Zitto: CHADEMA walifanya makosa haya ndiyo maana Lowassa akawakimbia, sisi hatutayafanya kwa Membe

Zitto: CHADEMA walifanya makosa haya ndiyo maana Lowassa akawakimbia, sisi hatutayafanya kwa Membe

Ndiyo maana mimi nashauri kuungana kufanyike kwa sababu zenye mizizi mirefu, si sababu shallow za kutaka kuitoa CCM Ikulu tu.
Mkuu 'Kiranga', leo nimekusoma tofauti sana na ninavyokusoma siku zote hapa JF.

Hivi kuna sababu gani kubwa zaidi kuliko ya kuiondoa CCM madarakani wakati huu?

CCM ambayo imeng'ang'ania kabisa, haitaki kuondoka madarakani kwa kutumia njia zote, hata za kukandamiza wanaotafuta njia za kuwaondoa kwa taratibu zilizopo!

Binafsi siyo muumini wa vyama vya upinzani kuungana, kwa sababu najuwa hilo haliwezekani kwa sababu mbalimbali, ikiwa ni pamoja na kuungana huko kutumiwa kuwadhoofisha zaidi. Lakini, kama wangeweza kuungana kwa nia tu ya kuiondoa CCM madarakani, hilo lingekuwa lengo muhimu zaidi kuliko hizo sera na mambo mengine ya kuendesha serikali baada ya kuondoka kwa CCM.

In my view, that's how bad our political situation has become.
 
Mkuu 'Kiranga', leo nimekusoma tofauti sana na ninavyokusoma siku zote hapa JF.

Hivi kuna sababu gani kubwa zaidi kuliko ya kuiondoa CCM madarakani wakati huu?

CCM ambayo imeng'ang'ania kabisa, haitaki kuondoka madarakani kwa kutumia njia zote, hata za kukandamiza wanaotafuta njia za kuwaondoa kwa taratibu zilizopo!

Binafsi siyo muumini wa vyama vya upinzani kuungana, kwa sababu najuwa hilo haliwezekani kwa sababu mbalimbali, ikiwa ni pamoja na kuungana huko kutumiwa kuwadhoofisha zaidi. Lakini, kama wangeweza kuungana kwa nia tu ya kuiondoa CCM madarakani, hilo lingekuwa lengo muhimu zaidi kuliko hizo sera na mambo mengine ya kuendesha serikali baada ya kuondoka kwa CCM.

In my view, that's how bad our political situation has become.
Let me take this conversation one level forward.

Nilikuwa naongea na kiongozi mmoja mkubwa na maarufu wa CHADEMA.

Anakijua chama nje ndani si kama sisi tunaokisoma tu.

Yeye anasema tatizo kubwa Tanzania ni mindset. Kwamba, hata CHADEMA ikichukua nchi leo, bila kubadilisha mindset za Watanzania na CHADEMA, CHADEMA kitapata matatizo yaleyale ya CCM.

Sasa hapo utaona naweza kueleza matatizo yatakayotokea kwa vyama vya upinzani kuungana kwa a shallow cause ya kuitoa CCM bila kuwa na a cohesive and comprehensive plan ya nini kifanyike baada ya hapo. Na hata chama kimoja kikiitoa CCM, kama hakuna mabadiliko ya mindset, tutazidi kuogelea kwenye matatizo yaleyale.

Mimi nafikiri ni makosa kufikiri kwamba tatizo letu ni CCM, tukiwaondoa CCM mambo yetu yataenda sawa.

Tuna matatizo ya kiutamaduni, yaliyovuka kiwango cha vyama vya siasa, ndiyo maana vyama vyetu vyote vya siasa vina matatizo.

Sasa, katika mazingira kama hayo, kuondoa CCM tu kutatusaidia vipi?
 
Let me take this conversation one level forward.

Nilikuwa naongea na kiongozi mmoja mkubwa na maarufu wa CHADEMA.

Anakijua chama nje ndani si kama sisi tunaokisoma tu.

Yeye anasema tatizo kubwa Tanzania ni mindset. Kwamba, hata CHADEMA ikichukua nchi leo, bila kubadilisha mindset za Watanzania na CHADEMA, CHADEMA kitapata matatizo yaleyale ya CCM.

Sasa hapo utaona naweza kueleza matatizo yatakayotokea kwa vyama vya upinzani kuungana kwa a shallow cause ya kuitoa CCM bila kuwa na a cohesive and comprehensive plan ya nini kifanyike baada ya hapo. Na hata chama kimoja kikiitoa CCM, kama hakuna mabadiliko ya mindset, tutazidi kuogelea kwenye matatizo yaleyale.

Mimi nafikiri ni makosa kufikiri kwamba tatizo letu ni CCM, tukiwaondoa CCM mambo yetu yataenda sawa.

Tuna matatizo ya kiutamaduni, yaliyovuka kiwango cha vyama vya siasa, ndiyo maana vyama vyetu vyote vya siasa vina matatizo.

Sasa, katika mazingira kama hayo, kuondoa CCM tu kutatusaidia vipi?
Na mimi nakubalina na hili. Tatizo kubwa la Tanzania ni watanzania wenyewe. Sasa hiyo mindset itabadilishwaje? Tunatakiwa tuanzie wapi? Kwa maoni yangu ni kuwa ni lazima tukubali tuna hilo tatizo na tupate pa kuanzia. Tukubali kuwa tuna weaknesses a,b,c na tufumue mfumo mzima na kujenga system angalau itakayo address zile loopholes zinazofanya hizo mindset iendelee kuwepo na kujenga misingi mipya. Tunarudi pale pale katiba itakayoandaliwa kwa umakini bila kuingiza siasa uchwara. Na hili CCM haitaki kukiri wala kulishughulikia.
 
Let me take this conversation one level forward.

Nilikuwa naongea na kiongozi mmoja mkubwa na maarufu wa CHADEMA.

Anakijua chama nje ndani si kama sisi tunaokisoma tu.

Yeye anasema tatizo kubwa Tanzania ni mindset. Kwamba, hata CHADEMA ikichukua nchi leo, bila kubadilisha mindset za Watanzania na CHADEMA, CHADEMA kitapata matatizo yaleyale ya CCM.

Sasa hapo utaona naweza kueleza matatizo yatakayotokea kwa vyama vya upinzani kuungana kwa a shallow cause ya kuitoa CCM bila kuwa na a cohesive and comprehensive plan ya nini kifanyike baada ya hapo. Na hata chama kimoja kikiitoa CCM, kama hakuna mabadiliko ya mindset, tutazidi kuogelea kwenye matatizo yaleyale.

Mimi nafikiri ni makosa kufikiri kwamba tatizo letu ni CCM, tukiwaondoa CCM mambo yetu yataenda sawa.

Tuna matatizo ya kiutamaduni, yaliyovuka kiwango cha vyama vya siasa, ndiyo maana vyama vyetu vyote vya siasa vina matatizo.

Sasa, katika mazingira kama hayo, kuondoa CCM tu kutatusaidia vipi?
Hilo la kubadili mindset nililizungumzia.


Hata tukipata katiba mpya, tusipobadili fikra zetu, itakuwa ni sawa na kazi bure tu.
 
🤣🤣🤣🤣🤣 Ayatollah Zitto jamaa mpuuzi sana huyu. Hivi Membe yuko wapi vile? 😂😂
Nimemsikiliza Zitto na sababu yake/ zake kwanini suala la Membe kuhamia kwenye chama chake halitokuwa kama ilivyokuwa kwa CHADEMA na Lowassa na Sumaye na wengineo.

Sababu zake kuu ni kwamba hao waliohamia CHADEMA kipindi kile hawakujiona au hawakuonekana kuwa ni sehemu ya ‘movement’.

Pia, eti hawakujiona au kuonekana kuwa walikuwa ni sehemu ya ‘familia’ ya CHADEMA.

Muda utazungumza tu. Ila Zitto inabidi awe mwangalifu na uchaguzi wa maneno yake.

Kwenye hili nadhani Bw. Zitto anaathiriwa na kuwa ‘prisoner of the moment’.

Natumaini yeye na ACT yake watakuwa na mipango baada ya uchaguzi ujao baada ya kushindwa.

Maana ushindi huwaunganisha watu na ushindwaji hugawanyisha.
 
Nimemsikiliza Zitto na sababu yake/ zake kwanini suala la Membe kuhamia kwenye chama chake halitokuwa kama ilivyokuwa kwa CHADEMA na Lowassa na Sumaye na wengineo.

Sababu zake kuu ni kwamba hao waliohamia CHADEMA kipindi kile hawakujiona au hawakuonekana kuwa ni sehemu ya ‘movement’.

Pia, eti hawakujiona au kuonekana kuwa walikuwa ni sehemu ya ‘familia’ ya CHADEMA.

Muda utazungumza tu. Ila Zitto inabidi awe mwangalifu na uchaguzi wa maneno yake.

Kwenye hili nadhani Bw. Zitto anaathiriwa na kuwa ‘prisoner of the moment’.

Natumaini yeye na ACT yake watakuwa na mipango baada ya uchaguzi ujao baada ya kushindwa.

Maana ushindi huwaunganisha watu na ushindwaji hugawanyisha.
Welp!

This has aged really well, innit?

🤣
 
Hapana NN lakini wapiga kura watakuwa huru kuchagua chama kingine kama walio madarakani WAMEVURUNDA. Hakutakuwa na chama tena kitakachokaa madarakani miaka 60 kwani tukiwa ná Katiba mpya ná Tume huru ya uchaguzi basi chaguzi zetu zitakuwa HURU.
Hilo la kubadili mindset nililizungumzia.


Hata tukipata katiba mpya, tusipobadili fikra zetu, itakuwa ni sawa na kazi bure tu.
 
Hapana NN lakini wapiga kura watakuwa huru kuchagua chama kingine kama walio madarakani WAMEVURUNDA. Hakutakuwa na chama tena kitakachokaa madarakani miaka 60 kwani tukiwa ná Katiba mpya ná Tume huru ya uchaguzi basi chaguzi zetu zitakuwa HURU.
Wala sikatai.

Ni kwamba tu mabadiliko ya kifikra nayo ni muhimu.

Mindsets zetu lazima zibadilike endapo kweli tunataka mabadiliko ya kweli.
 
Nakubaliana nawe lakini pa kuanzia ni Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi. Angalia uchaguzi wa 2020 jinsi Lissu alivyoweza kuvuta umati wa watu kwenye kampeni zake nchi nzima hadi maccm kuanza kutumia polisiccm kumzuia kufanya Kampeni au kule Ukerewe kivuko kuzuiwa na maccm ili tu ashindwe kwenda kule kufanya Kampeni. Mara tu chaguzi zetu zitakapokuwa huru na za haki basi mindsets za Watanzania hazitachukua muda kujua nguvu kubwa tuliyokuwa nayo kwa wale tuliowachagua kuanzia Madiwani, Wabunge na Rais.


Wala sikatai.

Ni kwamba tu mabadiliko ya kifikra nayo ni muhimu.

Mindsets zetu lazima zibadilike endapo kweli tunataka mabadiliko ya kweli.
 
Let me take this conversation one level forward.

Nilikuwa naongea na kiongozi mmoja mkubwa na maarufu wa CHADEMA.

Anakijua chama nje ndani si kama sisi tunaokisoma tu.

Yeye anasema tatizo kubwa Tanzania ni mindset. Kwamba, hata CHADEMA ikichukua nchi leo, bila kubadilisha mindset za Watanzania na CHADEMA, CHADEMA kitapata matatizo yaleyale ya CCM.

Sasa hapo utaona naweza kueleza matatizo yatakayotokea kwa vyama vya upinzani kuungana kwa a shallow cause ya kuitoa CCM bila kuwa na a cohesive and comprehensive plan ya nini kifanyike baada ya hapo. Na hata chama kimoja kikiitoa CCM, kama hakuna mabadiliko ya mindset, tutazidi kuogelea kwenye matatizo yaleyale.

Mimi nafikiri ni makosa kufikiri kwamba tatizo letu ni CCM, tukiwaondoa CCM mambo yetu yataenda sawa.

Tuna matatizo ya kiutamaduni, yaliyovuka kiwango cha vyama vya siasa, ndiyo maana vyama vyetu vyote vya siasa vina matatizo.

Sasa, katika mazingira kama hayo, kuondoa CCM tu kutatusaidia vipi?
Kimsingi, sikatai hoja ya 'mindset' juu ya waTanzania, lakini litakuwa ni jambo la ajabu sana kusubiri 'mindset' ibadilike ndipo mambo yaanze kurekebishwa!

Hiyo 'mindset' itabadilishwa na nani?

Sasa hivi, hata kubadili tu Katiba, CCM hawataki. CCM hawataki Tume Huru ya Uchaguzi iwepo, kwa sababu itatibua uwepo wao madarakani.
Sasa kama CHADEMA na wao mpango wao ni kupambana ili waendeleze "mind set" ya waTanzania ambayo inawafaidisha CCM waendelee kukaa madarakani kwa nguvu, basi hapo sijui tutafanya kitu gani, maanake kuibadili 'mindset' ya watu, hivi hivi, bila ya usimamizi toka kwenye uongozi wowote, sioni hilo likitokea hata katika miaka hamsini ifuatayo!
Au labda tukagezee aina za 'mindset' toka kwa majirani zetu kimazingira?
 
Kimsingi, sikatai hoja ya 'mindset' juu ya waTanzania, lakini litakuwa ni jambo la ajabu sana kusubiri 'mindset' ibadilike ndipo mambo yaanze kurekebishwa!

Hiyo 'mindset' itabadilishwa na nani?

Sasa hivi, hata kubadili tu Katiba, CCM hawataki. CCM hawataki Tume Huru ya Uchaguzi iwepo, kwa sababu itatibua uwepo wao madarakani.
Sasa kama CHADEMA na wao mpango wao ni kupambana ili waendeleze "mind set" ya waTanzania ambayo inawafaidisha CCM waendelee kukaa madarakani kwa nguvu, basi hapo sijui tutafanya kitu gani, maanake kuibadili 'mindset' ya watu, hivi hivi, bila ya usimamizi toka kwenye uongozi wowote, sioni hilo likitokea hata katika miaka hamsini ifuatayo!
Au labda tukagezee aina za 'mindset' toka kwa majirani zetu kimazingira?
Mfumo wowote unaotegemea mabadiliko ya kuletwa na watawala utakuwa umeshindwa kabla haujaanza.

Nyerere kawapinga wakoloni mpaka kachukua nchi.

Kapinga sheria za kikoloni. Mpaka kapewa kesi. Akashinda. Akawa rais.

Alivyochukua nchi akazitumia zile zile sheria za wakoloni kuminya uhuru. Akawafungia kina Kassela Bantu na Kasanga Tumbo. Akafuta vyama vingi.

Utawala mtamu. Madaraka matamu.

Hao wanaolilia tume huru leo, wakipewa madaraka bila mabadiliko ya mindset kwa Watanzania, watakosa incentive ya kubadilisha mfumo na watakuwa na incentive ya kuendeleza status quo.

Hapo ndipo umuhimu wa mindset kwa wqtu inapokuja.
 
Wala sikatai.

Ni kwamba tu mabadiliko ya kifikra nayo ni muhimu.

Mindsets zetu lazima zibadilike endapo kweli tunataka mabadiliko ya kweli.
Ukweli ni kwamba fikra za watanzania hasa waliopata elimu ni tabu kuliko hata ambao hawajasoma.
 
Mfumo wowote unaotegemea mabadiliko ya kuletwa na watawala utakuwa umeshindwa kabla haujaanza.

Nyerere kawapinga wakoloni mpaka kachukua nchi.

Kapinga sheria za kikoloni. Mpaka kapewa kesi. Akashinda. Akawa rais.

Alivyochukua nchi akazitumia zile zile sheria za wakoloni kuminya uhuru. Akawafungia kina Kassela Bantu na Kasanga Tumbo. Akafuta vyama vingi.

Utawala mtamu. Madaraka matamu.

Hao wanaolilia tume huru leo, wakipewa madaraka bila mabadiliko ya mindset kwa Watanzania, watakosa incentive ya kubadilisha mfumo na watakuwa na incentive ya kuendeleza status quo.

Hapo ndipo umuhimu wa mindset kwa wqtu inapokuja.
Hapana.

Bado hatuelewani.

Huwezi kamwe kusema hapakuwepo na mabadiliko yaliyopatikana kutokana na juhudi za kuuondoa ukoloni, hata kama baadhi ya sheria walizotumia wakoloni ziliendelea kutumika, huko ni kurahisisha mambo isivyokuwa kiuhalisia.

Kutokuwepo na vyama vya upinzani wakati wa Mwalimu Nyerere hakuna maana ya kwamba hapakutokea mabadiliko yoyote toka enzi za ukoloni.
Inajulikana wazi, hilo halikuwa jambo lililotokea Tanzania pekee, nchi nyingi za zilizopata uhuru vyama vya upinzani vilifutwa. Huo ulikuwa ni mfumo nje ya 'mindset' ya Tanzania.

"Utawala mtamu, madaraka matamu" - huo ndio msukumo mkubwa uliopo sasa, na hata tunaweza kusema ndiyo 'mindset' inayotawala sio kwa viongozi tu, lakini ni kama wananchi nao wamekwishalikubali hilo.

Sasa usipotegemea viongozi wenye maono ya kuleta mabadiliko, hiyo 'mindset' itabadilika vipi? Ni lazima pawepo na uongozi wenye malengo, kama hayo ya kuleta uhuru waliyokuwa nayo akina Mwalimu Nyerere, ambayo sasa mnayarahisisha hapa tu kwa kuyawekea lebo ya "uongozi mtamu, madaraka matamu"; kana kwamba kupatikana kwa madaraka ndilo lilikuwa lengo kuu na la mwisho katika kutafuta uhuru wa nchi.

Sasa hivi, tunarahisisha hivyo hivyo, kwa msemo huo huo wa "madaraka matamu, uongozi mtamu" tukisahau maana ya HAHI na UHURU wa watu.
 
Hilo la kubadili mindset nililizungumzia.


Hata tukipata katiba mpya, tusipobadili fikra zetu, itakuwa ni sawa na kazi bure tu.
Tupe mbinu ya kubadili mindset
 
Hapana.

Bado hatuelewani.

Huwezi kamwe kusema hapakuwepo na mabadiliko yaliyopatikana kutokana na juhudi za kuuondoa ukoloni, hata kama baadhi ya sheria walizotumia wakoloni ziliendelea kutumika, huko ni kurahisisha mambo isivyokuwa kiuhalisia.

Kutokuwepo na vyama vya upinzani wakati wa Mwalimu Nyerere hakuna maana ya kwamba hapakutokea mabadiliko yoyote toka enzi za ukoloni.
Inajulikana wazi, hilo halikuwa jambo lililotokea Tanzania pekee, nchi nyingi za zilizopata uhuru vyama vya upinzani vilifutwa. Huo ulikuwa ni mfumo nje ya 'mindset' ya Tanzania.

"Utawala mtamu, madaraka matamu" - huo ndio msukumo mkubwa uliopo sasa, na hata tunaweza kusema ndiyo 'mindset' inayotawala sio kwa viongozi tu, lakini ni kama wananchi nao wamekwishalikubali hilo.

Sasa usipotegemea viongozi wenye maono ya kuleta mabadiliko, hiyo 'mindset' itabadilika vipi? Ni lazima pawepo na uongozi wenye malengo, kama hayo ya kuleta uhuru waliyokuwa nayo akina Mwalimu Nyerere, ambayo sasa mnayarahisisha hapa tu kwa kuyawekea lebo ya "uongozi mtamu, madaraka matamu"; kana kwamba kupatikana kwa madaraka ndilo lilikuwa lengo kuu na la mwisho katika kutafuta uhuru wa nchi.

Sasa hivi, tunarahisisha hivyo hivyo, kwa msemo huo huo wa "madaraka matamu, uongozi mtamu" tukisahau maana ya HAHI na UHURU wa watu.
Wapi nimeandika hakuna mabadiliko yaliyopatikana kutokana na juhudi za kuondoa wakoloni?

Unajua kusoma kwa ufahamu?
 
Back
Top Bottom