya stabilisation clause. Kwanini huwa inawekwa kama uwekezaji wako ili hela irudi inaweza chukua zaidi ya chaguzi tatu za nchi husika na hujui huyo atakae kuja mbele atakuwa na mtazamo gani. Kwenye kulinda investment return zao za muda mrefu hiko kipengele lazima kiwepo kwa mikataba yote ya muda mrefu (ipo hivyo duniani kote). However njia sahihi ya kufuata imeelezewa itakuwa ni article 20.

Migogoro kutatuliwa S.A, ni kawaida migogoro ya kibiashara inatatuliwa kupitia arbitration ya neutral ground na mnachagua nchi pamoja maana it doesn’t matter where. Regardless huko kwenye arbitration awatumii sheria za S.A kinachoangaliwa ni terms na sheria husika zilizotumika kuingia mkataba ambazo nyingi ni za Tanzania.

Arbitrator (mtoa maamuzi) kawaida ni industry expert labda mwanasheria tu mwenye uzoefu wa hiyo mikataba husika ya bandari duniani na ata yeye mnamuidhinisha kwa pamoja kabla ya kuchukua kesi.

Conclusion

As yet bado ujaonyesha mahala panaposema mkataba ni wa milele na auwezi vunjwa.

Mi siwezi kukuonyesha muda wa mkataba kwa sababu hayo mambo yatakuwa kwenye individual project agreements na HGA; ambazo hazipo kwa sasa.
 
IGA ndio msingi wa mikataba (HGA) yote itakayofuata . Ukibadilisha sheria haina maana kuwa Katiba ndio imekufa. Au ukibadilisha madirisha kwenye nyumba haina maana kuwa hauhitaji tena msingi wa nyumba yako. Msingi ukiwa mbovu hauwezi kurekebishwa kwa kupaka rangi nyumba. Hivyo hivyo mapungufu yaliyomo katika IGA hayawezi kurekebishwa kwa kupitia HGA. HGA zitaisha lakini IGA itabaki pale pale.

Amandla...
 
Cha muhimu ni uadilifu. Ilishawahi kuundwa kampuni ya TANGOLD lakini ufisadi ukafanyika wa kutisha. Hata hiyo anayosema Zitto inaweza isisaidie kama hakuna uadilifu. CHADEMA tuwaonee huruma kwasababu ni chama kilichopo kwenye mwisho wa uhai wake.
 
Hata saa mbovu inapatia mara mbili kwa siku.
Hii sio mara ya kwanza kuingia katika mikataba mibovu na kukataa kata kata kushauriwa.
Wakati tunataka kununua rada kutoka kampuni ya British Aerospace (BAE), waziri wa serikali ya Uingereza Claire Short alituasa kwa kutuambia kuwa rada hiyo haitufai na tunapigwa katika bei. Kama kawaida yetu tukakaza shingo na kuwaambia kuwa wasituingilie maana sisi ni nchi huru. Baadae Serikali ya Uingereza iliishitaki BAE na mahakama ya Uingereza ikaiamuru iturudishie pesa iliyotupiga.
Tulipotaka kununua ndege ya Rais, tuliambiwa kuwa ni matumizi mabaya ya pesa zetu. Kama kawaida tulikataa ushauri huo na kutamka kuwa tuko tayari kula nyasi ili Rais wetu awe na ndege yake.
Wakati tunajisifu kuwa tumenunua ndege kwa pesa taslimu kuna watu walisema huo sio utaratibu mzuri. Waliopinga walionekana wasaliti na kuwa wamehongwa na mashirika ya ndege yanayoogopa ushindani kutoka ATC. Leo ndege nyingi tulizonunuakwa mbwembwe zimepaki na malipo ya maitenance yanatupa shida. Lakini ili kuonyesha tullivyo ngangari tumenunua ndege nyingine pamoja na hii ya sasa ya mizigo.
Hapa sijazungumzia mikataba ya IPTL, ya mkenya aliyetuambia atanunua korosho zetu zote, ya dawa ya Covid kutoka Madagascar ( hii angalau tulipewa bure), waganga wa mvua kutoka Thailand, mashamba ya prawns katika Rufiji Delta (kelele za wana harakati ziliuzuia) n.k.
Kusikiliza ushauri haijawahi kuwa dhambi.

Amandla...
 
Hata saa mbovu inapatia mara mbili kwa siku.
Hii sio mara ya kwanza kuingia katika mikataba mibovu na kukataa kata kata kushauriwa.
Wakati tunataka kununua rada kutoka kampuni ya British Aerospace (BAE), waziri wa serikali ya Uingereza Claire Short alituasa kwa kutuambia kuwa rada hiyo haitufai na tunapigwa katika bei. Kama kawaida yetu tukakaza shingo na kuwaambia kuwa wasituingilie maana sisi ni nchi huru. Serikali ya Uingereza iliishitaki BAE na mahakama ya Uingereza ikaiamuru iturudishie pesa iliyotupiga.
Tulipotaka kununua ndege ya Rais, tuliambiwa kuwa ni matumizi mabaya ya pesa zetu, kama kawaida tulikataa ushaui huo na kutamka kuwa tuko tayari kula nyasi ili Rais wetu awe na ndege yake.
Wakati tunajisifu kuwa tumenunua ndege kwa pesa taslimu kuna watu walisema huo sio utaratibu mzuri. Waliopinga walionekana wasaliti na kuwa wamehongwa na mashirika ya ndege yanayoogopa ushindani kutoka ATC. Leo ndege nyingi tulizonunuakwa mbwembwe zimepaki na malipo ya maitenance yanatupa shida. Lakini ili kuonyesha tullivyo ngangari tumenunua ndege nyingine pamoja na hii ya sasa ya mizigo.
Hapa sijazungumzia mikataba ya IPTL, ya mkenya aliyetuambia atanunua korosho zetu zote, ya dawa ya Covid kutoka Madagascar ( hii angalau tulipewa bure), waganga wa mvua kutoka Thailand, mashamba ya prawns katika Rufiji Delta (kelele za wana harakati ziliuzuia) n.k.
Kusikiliza ushauri haijawahi kuwa dhambi.

Amandla...
Serikali ingetaka msioneshwe Wala isingepelekwa Bungeni kama huko nyuma.
 
Hili pendekezo halina mantik. Kinachopigiwa kelele ni mkataba mama(IGA) ambao umepitishwa kati ya serikali ya Tanzania na Dubai ambayo wengi wanaona inaipa Dubai upendeleo kupita kiasi. Haya anayopendekeza yatafanyika katika HGA ambazo hazitabadili lolote katika IGA. Kuanzishwa kwa TDPL hakutabadilisha kipengele kuwa mkataba wa IGA na hivyo nafasi ya DP World katika uendeshaji wa bandari, epz n.k. hautaweza kuvunjwa na Tanzania milele hata kama Dubai/DP World wataonekana kuukiuka kwa namna yeyote.
Hilo la kuitaka DP World ijadiliane kwanza na Tanzania kabla ya kuwekeza katika bandari za nchi jirani ni wishful thinking. Kujadiliana tu bila ya kuwa na nguvu ya kuzuia haina maana yeyote. Itakuwa ajabu sana kama DP World ataacha kuwekeza kwenye bandari ya Beira au Dry Port Malawi kama ataona inalipa hata kama serikali ya Tanzania.

Amandla...

..good points.

..Na Dp World ameshawekeza ktk bandari ya Kenya[lamu], Congo Drc, na dry port Rwanda.

..sina uhakika kama DP World hawaendeshi sehemu ya bandari ya Mombasa.

..huenda DP World wanataka kuwa MONOPOLY wa bandari za Africa.
 
Kwa Mara ya kwanza awamu ya sita imeenza kunitoka moyoni...huwezi ingia mkataba Kama huo wa Dp w.na bado ukapata mapenzi ya wananchi wengi wanaongea kinafiki tu Ila inaumaaa
 
Back
Top Bottom