Masikini, sasa yuko wapi?Kidawi Limbu ndiye alikuwa Mwenyekiti wa kwanza wa ACT baada ya kupata usajili wa kudumu alitimuliwa kama mbwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Masikini, sasa yuko wapi?Kidawi Limbu ndiye alikuwa Mwenyekiti wa kwanza wa ACT baada ya kupata usajili wa kudumu alitimuliwa kama mbwa.
Ulichanga bei gani?Acheni maneno cdm jengeni ofisi mnatuchangisha sana aisee wafuwasi wenu sio wajinga acheni mapambio
Zzk anachojali kwa sasa ni kusukuma siku huku akisikilizia kutoka kwa waajili wake lumumba.ACT - Wazalendo haina wanachama wala jengo la ofisi inalomiliki Bara. ACT inategemea nguvu ya wanachama kutoka Zanzibar wengi wakiwa ni wale waliokuwa wafuasi wa CUF- Maalimu Seif.
ACT -Wazalendo haina Jengo la Chama kwa maana ya umiliki, jengo walilopewa na Maalimu Seif Foundation ni lile walilokuwa wanatumia waliokuwa Wabunge watiifu wa Maalimu Seif, linamilikiwa na familia ya Seif.
ACT Wazalendo haina mtandao Bara mtandao wake uko Zanzibar. Kwa mtu makini ataelewa hapa mwenye nguvu ya chama ni nani kati ya Zitto, Wazanzibari na familia ya Seif.
Siku wenye chama chao wakiamua kuondoka na jengo lao chama kitakufa Zitto atabaki na makaratasi ya Msajili wa vyama vya siasa tu. Jifunze kutoka kwa Lipumba na CUF yake.
Najua wafuasi wa Zitto hawapendi kusikia haya lkn, Ukweli ndio huo.
Zitto and others, Keep this short Thread you will thank me later.
Umemsahau na mcubaKina Abdul Nondo watabisha ila huu ndiyo ukweli.
Zzk ni kula kwenda tuHahaa kama namuona Abdul Nondo kanuna but the facts are open. No Seif, No Wazalendo.
Upo sawa kabisaUko sahihi, kulikuwa hakuna haja ya kutangaza uongo kuwa wamekenga na kuusambaza kwa vyombo vya habari, hawajui uongo kidogo tu unaweza kuondoa trust ya wanachama kwa chama.
Nyepesi Nyepesi, ofisi ya bwana yule "ALIYEJITEKA" kilikuwa chumba cha SINDNO...Huwa ana bifu na Zitto mara nyingi nimeona nyuzi zake za kumsiginia kunguni Mwami.
Hahaa inawezekana maana nyumba hiyo ilikuwa hospitali ya Mikumi.Nyepesi Nyepesi, ofisi ya bwana yule "ALIYEJITEKA" kilikuwa chumba cha SINDNO...
huu ni ukweli mchungu ambao hata zitto wenyewr hatotaka kuhusikiaACT - Wazalendo haina wanachama wala jengo la ofisi inalomiliki Bara. ACT inategemea nguvu ya wanachama kutoka Zanzibar wengi wakiwa ni wale waliokuwa wafuasi wa CUF- Maalimu Seif.
ACT -Wazalendo haina Jengo la Chama kwa maana ya umiliki, jengo walilopewa na Maalimu Seif Foundation ni lile walilokuwa wanatumia waliokuwa Wabunge watiifu wa Maalimu Seif, linamilikiwa na familia ya Seif.
ACT Wazalendo haina mtandao Bara mtandao wake uko Zanzibar. Kwa mtu makini ataelewa hapa mwenye nguvu ya chama ni nani kati ya Zitto, Wazanzibari na familia ya Seif.
Siku wenye chama chao wakiamua kuondoka na jengo lao chama kitakufa Zitto atabaki na makaratasi ya Msajili wa vyama vya siasa tu. Jifunze kutoka kwa Lipumba na CUF yake.
Najua wafuasi wa Zitto hawapendi kusikia haya lkn, Ukweli ndio huo.
Zitto and others, Keep this short Thread you will thank me later.
Nyepesi nyepesi ofisi ya bwana "ruyagwa" ilikuwa maabara ya kupima (POOP)ACT - Wazalendo haina wanachama wala jengo la ofisi inalomiliki Bara. ACT inategemea nguvu ya wanachama kutoka Zanzibar wengi wakiwa ni wale waliokuwa wafuasi wa CUF- Maalimu Seif.
ACT -Wazalendo haina Jengo la Chama kwa maana ya umiliki, jengo walilopewa na Maalimu Seif Foundation ni lile walilokuwa wanatumia waliokuwa Wabunge watiifu wa Maalimu Seif, linamilikiwa na familia ya Seif.
ACT Wazalendo haina mtandao Bara mtandao wake uko Zanzibar. Kwa mtu makini ataelewa hapa mwenye nguvu ya chama ni nani kati ya Zitto, Wazanzibari na familia ya Seif.
Siku wenye chama chao wakiamua kuondoka na jengo lao chama kitakufa Zitto atabaki na makaratasi ya Msajili wa vyama vya siasa tu. Jifunze kutoka kwa Lipumba na CUF yake.
Najua wafuasi wa Zitto hawapendi kusikia haya lkn, Ukweli ndio huo.
Zitto and others, Keep this short Thread you will thank me later.
Nasubiri nijue ofisi ya nani anatumia kilichokuwa chumba cha kuhifadhia maiti.Nyepesi nyepesi ofisi ya bwana "ruyagwa" ilikuwa maabara ya kupima (POOP)
Zito hana lengo lolote zaidi ya kutumikia malengo ya ccm ambayo ni kuvuruga cdm.Kwanza naona mleta mada na Baadhi ya wachangiaji kama wameanzisha huu uzi kutoa stress zao.
Ukiacha lugha za chuki kwa Zitto. Kilicho muhimu ni kujua namna ya kwenda na wazanzibari.
Hakuna chama chochote Tanzania hii ambacho hakitamani kupendwa na Wazanzibari. Si chama tawala wala Upinzani.
Mara ngapi CCM kinajaribu kutumia ushawishi wake ili kipendwe hiki ni chama Tawala.
Sikwambii Chadema na vyengine. Kule kuna malengo ya kisiasa na kuna ajenda za kudumu za kufanya siasa kuwa hai.
Nampongeza Zitto na Wenzake kwa kuona fursa cha msingi ni kujua namna za kuitumia ili kujenga mtandao wa chama mkubwa bara na visiwani. Unapozungumzia Wazanzibari (mnawaita wapemba) wameenea kote nchini na ni wafuasi wazuri wa kile wanachokiamini hawa ukiwachanganya na wanachama wengine wa huko Bara unapata ulezi na msingi mzuri wa mashina na ngome za chama. Hii ilikuwa siri ya CUF ambayo imekosa hio imani kwa sasa.
Kuna mtaji mwengine wa Elite walioko nje na wafanyabiasdhara . Wazanzibari wameeneo kila kona ya Dunia kutokana na historia yao ya visiwa.
Ushauri kwa akina Mh Zitto na wengine.
Tulizeni akili mjue vya kwenda na Wazanzibari ili mfikie malengo yenu. Kuna watu wanaitaka bahati hio hawajaipata kabisa. Zanzibar ndicho kitovu cha hamasa cha siasa za Tanzania na Mabadiliko kutokana na ajenda za kudumu za kimuungano na usawa, Uzalendo wa kiinchi na kujitawala, fursa za kiuchumi na ndoto za maendeleo ya ulimwengu ulivyo. Kule kuna kinyanganyiro (scramble) cha kuvutia mabwana wakubwa wa dunia kutokana na nafasi ya kijiografia ya Zanzibar. Zanzibar nafasi yake ipo kimkakati mno na ndio maana bila kuidhibiti Zanzibar unakosa utulivu wa kila kitu ki nchi. Sehemu kama hio ukawa na majority supporters inakuwa umeula kisiasa licha ya udogo wake na idadi ndogo ya watu.
Niishie hapo tu lakini Mh Zitto na wenzako jitahidinbi msikosee kama Lipumba. Kule wakishakosa imani nawe hutoboi. iulizeni CCM.
Nawasilisha
[emoji28][emoji28][emoji28]Nyepesi Nyepesi, ofisi ya bwana yule "ALIYEJITEKA" kilikuwa chumba cha SINDNO...
Wapemba sio wajinga.Hao wapemba wameingia mkenge
Ha ha haaaa..mzalendo halisi..Nasubiri nijue ofisi ya nani anatumia kilichokuwa chumba cha kuhifadhia maiti.
Toka enzi za mwenda zake hata aongee vipi wala hawana habari naye kifupi hana "MADHARA".....Zito hana lengo lolote zaidi ya kutumikia malengo ya ccm ambayo ni kuvuruga cdm.
Zito ni kibaraka wa ccm..kumbuka sikio haliwezi zidi kichwa.
Hao wapemba wameingia mkenge wenyewe..na ndio wanaenda kumalizwa kisiasa kama wasiposhitukia mchezo mapema.
Zito hana lengo la kupeleka chama chochote ikulu.
#MaendeleoHayanaChama
Namkumbuka rafiki yangu James Mapalala baada ya kudhulumiwa CUF alianzisha CHAUSTA alihangaika sana hadi kifo chake.
Siasa ni ngumu sana.
Siasa zetu za kuchaguana kwa kuangalia sura na mengineyo haziwezi kumfanya Zitto aachiwe makaratasi ya msajili.
Naona huyu ana bahati ya kuachiwa urithi wa wafuasi wa Maalim Seif, hivyo ataendelea kutembea nao mpaka pale naye atakapomuachia kiongozi mwingine huo urithi.
Quinine NAOMBA NIKUITE AKILI KUBWA. Umeleta hoja mbayo si rahisi mtu kuifikiria. Kwa wazazibari, hakuna chama kinaitwa ACT , Kiichojengwa kwenye mioyo yao ni chama kinaitwa "CUF_ MAALIM SEIF". Wao belief yao ni hiyo.
Kwa uzandiki wa Magufuli na Lipumba, akaiua CUF na Wazazibar wakabaki bila chama cha kuwaunganisha . Wafanyeje na walijua wakianzisha chama hakiwezi kusajiliwa. JISHIKIZE KWA ACT cum Zito.
Hivyo Zito Zanzibar hana chama wala wafuasi wa ROHONI, wanajishikiza... na bara hawa wafuasi. It is a matter of time when it is ripe to have their own identity cemented on the foundation of Maalim Seif.
Zito kwa Zanzibar anabebwa may be na dini! mwenzetu huyu katika Imani....