Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni yeye, kwani ni member mwenzetu humu kama siyo yeye angekuja kunyoosha maelezo. Ila amechagua njia mbaya sana kufanya siasa hizi.Kama kweli ni zito kaandika hivyo basi watu makini wanaisha na kupukutika kwa kasi sana.
Zitto kabwe ameibuka na kauli kuhusu Usafirishaji wa wanyama Pori kwenda nje ya nchi uliositishwa leo na Waziri wa Maliasili na utalii akisema umegubikwa na udini ndani yake.
Kwamba waliokosoa wanaichukia Serikali kwa sababu inaongozwa na Rais Samia ambaye ni Mwislam, kwahiyo anaona watu kuhoji wamekosa uvumilivu wa dini.
Zitto ni mdini sana hafai kuongoza nchi hii hata siku moja.
Zitto kabwe
View attachment 2251667
Warundi Waislamu kama Zitto na Ponda ndiyo zao, udini umewazidiZitto kabwe ameibuka na kauli kuhusu Usafirishaji wa wanyama Pori kwenda nje ya nchi uliositishwa leo na Waziri wa Maliasili na utalii akisema umegubikwa na udini ndani yake.
Kwamba waliokosoa wanaichukia Serikali kwa sababu inaongozwa na Rais Samia ambaye ni Mwislam, kwahiyo anaona watu kuhoji wamekosa uvumilivu wa dini.
Zitto ni mdini sana hafai kuongoza nchi hii hata siku moja.
Zitto kabwe
View attachment 2251667
Nyie wakristo mna chuki mno na Waislamu, na pindi Rais akiwa muislamu hakuna hata zuri lake moja ambalo mnaliona, mkristo mwenzenu kaua watu,kateka watu,kafunga watu, katupora fedha zetu Wengine kwenye maduka ya kubadilishia fedha, mlikuwa yote hayo mnashangilia kisa tu mkristo mwenzenu mmbbwa nyie,Zitto hua hajielewi mbona wengi wa wasomi tulimdharau kitambo by then neno udini wanalisema wao wenyewe wandhani wanamtetea Rais kumbe ndio wanamharibia kabisa
yes, he did.That is so low of Zito if he truly gave this comment!
Hiyo ni verification account,si unaona ina blue tickIyo ni propaganda hata kama zitto simwelewi hawezi kusema uchafu huo acheni kusingizia watu
Hao ndio maharamia
Kwaio hio tweet yake hujaiona? Na ni verified?Iyo ni propaganda hata kama zitto simwelewi hawezi kusema uchafu huo acheni kusingizia watu
Kitendo cha kuiweka kisha kuifuta kinadhihirisha kuwa ni yeye, sio wadukuziNaona ameifuta hii tweet
Ni mdini na mkabila sn, chama chake kimejikita Kigoma pekeeZitto kabwe ameibuka na kauli kuhusu Usafirishaji wa wanyama Pori kwenda nje ya nchi uliositishwa leo na Waziri wa Maliasili na utalii akisema umegubikwa na udini ndani yake.
Kwamba waliokosoa wanaichukia Serikali kwa sababu inaongozwa na Rais Samia ambaye ni Mwislam, kwahiyo anaona watu kuhoji wamekosa uvumilivu wa dini.
Zitto ni mdini sana hafai kuongoza nchi hii hata siku moja.
Zitto kabwe
View attachment 2251667
Ana mambo ya hovyo sn hafaiKitendo cha kuiweka kisha kuifuta kinadhihirisha kuwa ni yeye, sio wadukuzi
Umechanganyikiwa hv dini inaumuhimu gani kwa MwafrikaNyie wakristo mna chuki mno na Waislamu, na pindi Rais akiwa muislamu hakuna hata zuri lake moja ambalo mnaliona, mkristo mwenzenu kaua watu,kateka watu,kafunga watu, katupora fedha zetu Wengine kwenye maduka ya kubadilishia fedha, mlikuwa yote hayo mnashangilia kisa tu mkristo mwenzenu mmbbwa nyie,
Leo Samia kapandisha mishahara,katoa ajira, wakati yule shetani muuaji kipindi chote akufanya hayo,
Samia Ni Rais Bora Sana kwa Tanzania,huwezi kumlinganisha na lile shetani lenu,
Asilimia kubwa wanamtukana Samia Ni wakristo na mazezeta machache yasiyo jitambua, dikteta muuaji ameharbu Sana mentality za vijana wetu shetani yule
Post ya Zitto imenifanya niyaangalie haya mambo kwa mtazamo wa kidini, na inawezekana ni kweli yanafanyika kwa sababu hizoHata Mimi naona haya mambo kama yanafanyika kwa udini. Why uarabuni vs Rais Muilsam. Anyways. Hii nchi yetu sote.