Zitto hana chama, chama ni cha Wapemba na wafuasi wa Maalimu Seif

Aisee! Kumbe kuna vyama vipo up for grabs? Ngoja na mimi nitafute kimoja nikikwapue.
 
Hata Mbatia aliachiwa urithi wa wanachama na Mrema mifano ni mingi.
 
Sidhani kama Zitto ni mjinga hivyo.
Mola aepushie mbali. Ila siasa huwa hazitabiriki. Wewe ulitegemea kweli miaka miwili iliyopita kuwa leo hii Ndugai angekuwa amepitishwa kwenye tanuru la moto kama alilopitia ?

Maalim Seif hakuwahi kutegemea kuwa kuna siku Lipumba angemgeuka kwa zile hustle walizopitia pamoja
 
Siasa ni kuzicheza karata vizuri.
 
Quinine NAOMBA NIKUITE AKILI KUBWA. Umeleta hoja mbayo si rahisi mtu kuifikiria. Kwa wazazibari, hakuna chama kinaitwa ACT , Kiichojengwa kwenye mioyo yao ni chama kinaitwa "CUF_ MAALIM SEIF". Wao belief yao ni hiyo.

Kwa uzandiki wa Magufuli na Lipumba, akaiua CUF na Wazazibar wakabaki bila chama cha kuwaunganisha . Wafanyeje na walijua wakianzisha chama hakiwezi kusajiliwa. JISHIKIZE KWA ACT cum Zito.

Hivyo Zito Zanzibar hana chama wala wafuasi wa ROHONI, wanajishikiza... na bara hawa wafuasi. It is a matter of time when it is ripe to have their own identity cemented on the foundation of Maalim Seif.

Zito kwa Zanzibar anabebwa may be na dini! mwenzetu huyu katika Imani....
 
chama chenyewe alikikwapua kutoka kwa Lucas Kadawi Limbu na wenzake. Kisha akawafanyia roho mbaye wenzake akina Kitila na mama Mghwila, wakatimkia ccm. Ipo siku ukweli mchungu utakuwa dhahiri kwake
Huyu ndiye aliyekabidhiwa cheti cha usajili wa kudumu wa ACT sijui kama hata Zitto anamkumbuka.

 
Kilicho msumbua Zitto ni kutaka nafasi ya kiongozi wa upinzani bungeni akidhani atapata wabunge wengi toka Zanzibar lakini Mwendazake akapiga tobo yeye mwenyewe na kuishia kupata wabunge wanne tuu
 
ACT inatumika na CCM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…