Zitto: CHADEMA walifanya makosa haya ndiyo maana Lowassa akawakimbia, sisi hatutayafanya kwa Membe

Zitto: CHADEMA walifanya makosa haya ndiyo maana Lowassa akawakimbia, sisi hatutayafanya kwa Membe

Zitto anajua fika kwamba Bara Chadema ni more popular kuliko chama chake lakini anafanya juu chini kutaka Membe ndiye awe mgombea wa Upinzani. Chadema wasikubali upuuzi wake. Anataka kuweka mgombea mmoja basi ni Lissu tu na si Membe.
ZZK atakubalije Lissu awe mgombea urais vyama vya upinzani? Yeye anataka Membe lazima Chadema ionekane iko chini na ACT iko juuuu!!!!1
 
Yaani ninavyowajua wafuasi wa Mwamba (Mbowe) watalikuza hili jambo kupita kiasi. Na linaweza chochea vita kubwa sana kati ya Chademana ACT na kuondoa uwezekano wa kuungana kwenye uchaguzi huu. Hapo Nyani Ngabu (the Sukuma Genious) atakuwa amefanikiwa sana kufanya 'divide and rule'. Na CCM itapita katikati kiulanii. CCM Hoyee.....
 
Watazania kama tunataka mabadiliko tusipende sana kubeza jitihada za vyama vya upinzani, nashangaa upinzani kwa upinzani kubezana , hivi upinzani kuna nani ambaye anakubalika zaidi au anaweza kushindana na membe? ni wakati wa vyama vya upinzani kuungana na kusahau uchama wenu, mnabeza je juhudi za ACT wazalendo? unganeni mpitishe mgombea mmoja.
 
Watazania kama tunataka mabadiliko tusipende sana kubeza jitihada za vyama vya upinzani, nashangaa upinzani kwa upinzani kubezana , hivi upinzani kuna nani ambaye anakubalika zaidi au anaweza kushindana na membe? ni wakati wa vyama vya upinzani kuungana na kusahau uchama wenu, mnabeza je juhudi za ACT wazalendo? unganeni mpitishe mgombea mmoja.
Wewe unamuona Membe kuwa ni mpinzani kweli?
 
Watazania kama tunataka mabadiliko tusipende sana kubeza jitihada za vyama vya upinzani, nashangaa upinzani kwa upinzani kubezana , hivi upinzani kuna nani ambaye anakubalika zaidi au anaweza kushindana na membe? ni wakati wa vyama vya upinzani kuungana na kusahau uchama wenu, mnabeza je juhudi za ACT wazalendo? unganeni mpitishe mgombea mmoja.
Membe atakula aliko peleka mboga mzee baba.
 
Tatizo la ACT wamekusanyana woote ni wasaliti ebu angalia historia yao:

1. Maalim alisaliti "Lumumba" Baba wa Taifa akumuweka Pembeni...akakimbilia kwao zbr.
2. Zitto alitaka kusaliti na kumpindua Mwenyekiti wake tena kwa ila na ghiliba wakamstukia mapema wakamtimua
3. Membe alitaka kumuondoa madarakani mwenyekiti wake akawahiwa..akatimuliwa
4. Saed Kubenea na wenzake walitaka kuiga matendo ya Zitto alipokuwa Chadema wakawahiwa ni kupewa adhabu kali ikiwa ni pamoja na "kutengwa"..wenzake wameshatangulia vyama vingine vya upinzani alikuwa anasubiriwa yeyeye..e.t,c

Sasa 1. Msaliti+2.Msaliti+3.Msaliti+Msaliti= MTAJAZA WENYEWE MAJIBU
 
Membe atakula aliko peleka mboga mzee baba.

Ni mpinzani.
Acheni kulalamika miaka yote tunalalamika badala ya kukaaa vyama vyote na kuamua mgombea, bila muungano wa vyama vyote kusimamisha mgombea mmoja ni kupoteza muda kudhani ccm mtaishinda.
 
Sawa lakini tunachosema Membe kuhamia upinzani July, 2020 na miezi mitatu baadaye apewe nafasi ya kupeperusha bendera ya upinzani kugombea Urais siyo sawa hata kidogo.

Ni mpinzani.
Acheni kulalamika miaka yote tunalalamika badala ya kukaaa vyama vyote na kuamua mgombea, bila muungano wa vyama vyote kusimamisha mgombea mmoja ni kupoteza muda kudhani ccm mtaishinda.
 
Ni dharau kwa wanachama waliotumia muda wao mwingi na pengine kuhatarisha maisha yao kwa ajili ya chama

Tukikumbuka ya Lowassa 2015, ndio mpaka leo CHADEMA ina changamoto nyingi maana alikirudisha chama nyuma
Sawa lakini tunachosema Membe kuhamia upinzani July, 2020 na miezi mitatu baadaye apewe nafasi ya kupeperusha bendera ya upinzani kugombea Urais siyo sawa hata kidogo.
 
Kuwepo upinzani kwa miezi mitatu tu hata katiba ya ACT WAZALENDO hajaijua halafu kumpa nafasi kubwa hivyo ni makosa makubwa sana.

Time will tell, Membe sio wakumwamini, tena kwa kumpa nafasi ya kugombea kiti cha urais, alitakiwa abaki kama mwanachama if he really wanted to be in opposition side
 
Kada La CCM limeanzisha Mada,

Special kwaajili ya "Kuyagonganisha Vichwa" Misukule ya Vyama halafu lenyewe limekaa kando lina SIP WINE.

Very stupid.

Tusubiri " Magu's Ubatizo wa Moto Part 2"

Kumbe Bado Hamjajitambua.
 
Nimemsikiliza Zitto na sababu yake/ zake kwanini suala la Membe kuhamia kwenye chama chake halitokuwa kama ilivyokuwa kwa CHADEMA na Lowassa na Sumaye na wengineo.

Sababu zake kuu ni kwamba hao waliohamia CHADEMA kipindi kile hawakujiona au hawakuonekana kuwa ni sehemu ya ‘movement’.

Pia, eti hawakujiona au kuonekana kuwa walikuwa ni sehemu ya ‘familia’ ya CHADEMA.

Muda utazungumza tu. Ila Zitto inabidi awe mwangalifu na uchaguzi wa maneno yake.

Kwenye hili nadhani Bw. Zitto anaathiriwa na kuwa ‘prisoner of the moment’.

Natumaini yeye na ACT yake watakuwa na mipango baada ya uchaguzi ujao baada ya kushindwa.

Maana ushindi huwaunganisha watu na ushindwaji hugawanyisha.



LOWASSA NI KAMA MREMA MPYA KWA SASA ;MTU AMBAYE KASHINDWA KUSTRIKE DEAL YA MAANA YA KURUDI CCM ,ATAMSAIDIA NANI...JUST IMAGINE KAKOSA UJASIRI HATA WA KUWATETEA WAFUASI WAKE WALIOBAKIA CCM , NA WALIO NDANI HADI LEO WAACHIWE ..
WANASIASA WAKUBWA DUNIANI HUWA WAKITAKA KUFIKIA MAKUBALIANO HUHAKIKISHA WANATETEA WAFUASI WAO WALIOPIGANA PAMOJA .........YEYE KAWA SO CHEAP NA MBINAFSI ZAID
 
Back
Top Bottom