Zitto Kabwe: ACT sio chama cha kupiga kelele na kubwabwaja-bwabwaja, tutashiriki uchaguzi hata kama hakuna Katiba mpya

Hata CHADEMA uchaguzi lazima washiriki katika mazingira yoyote yale.
 
Act wazalendo na CCM wanaunda SUK sasa inawezekanaje asishiriki uchaguzi? Hii haikupaswa kuwa habari
 
Safi sana, hongera Mheshimiwa Zitto, wabwabwajaji watajifunza kwako, nina imani watabadili gia angani waachane na ubwabwajaji. Kongore.

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
 
Hiyo katiba mpya yenyewe haitakuwepo hadi 2025.
Sisi tunahitaji maendeleo kama ujenzi wa Hospitali, vituo vya afya, zahanati pamoja na shule kwa ajili ya watoto na wajukuu wetu, maji safi na salama, barabara nzuri, umeme hata kwa sisi wa vitongojini n.k. Kwani katiba mpya itavileta hivyo ikibadilishwa, kazi iendelee mama chapa kazi, wabwabwajaji wapuuze midomo mali zao wabwabwaje hadi wawe ubwabwa.

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
 
Kwamba Nyepesi ni Mbembe wa Kongo?
 
Mbinu hii ya ACT ya kutoa hoja mbadala hufaa sana ktk nchi zenye katiba bora na utawala wa kidwmokrasia. Lkn kwa chama kama ccm na taifa kama Tanzania mbinu ya ACT ni kuisherehesha ccm na kuifanya iendelee kutawala.

Ccm itaondolewa madarakani kwa kulianzisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…