Zitto awajibu Maria na Mshaba akiwahusisha na 'Udini'

Zitto Kabwe wewe jamaa sijawahi kujua kumbe uko mtu wa ajabu namna hii...Ni nani alietaja Dini ya mtu??? Unajua usipindishe mada hapa...Tumekataa wanyama wetu kusafirishwa hao wanyama sio wako na wewe usijione una uraia no 1 katika nchi hii wewe njaa zako hizo ndio zinatafta upenyo kuelekea kwenye dini hamna mtu ametaja Dini...Acha njaa zako zikumalize usituletee udini haujatajwa .....

Mkiishiwa hoja mnakimbilia udini...eti na wewe unasema unataka Urais kiruu....
 
Huyu Zitto hafai kabisa kuongoza nchi hii, ana itikadi za udini sana.
 
Zitto hua hajielewi mbona wengi wa wasomi tulimdharau kitambo by then neno udini wanalisema wao wenyewe wandhani wanamtetea Rais kumbe ndio wanamharibia kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…