kaburungu
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 3,706
- 6,901
Inafahamika huna akili dadaMhe. Zito Kabwe ni Mzalendo wa kweli mwenye uchungu na kuipenda nchi yake kwa dhati ya moyo wake.
ACT ni chama ambacho nakikubali, chama cha siasa kinacho nadi sera mbadala kwa hoja sio matusi wala dhihaka kama walivyo Chadema na Nccr.
Siasa sio ugomvi wala uadui bali siasa ni kushawishi kwa hoja madhubuti.
vyama vingine vya upinzani viige mfano mzuri kutoka ACT