Don Moen
JF-Expert Member
- Nov 12, 2020
- 1,636
- 3,142
[emoji8]Membe ni mtu mkubwa sana idarani na huko Act amekwenda kufanya kazi ya idara kwa uaminifu mkubwa
Zitto utakuja juta na chama chako chenye wanachama 6
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji8]Membe ni mtu mkubwa sana idarani na huko Act amekwenda kufanya kazi ya idara kwa uaminifu mkubwa
Zitto utakuja juta na chama chako chenye wanachama 6
Sijajibu swali kivipi, au hutaki jibu?Hujajibu swali.
Wapi nimeandika hakuna mabadiliko yaliyopatikana kutokana na juhudi za kuondoa wakoloni?
Hujajibu swali.Sijajibu swali kivipi, au hutaki jibu?
Basi ngoja nikupe jibu ambalo nililihifadhi maksudi:
Rudi kwenye bandiko lako hapo #152.
Bila kunifahamisha kwamba pengine unatatizo la uandishi na uwasilishi wa maoni yako yaeleweke vizuri kwa msomaji, bandiko hilo linaeleza hayo unayonizimisha hapa nithibitishe kwamba hujaandika kwamba "hakuna mabadiliko yaliyopatikana kutokana na juhudi za kuondoa wakoloni."
Kama wewe huyaoni hivyo, basi huo ni upungufu wako, na sio upungufu wangu kuelewa ulichoandika.
Sioni mipaka uliyoizungushia hoja yako nzima uliyoiweka hapo ambayo inaondoa tafsiri ambayo sasa hutaki ueleweke kwamba ulikuwa na maana hiyo.
Katikati ya 'cynicism' katika kila jambo, matokeo yake ndiyo huwa kama haya.
Wewe mtu huwa unaandika point sana.Let me take this conversation one level forward.
Nilikuwa naongea na kiongozi mmoja mkubwa na maarufu wa CHADEMA.
Anakijua chama nje ndani si kama sisi tunaokisoma tu.
Yeye anasema tatizo kubwa Tanzania ni mindset. Kwamba, hata CHADEMA ikichukua nchi leo, bila kubadilisha mindset za Watanzania na CHADEMA, CHADEMA kitapata matatizo yaleyale ya CCM.
Sasa hapo utaona naweza kueleza matatizo yatakayotokea kwa vyama vya upinzani kuungana kwa a shallow cause ya kuitoa CCM bila kuwa na a cohesive and comprehensive plan ya nini kifanyike baada ya hapo. Na hata chama kimoja kikiitoa CCM, kama hakuna mabadiliko ya mindset, tutazidi kuogelea kwenye matatizo yaleyale.
Mimi nafikiri ni makosa kufikiri kwamba tatizo letu ni CCM, tukiwaondoa CCM mambo yetu yataenda sawa.
Tuna matatizo ya kiutamaduni, yaliyovuka kiwango cha vyama vya siasa, ndiyo maana vyama vyetu vyote vya siasa vina matatizo.
Sasa, katika mazingira kama hayo, kuondoa CCM tu kutatusaidia vipi?
Asante sana.
Umeniuliza swali:Hujajibu swali.
Wapi nimeandika hakuna mabadiliko yaliyopatikana kutokana na juhudi za kuondoa wakoloni?
Wewe una utapiamlo wa ubongo uliochanganyika na bias zako, unasoma unachotaka kusoma wewe, si kilichoandikwa.Umeniuliza swali:
"Najua kusoma kwa ufahamu"?
Inaonekana tatizo hilo unalo wewe. vinginevyo usingedai ujibiwe kwa nakili iliyowekwa.
EeeenHeeee,Wewe una utapiamlo wa ubongo uliochanganyika nana bias zako, unasoma unachotaka kusoma wewe, si kilichoandikwa.
Nimekuomba unipe nukuu verbatim, ku suport madai yako, umeshindwa.
Na mimi siwezi kukurudisha shule ya msingi kuanza kukufundisha kusoma kwa ufahamu.
You are incapable of making sane logical connections, and you blame that on me.
Wekeni shule zenu tuone.EeeenHeeee,
Unaona unakokimbilia sasa?
Sina haja ya kukueleza kwamba shule uliyonayo wewe ni pungufu sana kulinganisha na niliyonayo, that is a fact.
Kwa hiyo haya mapya hangaika nayo mwenyewe, mimi hayanihusu.
Fucktard idiot troll.EeeenHeeee,
Unaona unakokimbilia sasa?
Sina haja ya kukueleza kwamba shule uliyonayo wewe ni pungufu sana kulinganisha na niliyonayo, that is a fact.
Kwa hiyo haya mapya hangaika nayo mwenyewe, mimi hayanihusu.
Kama wewe ndiwe utakuwa 'judge', hapo sina shaka yeye atakuwa ndiye mshindi, si unajua hata CCM hupata ushindi kwa kutumia Tume Maalum ya Uchafuzi?Wekeni shule zenu tuone.
Ila Kiranga si mwepesi kichwani kama unavyofikiria.
Sent using Jamii Forums mobile app
EeenHeeeee!Fucktard idiot troll.
I can't waste my shells on your ignorant ass.
Go to my ignore list already.
I'm not gonna see any more of your bullshit posts.