Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 15,416
- 22,334
Huu ni ushahidi kwanini tz inakwenda hatua 5 mbele na kurudi hatua 10 nyuma ni mtindo wa awamu wa urais kutoka waislamu na wakristo ...wakristo wanajitaidi kuwa wazalendo waislamu wao kwao uzalendo ni Maviii .....na huo ni ukweli kamili . Maraisi waislamu wamekua wapuuzi sana kwa kusujudia wazungu na waarabu pamoja na wahindi hadi tumefikia hapa tulipo sasa tunateseka wote waislam na wakristo na wasio na dini wote tunaumizwa na hawa viongozi hiyo dini ....huo ni ukweli kamili .....kwa sasa wananchi tujue CCM YOTE HIPO MIKONONI MWA WAHUNI WACHACHE WA KIARABU NDIYO MAANA TUNAONA MAAMUZI YA AJABU NA TETESI ZA MAAMUZI YA AJABU .Zitto kabwe ameibuka na kauli kuhusu Usafirishaji wa wanyama Pori kwenda nje ya nchi uliositishwa leo na Waziri wa Maliasili na utalii akisema umegubikwa na udini ndani yake.
Kwamba waliokosoa wanaichukia Serikali kwa sababu inaongozwa na Rais Samia ambaye ni Mwislam, kwahiyo anaona watu kuhoji wamekosa uvumilivu wa dini.
Zitto ni mdini sana hafai kuongoza nchi hii hata siku moja.
Zitto kabwe
View attachment 2251667