johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #21
Muda wa kisheria umeisha!Siasa ni kushirikiana. Kwa upande wa Bara wameona chama pinzani chenye nguvu ni CHADEMA, na kule Zanziba ni ACT, hivyo wameamua huku bara ACT waunge mkono CHADEMA, na kule ZanzibarCHADEMA waunge mkono ACT