Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Uchonganishi baina ya wapinzani umeanza!
Ukweli ni kwamba Lowasa hajawahi kujihisi kuwa ni mpinzani mwenye jukumu la kuuondoa mfumo, bali yeye alitaka awe rais tu baasi lakini hakuwahi kuamini katika vision wala mission ya Upinzani
Ukweli ni kwamba Lowasa hajawahi kujihisi kuwa ni mpinzani mwenye jukumu la kuuondoa mfumo, bali yeye alitaka awe rais tu baasi lakini hakuwahi kuamini katika vision wala mission ya Upinzani