Zitto Kabwe: ACT sio chama cha kupiga kelele na kubwabwaja-bwabwaja, tutashiriki uchaguzi hata kama hakuna Katiba mpya

Zitto Kabwe: ACT sio chama cha kupiga kelele na kubwabwaja-bwabwaja, tutashiriki uchaguzi hata kama hakuna Katiba mpya

Duuuh!eti "...kwanza si rafiki yangu na wala sina mazoea naye, sijawasiliana naye tangu aondolewe kwenye nafasi yake ili kumfariji na sitafanya hivyo."
Huyu bwanamdogo Uchawi umemharibia kila kitu.
 
....KUNG’OLEWA KWA JAMES MBATIA NDANI YA NCCR
Zitto anasema “Hayo ni mambo ya kupuuza madai kuwa niliingilia kuondolewa kwa Mbatia NCCR, sisi hatuingilii mimi sihusiki na kuondolewa kwa James Mbatia kwenye nafasi yake, kwanza si rafiki yangu na wala sina mazoea naye, sijawasiliana naye tangu aondolewe kwenye nafasi yake ili kumfariji na sitafanya hivyo.

“Hao waliojitokeza kumtetea kiko wapi? Wamefanya nini? Naamini aliyekuwa Mwenyekiti wa NCCR anajua taratibu za kufuata na wao wenyewe watamalizana, ni changamoto za kisiasa.”
Kauli hii inathubitisha wazi kuwa aliingilia....

He is stupid fellow anayejiona mwerevu
 
Huyo ndio mwanasiasa sasa, sio wale waropokaji, wapingaji kila kitu hata kama kina tija kwenye taifa.

Mwaka nikiamua kupiga kura, basi nitaipigia ACT wazalendo.
 
Zitto asiposhiriki uchaguzi CCM itafanyaje sasa? Kazi ya Zitto na Chama chake ni kulinda maslahi ya kiongozi yoyote muislam atayekuwa madarakani muda huo.
Hawezi kuacha ndugu yake katika Imani aaibike (Hata kama ni kwa gharama ya maisha ya watanzania)
Kwanza Zitto siyo mtanzania,uchungu autoe wapi na nchi hii.
Udini, udini, udini.
Mutaacha lini hiliswala?
Mbona Dr Slaa kipindi cha mwenda zake alikua kimya na ubalozi juu alilamba. Je, nae alikua akimkingia kifua mkatoliki mwenzake?

Huko makanisani munafundishwa chuki tu juu ya Waislam, hamna lolote.
 
Umeandika nini? Lazima utaje uislam. Kwa taarifa yako uislam zaidi ya kabila. Uislam first priority hayo mengine baadae. Ukifa utaulizwa ulikua Chama gani? Utaulizwa Soma kifungu cha katiba? Maswali utaulizwa haya
1. Nani kiongozi wako- Mtume Muhammad S.A.W
2. Kipi kitabu chako'- Quran tukufu
3. Nani ndugu yako- muislam
Ukitaja sijui kiongozi wangu Letanyahu, kitabu chako ni katiba
Ndugu yako mwenye kadi moja ya Chama hapo utakuwa umeangamia na utakiona chamte makuni
Ukimuona mwanamke wa kiislam hata Hijab havai anaogopa watu huyo hajielewi

Ukimuona muislam haswali kwa kuhofu mtu huyo ashapata hasara
Muislam utembee kifua mbele . Ndio dini ya haki na ukifa ukiwa muislam umefaulu
AU NIMEKOSEA WADAU?
Ukifa ukiwa muilsmau moja kwa moja motoni mana Allah siyo mungu ni kitu kingine kabisa. Tubuni na kuiamni injili na yesu alisema yeye ndiye njia ukweli na Uzima mtu hatokuja kwa baba ispokuwa kwa njia yake
 
Akijibu maswali katika mahojiano na Edwin Odemba katika Kipindi cha Medani za Siasa ikiwemo suala la kuwa makali yake kisiasa yamekwisha na madai kuwa yeye na Chama chake ni kama CCM B, Kiongozi wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe anasema:

“(Kuhusu suala la usaliti) Waulize wao, hizo ni propaganda za kisiasa, ni za kawaida sana kwenye utamaduni wetu wa kisiasa. Wakati NCCR Mageuzi na CUF wakiwa ndio vyama vikubwa vya upinzani hapa Nchini walikuwa wakiwaita CHADEMA kuwa ni CCM B.

CHADEMA ikaamka ikajipanga na kikawa chama kikubwa nacho kikaanza kuwiata NCCR na CUF kuwa ni CCM B, kwa hiyo mimi sioni tabu hata kidogo (kuitwa CCM B) muhimu ni sisi kusimama kwenye reli kwa yale ambayo tunayasimamia.

Aina yetu ya kufanya siasa haiwezi kuwa kama yao, hata tufanye vizuri namna gani hawawezi kuach kutuita hivyo wanavyotuita, tunafanya kazi yetu kama Chama cha Upinzani, tunatoa maoni yetu, tunatoa sera mbadala ili kuboresha maisha ya Watanzania.”

Alipoulizwa kuwa anaichukuliaje kauli ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu kuwa CHADEMA ndio chama pekee cha upinzania cha ukweli na kinachosimamia shida na kueleza shida za Watanzania.

AULIZA, TUNDU LISSU YEYE NI NANI?
Zitto anasema “(Tundu Lissu) yeye ni nani? Ana wajibu wa kuzungumzia chama chake, hana wajibu wa kuzungumzia vyama vingine na hawezi kuwa IS Unit ya namna gani vyama vingine vinafanya siasa.

“Chama chetu ni chama pekee ambacho lilipotokea tatizo la bei ya mafuta kupanda tulitoa mapendekezo ya namna ya kupunguza kodi mbalimbali na Serikali ikafanya, tunazungumzia kuhusu kudhibiti mfumo wa bei ya vya vyakula, ukitazama kwenye vyombo vya Habari sisi ndio tunangumza.

“Sisi sio chama cha ajenda moja ndio maana tunazungumza masuala yote ya Wananchi, Baraza Kivuli la Mawaziri linafanya kazi kubwa ya kuibua maswala mbalimbali, tunatimiza wajibu wetu, sisi sio chama cha kupiga kelele siyo chama cha kubwabwajabwabwaja, inapotokea changamoto ya kitaifaifa utatuona, hatusemi tu bali tunapendekeza namna ya kufanya.

“Wapiga kelele na wanaobwabwa waache waendelea wanavyofanya, sisi tutaendelea na mfumo wetu wa siasa, tutakutana kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mtaa na Uchaguzi Mkuu, tutaona Watanzania wanapenda aina gani ya siasa, ya kelele na kubwabwaja au siasa za kukosoa na kupendekeza mbadala kisera, Wananchi ndio watakaoamua kwenye uchaguzi.”

ACT KUSHIRIKI UCHAGUZI
Alipoulizwa kuhusu madai ya CHADEMA kuwa haitashiriki katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa Mwaka 2024 na Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025 ikiwa hakutakuwa na muafaka kuhusu Katiba Mpya anasema:

“Tunajiandaa na uchaguzi, tutashiriki chaguzi zote zinazokuja (2024, 2025) katika mazingira yoyote, miaka hii mitatu ya kukaa na Bunge la Chama kimoja tumeshuhudia masuala ya Wananchi hayajadiliwi ndani ya Bunge, hatuwezi kumuacha Nguruwe kwenye shamba la mihogo atamaliza mihogo yote shambani.

Tutashiriki ndani ya Bunge tupate wawakilishi ndani ya Bunge ili yale ambayo Watanzania wanayataka yanapatikana, hatutasusa.”

KUNG’OLEWA KWA JAMES MBATIA NDANI YA NCCR
Zitto anasema “Hayo ni mambo ya kupuuza madai kuwa niliingilia kuondolewa kwa Mbatia NCCR, sisi hatuingilii mimi sihusiki na kuondolewa kwa James Mbatia kwenye nafasi yake, kwanza si rafiki yangu na wala sina mazoea naye, sijawasiliana naye tangu aondolewe kwenye nafasi yake ili kumfariji na sitafanya hivyo.

“Hao waliojitokeza kumtetea kiko wapi? Wamefanya nini? Naamini aliyekuwa Mwenyekiti wa NCCR anajua taratibu za kufuata na wao wenyewe watamalizana, ni changamoto za kisiasa.”
Zitto namkubali sana siku zote ni mtu wa kujenga hoja, habwabwaji, Chadema wanamchukulia Tundu Lissu kama ndio msemaji wao wa mwisho na analoongea hawezi kupingwa hata mbowe anamuogopa Lissu, nimefurahi Zitto alipohoji kwani Tundu Lissu ni nani?

Chadema sasa ndio tunaweza kuwaita CCM B, mbowe anashinda Ikulu muda wote na alitoka jela breki ya kwanza akatua Ikulu ndio kwenda kuona familia yake anaendeshwa na ccm kama pia, Tundu Lissu mpaka leo hajaongea walichoongea na Samia alipotembelewa kule Belgium

Viongozi wa chadema woote waliosaliti Chadema wote wamejiunga na CCM na wengine wana nafasi za juu za uwaziri na naibu mawaziri ndani ya CCM hakuna aliyetoka chadema akaenda chama kingine zaidi ya CCM
 
Umeandika nini? Lazima utaje uislam. Kwa taarifa yako uislam zaidi ya kabila. Uislam first priority hayo mengine baadae. Ukifa utaulizwa ulikua Chama gani? Utaulizwa Soma kifungu cha katiba? Maswali utaulizwa haya
1. Nani kiongozi wako- Mtume Muhammad S.A.W
2. Kipi kitabu chako'- Quran tukufu
3. Nani ndugu yako- muislam
Ukitaja sijui kiongozi wangu Letanyahu, kitabu chako ni katiba
Ndugu yako mwenye kadi moja ya Chama hapo utakuwa umeangamia na utakiona chamte makuni
Ukimuona mwanamke wa kiislam hata Hijab havai anaogopa watu huyo hajielewi

Ukimuona muislam haswali kwa kuhofu mtu huyo ashapata hasara
Muislam utembee kifua mbele . Ndio dini ya haki na ukifa ukiwa muislam umefaulu
AU NIMEKOSEA WADAU?
Hata ww huna utofauti na uliyemkosoa
 
Zitto kabwe ni kibaraka asiyeaminika! Sasa hivi, kwa vile rais ni mdini, Zitto lazima ajiunge naye kwa jina la kiislamu! Msaliti mkubwa na si wa kumuamini!
 
Tuache uongo, CHADEMA ni chama cha kipuuzi sana, hawana hoja, leo hii wanawaza wasusie uchaguzi wa 2024 na 2025, na wakijaribu hivyo basi wajue ndo story yao itakuwa imeisha, mana wanasiasa wengi wa upinzani ni wachumia tumbo (wataenda vyama vingine, either CCM au ACT, kisha CHADEMA itajizika, )

Wasithubutu kuacha kushiriki uchaguzi wa mwakani, kufanya hivyo ni kujizika
 
Hujui kitu ndio maana. Unaamka baa na unalala baa.

Ni watu wangapi watakaofufuliwa waishi mbinguni?​

Biblia inaonyesha kwamba watu 144,000 watafufuliwa waishi mbinguni. (Ufunuo 7:4)
Weye umo? Hawa si watu wa Mbagala tu?
Mbona hajamalizia Ni makabila 12 wa Israel ndo walionekana kwenye kitabu 😄😄😄
 
Moja ya Changamoto ya Chadema Ni kujitafutia maadui wasio wa lazima

Kuna haja ya gani ya kushindana na vyama vingine vya upinzani na kuwaita majina ya ajabu
 
Kwa hiyo “mungu” wenu atakuwa anauliza jina la kitabu na mtume wako ili uende mbinguni? Inachekesha
Sio kuchekesha tu zaidi inasikitisha kuendeleza utumwa wa dini za majahazi na biashara za kidini za watu, huku ukiacha asili yako, hata hiyo mbingu na moto havipo.
 
Zito mnafiki saaana Huyo,,alimtukana Sana Magufuri,,, Hana jipya.zito Huwezi Kuwa Kiongozi mzuri Ana elementi za Udini.
Zitto ni mshirikina wa kutupwa.
Sasa mnaposema Zitto ni mdini,kuna dini gani inaruhusu ushirikina!!??
 
Kwahio kama wana Kero au jambo la kusema wanatumia njia gani zaidi ya kupiga kelele na kubwabwaja ? (Kuna njia mbadala)?
 
Pamoja na kuwa watanzania walio wengi hatupendi siasa za kubwabwaja bwabwaja bado ni ngumu kumuami i mpinzani kutoka chama chochote kwa sasa maana huwa wanabadilika badilika kutokana na Raisi aliyepo wao hawaendeshwi na sera wanategemea matukio.
 
Zitto asiposhiriki uchaguzi CCM itafanyaje sasa? Kazi ya Zitto na Chama chake ni kulinda maslahi ya kiongozi yoyote muislam atayekuwa madarakani muda huo.
Hawezi kuacha ndugu yake katika Imani aaibike (Hata kama ni kwa gharama ya maisha ya watanzania)
Kwanza Zitto siyo mtanzania,uchungu autoe wapi na nchi hii.
Huu unijinga unaongea kama umekatwa kichwa yeye kaweka madazake pambana nahoja sio imani yake wakati wakikwete nizito ndioaliokuwa nahoja nzito kwanza akisimama bunge linasikia hoja ikapelekea waziri mkuu kutoka tuishi kwakumbukumbu
 
Back
Top Bottom