johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Zitto kaogopa aibu Tundu Lisu hapati nyomi hapo!Zitto leo alitakiwa awepo hapo jukwaani leo ili waifute rami CCM hapo Kigoma
Kigoma ni kijani bwashee!Jamaa( Zitto ) huwa namkubali Sana Ila sielewi huwa anakwama wapi?
Bytheway, wana'kigoma kavunjeni rekodi ya Tunduma kwa kumpokea Mh.Rais TL.
Kura watampa Dr Magufuli wa CCM!Zito umepunguza manane ungejazia nendeni mkamsikilize na tare 28 October mpeni kura msimpe mwingine...
Wacha dharau dada Joanabatist!Zitto kaogopa aibu Tundu Lisu hapati nyomi hapo!
Endelea kujifarijiKigoma ni kijani bwashee!
Mwambieni jamaa yenu aendelee kukutana na marais kwa sababu atakuwa rais aliyekutana na marais wachache tokea TZ iongozwe na MaraisKiongozi wa Chama cha ACT wazalendo mh Zitto Kabwe amewataka wanachama wake kwenda kumsikiliza mgombea urais wa Chadema Tundu Lisu katika viwanja vya Mwanga Community Centre leo.
Zitto amesema Tundu Lisu ni rafiki yake hivyo mkoa wa Kigoma umpe heshima anayostahili.
My take; Mbona Zitto Kabwe kaacha kumzungumzia Membe?
Maendeleo hayana vyama!
Kwani Membe ana kampeni leo Kigoma?Kiongozi wa Chama cha ACT wazalendo mh Zitto Kabwe amewataka wanachama wake kwenda kumsikiliza mgombea urais wa Chadema Tundu Lisu katika viwanja vya Mwanga Community Centre leo.
Zitto amesema Tundu Lisu ni rafiki yake hivyo mkoa wa Kigoma umpe heshima anayostahili.
My take; Mbona Zitto Kabwe kaacha kumzungumzia Membe?
Maendeleo hayana vyama!
Hahahaaaa..... Tayari umeshapanic manka!Wacha dharau dada Joanabatist!
Membe ameshakata tamaa, alizani kugombea nje ya CCM bado angeonekana, sasa keshachoka.Kiongozi wa Chama cha ACT wazalendo mh Zitto Kabwe amewataka wanachama wake kwenda kumsikiliza mgombea urais wa Chadema Tundu Lisu katika viwanja vya Mwanga Community Centre leo.
Zitto amesema Tundu Lisu ni rafiki yake hivyo mkoa wa Kigoma umpe heshima anayostahili.
My take; Mbona Zitto Kabwe kaacha kumzungumzia Membe?
Maendeleo hayana vyama!
Kwa Zitto hapo ni mtihani!!Zitto leo alitakiwa awepo hapo jukwaani leo ili waifute rami CCM hapo Kigoma
Membe anashughulikia dhamana ya msaidizi wake!Kwani Membe ana kampeni leo Kigoma?
Mwambieni jamaa yenu aendelee kukutana na marais kwa sababu atakuwa rais aliyekutana na marais wachache tokea TZ iongozwe na Marais
Upendo gani wamejaa hasira na kushawishi maanadamanoMungu ni pendo.Vyama vya upinzani ni vyama vya Mungu ndiyo maana vimejaa upendo
Kiongozi wa Chama cha ACT wazalendo mh Zitto Kabwe amewataka wanachama wake kwenda kumsikiliza mgombea urais wa Chadema Tundu Lisu katika viwanja vya Mwanga Community Centre leo.
Zitto amesema Tundu Lisu ni rafiki yake hivyo mkoa wa Kigoma umpe heshima anayostahili.
My take; Mbona Zitto Kabwe kaacha kumzungumzia Membe?
Maendeleo hayana vyama!