Wengine wapo wanaendelea kutoa matamko ya kupinga bandariWenye element za Udini wako safarini kuelekea Gaza 😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengine wapo wanaendelea kutoa matamko ya kupinga bandariWenye element za Udini wako safarini kuelekea Gaza 😂😂
Waislamu ndio wanapigana na Mayahudi GazaWengine wapo wanaendelea kutoa matamko ya kupinga bandari
Hivi rost tamu Yuko wapi?Waislamu ndio wanapigana na Mayahudi Gaza
Bandari iko Kwenye Mikono salama ya Mgalatia Aziz😀😀
In God We Trust
Yuko Kwake MarekaniHivi rost tamu Yuko wapi?
Nikipita Igunga kwa shilole sijamwona,
Natamani anioe mke wa pili,😂🤣
🤣😂Naomba namba yake ,nimcallYuko Kwake Marekani
Umeandika nini? Lazima utaje uislam. Kwa taarifa yako uislam zaidi ya kabila. Uislam first priority hayo mengine baadae. Ukifa utaulizwa ulikua Chama gani? Utaulizwa Soma kifungu cha katiba? Maswali utaulizwa haya
1. Nani kiongozi wako- Mtume Muhammad S.A.W
2. Kipi kitabu chako'- Quran tukufu
3. Nani ndugu yako- muislam
Ukitaja sijui kiongozi wangu Letanyahu, kitabu chako ni katiba
Ndugu yako mwenye kadi moja ya Chama hapo utakuwa umeangamia na utakiona chamte makuni
Ukimuona mwanamke wa kiislam hata Hijab havai anaogopa watu huyo hajielewi
Ukimuona muislam haswali kwa kuhofu mtu huyo ashapata hasara
Muislam utembee kifua mbele . Ndio dini ya haki na ukifa ukiwa muislam umefaulu
AU NIMEKOSEA WADAU?
Makonda: Hao ni informer
Kwa hiyo ukitimiza hayo matatu ni sawa tu hata kama ulikuwa mwizi, muuaji, muasherati, mlevi, nk ?!Ukifa utaulizwa ulikua Chama gani? Utaulizwa Soma kifungu cha katiba? Maswali utaulizwa haya
1. Nani kiongozi wako- Mtume Muhammad S.A.W
2. Kipi kitabu chako'- Quran tukufu
3. Nani ndugu yako- muislam
Naunga mkono hoja!, namuunga mkono Zitto Kabwe kwa asilimia 100% chini ya 100!. Ukisikia politics of engagement, politics of pragmatism ndio hizi.“Tunajiandaa na uchaguzi, tutashiriki chaguzi zote zinazokuja (2024, 2025) katika mazingira yoyote, miaka hii mitatu ya kukaa na Bunge la Chama kimoja tumeshuhudia masuala ya Wananchi hayajadiliwi ndani ya Bunge, hatuwezi kumuacha Nguruwe kwenye shamba la mihogo atamaliza mihogo yote shambani.
Tutashiriki ndani ya Bunge tupate wawakilishi ndani ya Bunge ili yale ambayo Watanzania wanayataka yanapatikana, hatutasusa.”
Zitto yeye ni dalali wa siasaHuu sio wakati wakushangaa chawa, ni muda wa wanaojitambua kuchukua hatua.
ACT inaenda kuwa kama CUF, UDP, TLP, CHAUMA n.kSijawahi muamini huyo Kijana Zito asilani. Msaliti mwenzake Kitila Mkumbo anafaidika na Usaliti wake kwa kula Keki ya Taifa.
🤣🤣🤣🤣Kazi ya kutoa taarifa wanaifanya vizuri sana
🤣🤣🤣🤣Maswali utaulizwa haya
1. Nani kiongozi wako- Mtume Muhammad S.A.W
2. Kipi kitabu chako'- Quran tukufu
3. Nani ndugu yako- muislam
- NukuuAma kwa hakika ulevi wa imani za kidini ni zaidi ya ule wa bange!