Zitto ataka wanaoikosoa ACT-Wazalendo waanzishe chama chao

Tulisema sana humu kuwa Zitto haaminiki hata mara moja! Huyu ni mtu wa maslahi zaidi na sio mpinzani wa dhati hata kidogo
 
Tulisema sana humu kuwa Zitto haaminiki hata mara moja! Huyu ni mtu wa maslahi zaidi na sio mpinzani wa dhati hata kidogo
Kuwa mpinzani maana yake nini? Kila chama kinapigania kuingia ikulu, kimepata nafasi ya kuingia ikulu mnataka kikatae ili iweje?
 
Ruzuku inatokana na " kura " mlizopata kwenye uchaguzi mkuu.

Hivyo kama uchaguzi ni batili na ruzuku unayopokea ni haramu vile vile
CDM wanasema ni batili kwa sababu walidhulumiwa kura kwa hiyo walistahili kupata ruzuku zaidi ya hiyo watakayopewa. Na kama nilivyosema ruzuku inatokana na kodi inayolipwa na wakazi wote wa Tanzania na sio wanachama wa CCM peke yake.

Kutaka wasichukue ni kama vile mnavyotaka wasipande ndege ambazo wamechangia kununua kwa sababu tu hawakukubaliana na uamuzi wa kuzinunua.

Amandla...
 
Ahaa kumbe tatizo siyo uchaguzi bali kiasi cha ruzuku?

Wabunge 20 si haba kwa ruzuku!
 
Hatuzungumzii mpira hapa. Wakina Mdee wamefukuzwa katika chama chao sio kwa sababu tu ya kuwazuia kuingia kwenye bunge ambalo wanaona ni haramu. Wao wamezuiwa kwa sababu hawakufuata taratibu na walienda kuapishwa bila ridhaa ya chama chao. Aidha, kwa sababu ruzuku haitokani na maamuzi ya Bunge basi haihusiki na Bunge lililopo.

Amandla...
 
Ahaa kumbe tatizo siyo uchaguzi bali kiasi cha ruzuku?!!

Wabunge 20 si haba kwa ruzuku!
Tatizo ni namna uchaguzi ulivyoendeshwa na kiasi cha kura ambazo inasemekana vyama vyote vilipata.

Aidha, una ushahidi gani kuwa CDM wamepewa na kupokea ruzuku?

Amandla...
 
Lengo la sasa la Zitto ni kukuza chama
Kutoka mbunge mmoja Hadi sasa kutoa makamu Zanzibar...


Mengineyo yote ni siasa
Zitto keshapata mileage kisiasa so far

Kutoka kupigwa vita na CHADEMA
Hadi kupigiwa kampeni na Chadema
Wewe umewaza kama mimi.
 
Hii mileage ya kukaa meza moja na wauaji haitamfikisha popote kwani uongo wake, unafiki na kuweka mbele maslahi binafsi vinajidhirisha tena kwa nguvu sana. Kwenye uchaguzi huru na wa haki huyu hatapata chochote labda “aahidiwe” kupewa viti 25 to 35 ili kumuwezesha kupata RUZUKU. Kule Twitter Zitto, Shariff Hamad, Nassor Mazrui na wengi wengineo wa ACT wamekimbia maana madongo wanayopigwa si ya kawaida. Watanzania wa 2020 si wale wa mwaka 47.
Lengo la sasa la Zitto ni kukuza chama
Kutoka mbunge mmoja Hadi sasa kutoa makamu Zanzibar...


Mengineyo yote ni siasa
Zitto keshapata mileage kisiasa so far

Kutoka kupigwa vita na CHADEMA
Hadi kupigiwa kampeni na Chadema
 
Uhuru gani tena wanaoutaka hao wanaomkosoa?
 
Mwenzenu kapigwa begi la hela sasa hivi anasubiri korina iishe aende kula raha ulaya,Dubai & Marekani
 
Reactions: BAK
Unafiki wa Zitto baada ya kununuliwa na maccm. Siku hizi amekuwa mwanaharakati wa issue za Uganda na Tigray ya hapa kwetu hayamuhusu tena baada ya kushikishwa mshiko wa uhakika na hivyo kupigwa MARUFUKU kuongezeka chochote kuhusu udhalimu na wizi wa wa October 28.

 
Unazungumzia hisia ambazo hata maalim na Zitto hawawezi kukuamini. Siasa ni kujenga trust kwa wananchi sio kujenga tumbo lako. Hata wa Wazanzibar leo hawamwamini tena Maalim. Ni bahati mbaya ndo hatashiriki tena siasa za kuchaguliwa, ninaamini. lakini, angekuwa na umri wa kugombea 2025 ninakuhakikishia ni watu wachache sana angewakokota, wengi wameishamshtukia. SUK ilikuwepo kabla ya Maalim na Zitto kuungana na Chadema na vyama vingine kuharamisha uchaguzi na kuzitaka jumuiya za kimataifa kuishughulikia serikali ya CCM. Leo Maalim na Zitto hawaaminiki tena hata kwenye jumuiya za kimataifa! Hiyo IQ unayoisema iko kwenye matumbo yao haipo katika shida za wananchi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…