Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Mtu anadiriki kusema anaunga mkono chochote watakachofanya CCM huyu sio mtu bali ni baradhuli na fedhuli.
CcM ni mafisadi na madhurato wasio na huruma na wananchi ndio kusema Zitto anaunga mkono ufedhuli na ubaradhuli wa CcM.
Rais na mwenyekiti wa CCM anabariki ufisadi illi watanzania waibiwe na kufanywa wa wajinga. Zitto anaunaga mkono.k
CcM ni mafisadi na madhurato wasio na huruma na wananchi ndio kusema Zitto anaunga mkono ufedhuli na ubaradhuli wa CcM.
Rais na mwenyekiti wa CCM anabariki ufisadi illi watanzania waibiwe na kufanywa wa wajinga. Zitto anaunaga mkono.k