imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Huwa ana bifu na Zitto mara nyingi nimeona nyuzi zake za kumsiginia kunguni Mwami.Huyu Bwashe mtata sana,kumbe kuna siku anadamka vizuri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwa ana bifu na Zitto mara nyingi nimeona nyuzi zake za kumsiginia kunguni Mwami.Huyu Bwashe mtata sana,kumbe kuna siku anadamka vizuri.
Haaaaa haaaaa.Huwa ana bifu na Zitto mara nyingi nimeona nyuzi zake za kumsiginia kunguni Mwami.
Rafiki zangu Wanyamwezi hawanaga bahati katika vyama sijui kwaniniNamkumbuka rafiki yangu James Mapalala baada ya kudhulumiwa CUF alianzisha CHAUSTA alihangaika sana hadi kifo chake.
Siasa ni ngumu sana.
Rafiki zangu Wanyamwezi hawanaga bahati katika vyama sijui kwanini
Ametoka usingizini bado hajavaa sarw ya ccm kwani hiyo huondoa akili za watuLeo umesema kweli umekunywa nini asubuhi.
Hata Mbatia aliachiwa urithi wa wanachama na Mrema mifano ni mingi.Siasa zetu za kuchaguana kwa kuangalia sura na mengineyo haziwezi kumfanya Zitto aachiwe makaratasi ya msajili.
Naona huyu ana bahati ya kuachiwa urithi wa wafuasi wa Maalim Seif, hivyo ataendelea kutembea nao mpaka pale naye atakapomuachia kiongozi mwingine huo urithi.
Mola aepushie mbali. Ila siasa huwa hazitabiriki. Wewe ulitegemea kweli miaka miwili iliyopita kuwa leo hii Ndugai angekuwa amepitishwa kwenye tanuru la moto kama alilopitia ?Sidhani kama Zitto ni mjinga hivyo.
Hata Seif na Mrema na Mbatia hawakuwa wajinga muda ukifika umefika.Sidhani kama Zitto ni mjinga hivyo.
Ya usajili toka kwa TendwaMakaratasi gani bwashee?
Siasa ni kuzicheza karata vizuri.Mola aepushie mbali. Ila siasa huwa hazitabiriki. Wewe ulitegemea kweli miaka miwili iliyopita kuwa leo hii Ndugai angekuwa amepitishwa kwenye tanuru la moto kama alilopitia ?
Maalim Seif hakuwahi kutegemea kuwa kuna siku Lipumba angemgeuka kwa zile hustle walizopitia pamoja
Huyu ndiye aliyekabidhiwa cheti cha usajili wa kudumu wa ACT sijui kama hata Zitto anamkumbuka.chama chenyewe alikikwapua kutoka kwa Lucas Kadawi Limbu na wenzake. Kisha akawafanyia roho mbaye wenzake akina Kitila na mama Mghwila, wakatimkia ccm. Ipo siku ukweli mchungu utakuwa dhahiri kwake
Ni hadi bahati iwe inapita na wewe sasa. Ikiteleza tu unajikuta kama Mbatia au MremaSiasa ni kuzicheza karata vizuri.
who is this?Huyu ndiye aliyekabidhiwa cheti cha usajili wa kudumu wa ACT sijui kama hata Zitto anamkumbuka.
View attachment 2402864
ACT inatumika na CCMACT - Wazalendo haina wanachama wala jengo la ofisi inalomiliki Bara. ACT inategemea nguvu ya wanachama kutoka Zanzibar wengi wakiwa ni wale waliokuwa wafuasi wa CUF- Maalimu Seif.
ACT -Wazalendo haina Jengo la Chama kwa maana ya umiliki, jengo walilopewa na Maalimu Seif Foundation ni lile walilokuwa wanatumia waliokuwa Wabunge watiifu wa Maalimu Seif, linamilikiwa na familia ya Seif.
ACT Wazalendo haina mtandao Bara mtandao wake uko Zanzibar. Kwa mtu makini ataelewa hapa mwenye nguvu ya chama ni nani kati ya Zitto, Wazanzibari na familia ya Seif.
Siku wenye chama chao wakiamua kuondoka na jengo lao chama kitakufa Zitto atabaki na makaratasi ya Msajili wa vyama vya siasa tu. Jifunze kutoka kwa Lipumba na CUF yake.
Najua wafuasi wa Zitto hawapendi kusikia haya lkn, Ukweli ndio huo.
Zitto and others, Keep this short Thread you will thank me later.
2025 wanarudi CUFHilo yeye halijui.
Siku akikosana na wapemba atabaki yeye na Abdul nondo tu