Zitto, Habibu Mchange hana sifa za Kukunadi

Zitto, Habibu Mchange hana sifa za Kukunadi

vijana na wanachama wa cdm ni busara kuwa kimya kuliko kuexpress hisia zako ktk kujibu ama kupangua hoja,hoja hupanguliwa kwa hoja na hakika hoja huasisiwa na fikra huru na kamwe hoja haitokani na mahaba mazito aliyonayo kwa chama ama mtu,ili kujenga chama makini na kinachofanya kazi kama taasisi ni busara sana kuruhusu fikra huru kujenga hoja,na kwenye fikra huru huwezi kukosolewa ukahisi umetukanwa bali kuna udhaifu sehemu vizuri kufanyia kazi.aina ya viongozi ambao cdm inawahitaji ni wenye fikra huru na uvumilivu wa kisiasa ili kujenga na kutetea taifa lao,vinginevyo ni kubomoa chama kwa makusudi.
 
Na ndivyo nilivyokujibu miye maana aliyenzisha mada kazungumzia M4C sana tu na kwamba hawamuhitaji Zitto na kueleza mambo kibao yanayomhusu Kitila kumuunga mkono Zitto. Haikuwa haja wala sababu maana M4C yenyewe Zitto na Kitila ni wahusika ktk maandalizi yake. Imefika hadi kila anayekubaliana na Zitto basi ni adui badala ya kumsikiliza kwanza mkaelewa kwa nini kasimamia mtazamo wake.

Mkuu wangu kila kinachoelea kimeundwa, Chadema haikushuka toka mbinguni imeundwa na watu wamekijenga chama hicho kuwa hapo kilipo. Sasa naanza kumwelewa Zitto anaposema OVYO maana imekuwa ujinga mtupu kwa mada kama hizi. Kila siku kukicha ni kuhusu Zitto au Uislaam yaani hamchoki kuzungumzia watu wengine mkijiona nyie wabora zaidi. Na nyie ndio mnataka kuifanya CHASO mradi binafsi maana kuna watu mnawatenga isipokuwa nyie tu ndio wazuuuri msiokuwa na mfano.

Halafu sijasema hamtakiwi kutokubaliana, hata hapa nadhani hatukubaliani lakini sioni sababu ya kuchukiana kiasi hicho. .. Na ndio maana tunatakiwa kusahihishana ama kuelekezana lakini sio kuunda chuki na Uadui ambao haukisaidii chama, wewe au Zitto. Na nimesema tena binafsi yangu kuna mambo sikubaliani na Zitto, Mbowe wala Dr.Slaa na husema pale napoona wamepotoka wao ktk yale waloyasema ama kuyafanya lakini hata siku moja kama ningekuwa ktk wajumbe wa chama ama kiongozi ngazi yoyote ile nisinge diriki kuandika lolote lilohusiana na vikao vya chama unless ni kwa faida ya chama..

Mkuu hivi unapotumia maneno ninyi au generalization unamaanisha nini.Mimi najadili peke yangu kwa hiyo usijibu general na ukininukuu basi stick kwenye hoja niliyotoa usihusishe na post au mawazo ya wengine

pia hii hoja yako kwamba Chadema imeundwa.Ndiyo nakubali.Ila ukishiriki kuijenga haimaanishi uachwe tu unapoonekana kuiharibu.Je angeshiriki kuianzisha.Mzee Mtei Mwenyewe anakiheshimu chama na anajua kiko juu yake na ndiyo maana anaheshimika ndani na nje ya chama

Pia mimi ni mwanachama wa kawaida wa chadema na kama nilivyosema awali suala la zitto si geni na si siri.kila mtanzania anajua jinsi zitto livyojihusisha kuvuruga chama na kujichafua
 
Mkuu Kombe naomba ifike wakati tufunge mijadala hii maana haitujengi na wala haijengi chama:

Ni vyema watu tukaheshimiana na kuheshimu wengine, pia ni lazima tujue hatuwezi kupendwa na wote!

Japo nimesikitishwa na tishio la mkuu Mkandara kurudisha kadi ya chama lakini lazima niheshimu maamuzi yake!

Mimi ninacho amini mpigania haki hachoki wala hawezi kukata tamaa, na lazima tukubali kuwa cdm si chama cha malaika bali binadamu hivyo binadamu kugombana ni swala la kawaida ni swala la kuchukua hatua kuyamaliza haya mambo sisi wenyewe tena hana kwa hana si kutumia miitandao.

Ni lazima watu watambue kuwa kutukana watu na viongozi kupitia mitandao si busara na wala hkutatui tatizo bali kuongeza chuki baini yetu!

Mungu ni mwema cdm haitasambaratika tuvumiliane kwenye hali zote.

Mungu ibariki CHADEMA,MUNGU WABARIKI VIONGOZI WOTE

Mkuu ndicho ninachokifanya exactly hapa
 
Mkuu Mkandara nimesikitishwa sana na tishio/kusudio lako la kutaka kurudisha kadi ya Chadema kwasababu unaona Zitto anashambuliwa na ''vijana wa Chadema''.

Hivi inawezekanaje kukereka na mizimu ya JF inayojiita vijana wa Chadema to the extent ya kutaka kusitisha uanachama wako? Msimamo wako unanipa maswali kadhaa; Ulijiunga Chadema kumfuata Zitto ama ulivutiwa na sera za chama?

Je umewahi kusoma kwenye facebook kuona wanachoandika akina Mchange, Mtela, Juliana, Immaculate, Nyakarungu, Chagulani pamoja na wengine wengi wa kundi lao dhidi ya Dr. Slaa?

Hii notion ya kwamba kila mtu anayempinga Zitto anamchukia umeitoa wapi mkuu wangu mbona unakwenda mbali sana?

Hao vijana wanaokesha mitandaoni wakimtukana Dr. Slaa na kumtukuza Zitto ndio unawaona wa maana kuliko hawa wanaompinga Zitto? Nidhamu kwa viongozi unayoizungumzia hapa inakuwa na mashiko kwa upande mmoja tu ulio na maslahi nao au sijakupata vizuri kamanda wangu?
 
Last edited by a moderator:
Alaaa! kumbe huu ni msimamo wa chama?..SIKUJUA..Basi nihesabuni sio mwanachama na kadi yenu nitawarudishia..Sitaki unafiki kabisa..

Huwa nacheka sana ninapoona ugeu geu wako dhidi ya Chadema. who ar u by the way hadi ushauti hapa kuwa utarudisha kadi?
Huwa nakushauri sana kuwa achana na mijadala ya kidini, si unaona madhara yake? kwa mtu yoyote anaefuatilia coment zako hapa hasa kwenye mijadala ya kidini ataelewa namaanisha nini kukuambia haya maneno.
 
Mkandara mbona unakoamaa sana watu wampende Zitto bila sababu?Zitto mwenyewe ana tabia zinazochukiza watu huku akizidi kuzikuza.Sasa naona umeamua kukubali kuwa kazi yako humu ndani ni kuishambulia CDM tuu.
Mkuu, nyinyi nyote hamjamuelewa Mkandara....mkandara kaanza kuibadilikia CDM baada ya wafuasi wengi waCDM hapa jamvini
kumkashifu sheikh Ponda na uislaam. Sasa anachofanya hapa hana tofauti ya Ritz na Chama
 
kuna kundi fulani limejipa uhalali wa kila wanenacho popote basi hawastahili kuhojiwa wala kuombwa ufafanuzi wakiamini ktk udini,ubaguzi wa umri,ubaguzi wa kikanda,ukabila na pengine hata kuamini kuwa kiuelewa wapo mbali,niaminivyo mimi mtu anayetamani kuongoza nchi ya ataukataa ubaguzi wa aina yoyote kwa nguvu,akili na uwezo wake wote.daima atakuwa mkweli wa anachokiamini na atasimamia kwa dhati ya moyo wake.kama mwanachadema nina amini ktk busara,hekima,upendo,haki na usawa.kama mtu anadhani chama hakimridhishi unaachana nacho hakuna sababu ya kutishia ama kutangaza kujitoa kwakuwa hakuna mwenye kukulazimisha kuwako pahala usipopapenda.kila mtu yupo huru kuwa mwanachama wa chama chochote alimradi tu anazingatia sheria za nchi.tuwe huru kifikra kama kweli tunachokitafuta twakijua na kilipo.
 
Sidhani kwa mtu ana ye kitakia mema chama ana weza kutamka maneno kama haya! Lazima tujue kuwa mtu hawezi kupendwa na watu wote, na mtu wenye matunda ndio utupiwa mawe!

Maneno yako nimeshindwa kuyatofautisha na maneno ya wassira!

Mkuu hyu jamaa sasa anawaa kipondaponda
 
Pengine CDM wameamua kuamua ogopa propaganda za udini na uakanda toka kwa CCM na waislam kwa ujumla.Ila ningekuwa Kiongozi wa Zitto ningemsulubisha right away mapema kabisa na kura za kigoma niwaachie na kuwapa critics muda wa kupiga kelele.Singejali kama email zake za usaliti zilipatiaka kinyume cha sheria au lah,ila habari ya mwanahalisi na maneno yake jukwaani yangetosha kusimama nae.

Zumari lingepigwa sana tokea visiwani na kuchezwa kule ujiji na kwingine ila the message would be very clear.Na Zitto aachwe ajibehave kama kawaida yake hadi raia wathibitishe wao wenyewe jinsi alivyo kama Wema na kamati ya miss Tanzania.
 
Mkuu Mwita,
Asante sana kamanda kwa kusimamia ukweli.Great Thinkers wa JF wanajua kinachoendelea tangu jana

Tuendeleze harakati kamanda

Kamanda tuko pamoja.
Mwalimu Nyerere alipata kusema umasikini wa akili (mawazo) ni mbaya kuliko umasikini wowote ule.
Kuna watu wanajitanabaisha kwamba ni wana Chadema lakini kwa makusudi kabisa wameamua kujitia umasikini wa akili.
Wasiwasi wangu ni kwamba most of them hawana kazi maalum za kuwaweka mjini kwahiyo wameamua kufanya kazi moja tu ya kuwatukana, kuwakashifu na kuwadhalilisha viongozi wetu.
Siwezi kukubaliana na mtu yeyote anayetukana viongozi wangu ama wanachama wenzangu kwa sababu zozote zile hasa hapa JF ambapo wengi wanatumia majina fake (nayaita mizimu ya JF). Lazima tufike mahali tukubaliane kutokubaliana ili tu move forward.
Hawa watu wanaokesha wakitukana viongozi wetu mitandaoni wanalipwa na nani kwa kazi hiyo wanayoifanya?
 
Naomba usi hukumu cdm kwa makosa ya vivuli(mizimu)!
Pili mimi binafsi siwezi kufanya hivyo na wala sijawai fanya hivyo na sitokuja kufanya!

Sipendi tuzungumzie maswala ya dini na sidhani kama hii ni sababu ya Mkuu mkandara kusema ana rudisha kadi ya chama, wala sidhani!

Wala hatuwezi kuhukumu chama kwa vivuli na tutakuwa hatutendi haki kabisa!

Kwasababu nyinyi mashabiki wa CDM mnakashifu sanadini yake ya uislaam
 
Mkuu Mwita Manyara, usipoteze nguvu zako za hoja kwa Mkandara, mwenzako keshaachana na CDM siku nyingi sana
Kisa ni hii mijadala ya kidiniinayoendelea kila kukichahapa jamvini....anadai nyinyi mashabiki wa CDM mnatukana sana dini yake
ya islaam na Zitto wake
 
Naomba usi hukumu cdm kwa makosa ya vivuli(mizimu)!
Pili mimi binafsi siwezi kufanya hivyo na wala sijawai fanya hivyo na sitokuja kufanya!

Sipendi tuzungumzie maswala ya dini na sidhani kama hii ni sababu ya Mkuu mkandara kusema ana rudisha kadi ya chama, wala sidhani!

Wala hatuwezi kuhukumu chama kwa vivuli na tutakuwa hatutendi haki kabisa!

Kalagabao....habari ndiyohiyo, kazi kwako
 
Kamanda tuko pamoja.
Mwalimu Nyerere alipata kusema umasikini wa akili (mawazo) ni mbaya kuliko umasikini wowote ule.
Kuna watu wanajitanabaisha kwamba ni wana Chadema lakini kwa makusudi kabisa wameamua kujitia umasikini wa akili.
Wasiwasi wangu ni kwamba most of them hawana kazi maalum za kuwaweka mjini kwahiyo wameamua kufanya kazi moja tu ya kuwatukana, kuwakashifu na kuwadhalilisha viongozi wetu.
Siwezi kukubaliana na mtu yeyote anayetukana viongozi wangu ama wanachama wenzangu kwa sababu zozote zile hasa hapa JF ambapo wengi wanatumia majina fake (nayaita mizimu ya JF). Lazima tufike mahali tukubaliane kutokubaliana ili tu move forward.
Hawa watu wanaokesha wakitukana viongozi wetu mitandaoni wanalipwa na nani kwa kazi hiyo wanayoifanya?

The first time kusoma alichoandika mukandara ,and the sort nilitaka ichukia kabisa JF nikadhani ni mojawapo ya mitandao ya propaganda.This guys in a mission everywhere.Kuanzia mkazini, shuleni,mitandaoni,ktk muzic, ktk michezo ,katika bhangi,ktk unga,hata michezo ya kitoto kama hiyo iliyowakuta ya kukojolea ile "manual".Kwa haraka utaona ni kwanini hakuna space ya maendeleo.

katk asababu wanazotoa zote hakuna ya kuweza wasaidia halalisha kwanini wanaishambualia CDM au kuisupport CCM.
 
Mkuu Mkandara nimesikitishwa sana na tishio/kusudio lako la kutaka kurudisha kadi ya Chadema kwasababu unaona Zitto anashambuliwa na ''vijana wa Chadema''.
Hivi inawezekanaje kukereka na mizimu ya JF inayojiita vijana wa Chadema to the extent ya kutaka kusitisha uanachama wako? Msimamo wako unanipa maswali kadhaa; Ulijiunga Chadema kumfuata Zitto ama ulivutiwa na sera za chama?
Je umewahi kusoma kwenye facebook kuona wanachoandika akina Mchange, Mtela, Juliana, Immaculate, Nyakarungu, Chagulani pamoja na wengine wengi wa kundi lao dhidi ya Dr. Slaa?
Hii notion ya kwamba kila mtu anayempinga Zitto anamchukia umeitoa wapi mkuu wangu mbona unakwenda mbali sana?
Hao vijana wanaokesha mitandaoni wakimtukana Dr. Slaa na kumtukuza Zitto ndio unawaona wa maana kuliko hawa wanaompinga Zitto? Nidhamu kwa viongozi unayoizungumzia hapa inakuwa na mashiko kwa upande mmoja tu ulio na maslahi nao au sijakupata vizuri kamanda wangu?
Mkuu mwita,
Labda katika utafiti wako kati ya Dr.slaa na Zitto nani anaongozwa kusemwa vibaya,kusimangwa kwenye mitandao ya kijamiii?
ukinpa jibu nitatoa nilichokuwa nataka kueleza mkuu
 
Kamanda tuko pamoja.
Mwalimu Nyerere alipata kusema umasikini wa akili (mawazo) ni mbaya kuliko umasikini wowote ule.
Kuna watu wanajitanabaisha kwamba ni wana Chadema lakini kwa makusudi kabisa wameamua kujitia umasikini wa akili.
Wasiwasi wangu ni kwamba most of them hawana kazi maalum za kuwaweka mjini kwahiyo wameamua kufanya kazi moja tu ya kuwatukana, kuwakashifu na kuwadhalilisha viongozi wetu.
Siwezi kukubaliana na mtu yeyote anayetukana viongozi wangu ama wanachama wenzangu kwa sababu zozote zile hasa hapa JF ambapo wengi wanatumia majina fake (nayaita mizimu ya JF). Lazima tufike mahali tukubaliane kutokubaliana ili tu move forward.
Hawa watu wanaokesha wakitukana viongozi wetu mitandaoni wanalipwa na nani kwa kazi hiyo wanayoifanya?

Mkuu nipo sambamba na wewe.
Sikubaliana kwamba hawavijana hawanakazi maalumu,Labda kwa kusadikika kama unavyo wafikiria.lakini pia chanzo cha viongozi kutukanwa ninini?kwa nini upinzani upo kwa hawa watu wa juu tu ndani ya chama.
Pia naweza kukili wazi kwamba utofauti wa makundi mawili haya kinzani ni kwamba.
Hao unaowaita vijana wa zitto ni kwa sababu wamekuwa wakimtetea zitto kupingana na mambo mabalimbali ndani ya chama ambayo yanaonekana kuwa hayapo sawa.
lakini umewahi jiuliza Dr.slaa au Mbowe wanavijana?Ushiriki wao katika kumuattack zitto unafanyika kwa mtindo upi?
Kwangu mimi ni wazi opponents wa zitto ndani ya chadema kwa maana ya wale top pale juu ni kwamba wao wanacheza na mfumo wa uongozi,kwamba wanapanda mbegu mbalimbali mbaya au zisizo na mema kwa chama ndani ya uongozi wa chama kwenye matawi na mikoa mbalimbali,
Wanamchafua zitto kwenye system ya chama kwa chain ya uongozi wote wa tawi hadi taifa.lakini zitto hajawahi onekana akifanya kitu kama hicho cha kuwa chafua wao,Zitto anatetewa na wasamalia wema tu ambao kwa namna moja au nyingine yawezekana kuwa hata haonani nao,wengine hawafahamu hata kwa majina.
lakini wote mnawaita vijana wa zitto.Je vijana wa mbowe na slaa ni wapi?
Naomba tusiwe biased
 
Mkuu mwita,
Labda katika utafiti wako kati ya Dr.slaa na Zitto nani anaongozwa kusemwa vibaya,kusimangwa kwenye mitandao ya kijamiii?
ukinpa jibu nitatoa nilichokuwa nataka kueleza mkuu

Kwa observation yangu Dr. Slaa ndiye anashambuliwa zaidi tena mbaya zaidi vijana wa Chadema ndio wanaongoza mashambulizi wakishirikiana na watu wa ccm.
Zitto anashambuliwa na baadhi ya wanachadema lakini anaungwa mkono kwa nguvu sana na watu wa ccm kwa kushirikiana na wale vijana wa Chadema wanaomshambulia Dr. Slaa.
 
Chadema ina matatizo na yawezekana kabisa ukawa mwisho wa Umaarufu wake. Nazisoma dalili za chama kusambaratika kabla ya 2015, na maadam mashambulizi yanazidi kwa Zitto na Kitila sijui kama tutafika, sisi wengine tayari tumeisha anza kukusanya empty cartons...
Tumeyasema sana takribani mwaka na nusu sasa.
Nilitumiwa ujumbe '' Kaa kimya usilete migongano kwa analysis zako pumba''
Juzi tukatoa tathmini ya uchaguzi, ah! tukaishia kuambiwa wavivu wa kufikiri kwa neno 'fulani et al'
Ukweli kuwa kuna tatizo tena kubwa huihitaji certificate au diploma, just a matter of time.

-Siku watanzania tutakapoamua kuamini katika ujenzi wa Taasisi imara badala ya watu tutakua tmepiga hatua sana

-Hatutafuti kujenga watu bali Chama imara....katika taasisi adilifu na inayosimamia mchakato wa mabadiliko kwa ufanisi

-Hakuna asiyejua Taifa letu lina ombwe la kisera na kiitikadi.Hatuwezi kutatua au kuziba ombwe hili kwa kutegemea haiba(legacy) ya mtu mmoja mmoja.Tukifanya hivyo tutakuwa tunafanya worse kuliko enzi za state party.Tutakua tunaandaa mazingira ya mtu kushika hatamu
Hoja hii haitakiwi kupaliliwa na vijana ambao ndiyo wanaotarajiwa kuamua hatima ya Taifa letu

Hebu tujenge Chama kwanza kwani bila chama imara hakuna mgombea yeyote hata awe na nguvu kiasi gani atakayeweza kupambana mfumo huu ulioasisiwa na CCM kwa makusudi kabisa kwq maslahi yake
Hatujengi watu imara wa kupigana vita za koo.Tunajenga chama kuongoza ukombozi wa watanzania.
Kumuunga mtu mkono bila kujali mahitaji ya kisera na kiitikadi katika kile anachosimamia ni immaturitu ya aina yake.Kwa kijana msomi kabisa anayeelewa haya na akafanya makusudi atakua msaliti katika harakati hizi
Niungane naMwita Maranya, katika vijana wanaosimamia kile wanachokiamini kwa hoja na mantiki Ben ni mmoja wapo.Maandishi yake yana ukomavu wa kisiasa. Hata pale anapopingwa bado husimama kutetea hoja zake kwa mantiki.

Hizi kauli za FB za vijana kuushambulia uongozi ni zile zile za UVCCM na matokeo yake tunayaona.
Kuwepo mawazo mbadala ni jambo zuri 'health' na chama cha siasa kinapaswa kiwe hivyo. Sijui kama kashfa na matusi navyo ni 'health' kwa ustawi wa chama! sina uhakika

Soma maoni ya Tuntemeke anayeamini kuwa maisha binafsi ya Dr Slaa yana mahusiano sana na ujenzi wa chama na harakati za ukombozi wa nchi! Utagundua kuwa anaongozwa na inda wala si sera au ubovu wa uongozi. Huyu ni sehemu tu ya kundi kubwa huko FB, sijui ndizo taratibu za Chadema au la, ninachojua ni kuwa huo ni mwanzo wa mtafaruku na analysis ya Mkuu Mkandara ifanyiwe kazi na si kudhihakiwa. Kuna tatizo!

Chadema, kila mara tunasema, ni lazima muwe taasisi na si kundi maarufu. Taasisi hufanyakazi kwa kuzingatia kanuni, sheria na maadili no more no less!

Kama hamtaziba ufa basi mnaweza kushindwa kujenga ukuta maana utakuwa umeanguka.
 
TUNTEMEKE;4954880]Makala yako imeyakosa kachumbari hii hapa.Umeainisha vizuri kabisa kwamab Zitto ni ngao,kifua cha CHADEMA .Umemuunga mkono kutangaza nia ya Urais kwa asilimia mia moja.Nakupongeza kwa hilo.ZITTO HATA MIMI NAKUUNGA MKONO,NAKUSAPOTI KISIASA NA WEWE NDIYE ULINIFANYA NICHUKUE KADI
Kwa vile Zitto ni role model wako kama unavyonena, je, hiyo inahalisha umjenge kisiasa kwa kuzusha maneno au Uongo? Je, unataka kuwaambia nini wanachadema, kwamba uwepo wako ndani ya chama si kwa sera bali kuamini mtu! Hapo kuna siasa au ni si-hasa
LAKINI IKUMBUKWE WAZI NI BORA HAMSINI NZIMA KULIKO MIAMOJA MBOVU.KWA UCHAFU ALIONAO DR.SLAA KUANZIA KWENYE MSINGI WAKE WA KIDINI HADI MWENENDO WAKE NDANI YA CHAMA HATA MIMI SIWEZI KUTHUBUTU KUMUUNGA MKONO AU KUMFANYA AWE MODEL WANGU WA KISIASA
Je, uchafu wa Dr Slaa unavithibitisho au ni hisia tu! Chadema kinajengwa kama chama cha siasa au taasisi ya kidini? Ni nani miongoni wa wanachadema unaweza kumtoa hadharani na kutuhakikishia uadilifu wake katika imani!

KWA NAMNA MBOWE ANAVYOKIGEUZA CHAMA KAMPUNI,ANAVYOWAJAZA WACHAGGA PALE MAKAO MAKUU NA KWENYE UONGOZI MBALIMBALI WA CHAMA MIKOANI,NAKUHAKIKISHIA HATA KWA MJEREDI SIWEZI KUMUUNGA MKONO
Hebu fafanua au weka wazi ili tusiojua tujue, unaposema kampuni una maana gani? na hao viongozi wa kuwekwa na Mbowe ni wapi. Nakiri sina ufahamu naombaunisadie kuweka sawa kama Mwananchi tu.
MCHANGE KACHAGUA FUNGU LILIO JEMA ANAMSAPOTI NA KUMTETEA MTU AMBAYE HANA KASHFA ZA AKINA DR.SLAA AU MBOWE.
Kwa mtazamo wako upo sahihi, kwa wachambuzi wa mambo ya kisiasa hakuna ukweli.
Kwani huwezi kumtetea Zitto bila kuwakashfu watu wengine? Nasema kuwakashfi kwasababu hujaweka uthibitisho wa tuhuma zako zaidi ya hisia.
ZITTO NDIYE KIONGOZI PEKEE NDANI YA CHADEMA AMBAYE ANAKUBALIKA KWA VIJANA,WAZEE NA VIONGOZI WENZAKE KASORO HAO WAWILI NAO NIKWASABABU ZITTO ANAONEKANA KUWA NA POLITICAL CAPITAL KUBWA SANA NDANI YA NCHI NA NDANI YA CHAMA
Umetumia vigezo gani na takwimu zipi kufikia conclusion?

NACHUKIZWA NA MWENENDO WA DR.SLAA1.KASHFA YAKE YA KUSALITI DINI YAKE
2.KASHFA INAYOENDELEA HADI SASA YA KUONGOZWA NA MCHUMBA WAKE
3,KASHFA YA KUTENGENEZA MTANDANO WA MAJUNGU NA FITINA NDANI YA CHAMA
4.KASHFA YA KULA HELA ZA CHAMA
5.KASHFA YA KUFUKUZA VIONGOZI WA CHAMA KATIKA NGAZI MBALIMBALI ZA UKURUGENZI,MKOA NA TAWI KWA SABABU TU JOSEPHINE HAPENDANI NAO,ZITTO ANAKUBALIKA
Kashfa ya kusaliti dini na kashfa namba 6 zinahusiana vipi na mambo ya kisiasa? Kashfa hiyo inakiathiri vipi chama?

Kashfa ya 2 anaongozwa vipi, una vithibitisho au hisia! Je, akitokea mtu na kusema wewe ni kibaka tunapaswa kuamini tu kwasababu kasema mtu au tunahitaji vithibitisho kabla ya hitimisho. Chako dhidi ya Dr Slaa ni kipi?

Kashfa 3, mtandao upi ni wa majungu mbona bado unatuweka gizani. Kwanini usiutaje huo mtandao hadharani

Hadi hapo wewe ukiwa mwanachadema unayemuunga mkono Zitto, tayari umeshajipiga risasi mguuni( shoot yourself on the foot). Umekichafua chama katika maeneo yote ambayo kipo ''vulnerable''
Akipatikana mwanasiasa mahiri atazitumia hoja zako kuwamaliza Chadema na Zitto akiwemo.
Ulichokifanya ni kazi ya Abnuwasi aliyekalia tawi na kukata tawi hilo upande wa shina.

Kuna tatizo ndani ya Chadema! Lishughulikieni. Nilikuwa napitia makabrasha nikaona enzi za NCCR na CUF.
Nilidhani hizo zimepita nalazimika kusema bado!
 
  • Thanks
Reactions: SG8
Back
Top Bottom