Zitto awajibu Maria na Mshaba akiwahusisha na 'Udini'

Zitto awajibu Maria na Mshaba akiwahusisha na 'Udini'

Asivyo na aibu sitashangaa akaibika kusema Kuna namna imefanywa kwenye account yake au akakanisha kwamba ameeleweka vibaya. Ni Mzee wa kupima upepo sana

Hawa watu ndio wakifanya Magu aonekane shujaa Kwa misimamo hata kama anakosea. Ni hatari sana kuwa na watu wa namna hii wanajitanabaisha kuwa wanapigana maslahi ya umma/ wananchi.
Ni mbovu sn hafai amejaa udini tupu
 
Umechanganyikiwa hv dini inaumuhimu gani kwa Mwafrika
Tuwaulize nyie wakristo, kinachofanya mtake hii Nchi waongoze wakristo tu Ni kitu gani haswa? Ilhali kiongozi akiwa mkristo Hadi mauaji yanaongezeka,na pia wanatawala kwa mkono wa chuma!
 
Nyie wakristo mna chuki mno na Waislamu, na pindi Rais akiwa muislamu hakuna hata zuri lake moja ambalo mnaliona, mkristo mwenzenu kaua watu,kateka watu,kafunga watu, katupora fedha zetu Wengine kwenye maduka ya kubadilishia fedha, mlikuwa yote hayo mnashangilia kisa tu mkristo mwenzenu mmbbwa nyie,

Leo Samia kapandisha mishahara,katoa ajira, wakati yule shetani muuaji kipindi chote akufanya hayo,

Samia Ni Rais Bora Sana kwa Tanzania,huwezi kumlinganisha na lile shetani lenu,

Asilimia kubwa wanamtukana Samia Ni wakristo na mazezeta machache yasiyo jitambua, dikteta muuaji ameharbu Sana mentality za vijana wetu shetani yule
Hiyo ni kujishtukia tu, wala hakuna aliye na time na dini ya mtu, watu tunaangalia utendaji. Kwa hiyo ulitaka wanyama hai wasafirishwe tu kisa mishahara imepanda? Au kisa watu wameacha kutekwa? Kosa la mmoja halihalalishi kosa la mwingine, kila moja litakemewa kivyake
 
Nyie wakristo mna chuki mno na Waislamu, na pindi Rais akiwa muislamu hakuna hata zuri lake moja ambalo mnaliona, mkristo mwenzenu kaua watu,kateka watu,kafunga watu, katupora fedha zetu Wengine kwenye maduka ya kubadilishia fedha, mlikuwa yote hayo mnashangilia kisa tu mkristo mwenzenu mmbbwa nyie,

Leo Samia kapandisha mishahara,katoa ajira, wakati yule shetani muuaji kipindi chote akufanya hayo,

Samia Ni Rais Bora Sana kwa Tanzania,huwezi kumlinganisha na lile shetani lenu,

Asilimia kubwa wanamtukana Samia Ni wakristo na mazezeta machache yasiyo jitambua, dikteta muuaji ameharbu Sana mentality za vijana wetu shetani yule
Punguza povu haita saidia hii.
 
Tuwaulize nyie wakristo, kinachofanya mtake hii Nchi waongoze wakristo tu Ni kitu gani haswa? Ilhali kiongozi akiwa mkristo Hadi mauaji yanaongezeka,na pia wanatawala kwa mkono wa chuma!
Unatumia nguvu kubwa kutaka kuhalalisha uovu. Kosa la mtu mmoja halihalalishi kosa la mtu mwingine
 
Zitto kabwe ameibuka na kauli kuhusu Usafirishaji wa wanyama Pori kwenda nje ya nchi uliositishwa leo na Waziri wa Maliasili na utalii akisema umegubikwa na udini ndani yake.

Kwamba waliokosoa wanaichukia Serikali kwa sababu inaongozwa na Rais Samia ambaye ni Mwislam, kwahiyo anaona watu kuhoji wamekosa uvumilivu wa dini.

Zitto ni mdini sana hafai kuongoza nchi hii hata siku moja.

Zitto kabwe

View attachment 2251667

Wanaosema upe muda nafasi hawajakosea. Ona sasa baada ya kuishiwa hoja anaanza kuongea kitu ambacho hata hakiko moyoni mwa waTanzania.
Ukiona mtu anaanza kuongelea, huyo tayari kafirisika kichwani.
 
Hata mimi naona hivyo pia, Sioni afya ya nchi hii ikiongozwa na waislamu japo mimi ni muislamu. Siwapendi warabu hata kidogo. Ni wanafiki mno kama sisi wafrika.
Kwahiyo kumbe unajichukia wewe mwenyewe pia !!
 
Solution ni Partition tu kama India na Pakistan, binafsi siamini kama Muslims na Christians wanaweza kuiva chungu kimoja!
 
Ukweli uko wazi, mama wanamchukia kutokana na DINI, UZANZIBAR na UWANAMKE wake.

Liko wazi, Juzi hapa imepigwa picha ametoka msikitini ijumaa, watu wameongea as if haruhusiwi kuswali.

Tumeona hapa Magufuli kila Jpili kanisani anahutubia kabisa na kutumbua watu akiwa kanisani.

Be fair, nchi ya watu wote, TANGANYIKA na ZANZIBAR.
We mpumbavu utatuua sisi Binadamu wenzio kwa kutetea ujinga huu, walimsema wapi?

Vielelezo vya walivyomsema viko wapi uviambatanishe hapa?

Takwimu za waliomsema ni kwa asilimia ngapi kati ya wa-TZ M 60? ili kuthibitisha kauli ya wa-TZ kuwa na udini kwa Mama yetu Rais kipenzi SSH.

Acha upumbavu wewe, hakuna afya ya udini popote pale duniani.
 
Zitto kabwe ameibuka na kauli kuhusu Usafirishaji wa wanyama Pori kwenda nje ya nchi uliositishwa leo na Waziri wa Maliasili na utalii akisema umegubikwa na udini ndani yake.

Kwamba waliokosoa wanaichukia Serikali kwa sababu inaongozwa na Rais Samia ambaye ni Mwislam, kwahiyo anaona watu kuhoji wamekosa uvumilivu wa dini.

Zitto ni mdini sana hafai kuongoza nchi hii hata siku moja.

Zitto kabwe

View attachment 2251667
Mtu Kama zitto KWa Sasa nikuanza kumpuuza tu impact yake katika maslahi mapana ya nchi KWa Sasa sio kipaumbele chake, kipaumbele chake anakijua yeye na watu wake wa karibu,
Anataka kufanya watu wajinga kwamba Tz ndo Mara ya KWANZA kuongozwa na muislam, vipi kikwete, Mzee mwinyi?
Watu wanazungumzia kuuza wanyama wetu nje yeye anakuja na propaganda nyepesi hapa
 
Shangazi yenu Fatma nae analalamika udini uwenda kuna ukweli sasa.
 
Solution ni Partition tu kama India na Pakistan, binafsi siamini kama Muslims na Christians wanaweza kuiva chungu kimoja!
Tuliiva chungu kimoja tangu enzi na enzi hatuwezi kuja kutenganishwa na baadhi ya vijana uchwara wasiojitambua !! After all hizi dini zililetwa na wageni tu kutoka nje!! Walipokuja waliwakuta wenyeji wanaabudu vile walivyokuwa wanaviamini na maisha yalikuwa yanaenda !! Ukraine na Russia ni dini moja lakini wanadundana kama lote !! Tafakari chukua hatua !!
 
Ukweli uko wazi, mama wanamchukia kutokana na DINI, UZANZIBAR na UWANAMKE wake.

Liko wazi, Juzi hapa imepigwa picha ametoka msikitini ijumaa, watu wameongea as if haruhusiwi kuswali.

Tumeona hapa Magufuli kila Jpili kanisani anahutubia kabisa na kutumbua watu akiwa kanisani.

Be fair, nchi ya watu wote, TANGANYIKA na ZANZIBAR.
Wanaoongoza kumpiga vita ni Waislamu wenzie. Kundi kubwa likiwa ni la wanaume.
 
Ni aibu sana kauli kama hiyo kutolewa na msomi.

Zitto ni msomi? Kati ya wasomi unaweza mtaja Zitto?
Zitto ni hooligan tu, hana maana, jinsi alimtukana the Late Magufuli matusi makubwa eti wanaompenda wakazikwe nae Chato, ile kauli ilitosha kumkamata na kumfungulia mashtaka na kumfunga, mbona yeye Zitto Mama yake alivyokufa hakuzikwa nae?

Nisikilizeni kwa makini, Zitto ukiacha udini, ni mnafiki na kinyonga sana kwa kila kitu, subirini Mama Samia amalize muda wake, Zitto atamtolea maneno ya hovyo hamtaamini, sbb tabia ya mtu haijifichi. Zitto is arrogant naturally, i think sbb ya kabila lake.
 
Back
Top Bottom