Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Hatuna muda kabisa wa cdm kujiunga na ACT chama cha mamluki
Ni mpinzani.
Acheni kulalamika miaka yote tunalalamika badala ya kukaaa vyama vyote na kuamua mgombea, bila muungano wa vyama vyote kusimamisha mgombea mmoja ni kupoteza muda kudhani ccm mtaishinda.