Zitto Kabwe: ACT-Wazalendo itaunga mkono juhudi za Serikali

Zitto Kabwe: ACT-Wazalendo itaunga mkono juhudi za Serikali

unaposema taarifa ya CAG imewekwa wazi kipindi hiki tu,nako nikuendeleza chuki ulizozikataza mwenyewe.wakati taarifa za CAG zimewekwa wazi mwaka hadi mwaka labda kama kwa hisia zako ulikuwa hukubaliani nazo....
Taarifa za CAG zilikuwa zinachachuliwa, machafu mengi yalifichwa na hivyo hakukuwa na UWAZI.

"Kwanini tusihisi kuwa kuna mtu mnahitaji awasikie ili awatunuku zawadi fulani kwa kuonyesha mnamuunga mkono?"---- hiyo kauli yako kama ulivyosema wewe mwenyewe ni "HISIA" zako tu, Kila mtu anaweza kuhisi kama jinsi mimi nanavyokuhisi wewe kwamba unaendeshwa na Chuki zisizo na msingi dhidi ya Rais Samia na Zitto na hii ni kutokana na kauli zako dhidi yao.

"We can't be driven and moved by speculations, realities make a move"
 
Taarifa za CAG zilikuwa zinachachuliwa, machafu mengi yalifichwa na hivyo hakukuwa na UWAZI.

"Kwanini tusihisi kuwa kuna mtu mnahitaji awasikie ili awatunuku zawadi fulani kwa kuonyesha mnamuunga mkono?"---- hiyo kauli yako kama ulivyosema wewe mwenyewe ni "HISIA" zako tu, Kila mtu anaweza kuhisi kama jinsi mimi nanavyokuhisi wewe kwamba unaendeshwa na Chuki zisizo na msingi dhidi ya Rais Samia na Zitto na hii ni kutokana na kauli zako dhidi yao.

"We can't be driven and moved by speculations, realities make a move"
ila wewe kwanini unazuia jambo kwenye maandishi ya mwingine,then unayaendeleza yale yale kwenye maandiko yako?

unaposema taarifa za kipindi kilichopita zilikuwa zinachakachuliwa,una ushahidi gani na hilo kama sio hisia zako tu? ndiyo sababu nikasema labda kama hizo taarifa ulikuwa hauzikubali kwa sababu zako na siyo kujumuisha kuwa zilichakachuliwa.

kuhusu chuki ni mada mpya umeanzisha,unataka kunitafsiri kwa hisia zako kitu ambacho mimi sina,nimchukie zito na Rais kwa sababu zipi?

anyway na wewe unaposema bila ushahidi kuwa taarifa zilizopita zilichakachuliwa,je na wewe tukusingizie kuwa ulikuwa na chuki dhidi ya utawala uliopita?
 
Ndio nauliza maana bado hatujawekwa wazi,sasa si yale yale tu kama kipindi cha Magufuri
Sasa utamlaumu vipi Zitto kwa kitu ambacho hata wewe hukijui??!!---- weka wazi hapa huo mkataba tuone ni wapi Zitto anahusika/ kaunga mkono jambo lipi na kwa faida au hasara ya nani!!?
 
Sasa utamlaumu vipi Zitto kwa kitu ambacho hata wewe hukijui??!!---- weka wazi hapa huo mkataba tuone ni wapi Zitto anahusika/ kaunga mkono jambo lipi na kwa faida au hasara ya nani!!?
Acha ujinga mkuu.Mimi sijaongea kuhusu Zitto,kuna mtu nimemquote na kumuuliza! Habari za Zitto zimekujaje? Umeenda na mentality kwamba kichwa cha Uzi kinamhusu Zitto?
 
ila wewe kwanini unazuia jambo kwenye maandishi ya mwingine,then unayaendeleza yale yale kwenye maandiko yako?
unaposema taarifa za kipindi kilichopita zilikuwa zinachakachuliwa

Mimi nimenukuu maandishi yako au hujui KAZI ya hizi alama za fungua semi na funga semi (open and closed inverted commas), quotation marks [" "]?!!

Kisa cha prof Assad kufukuzwa kazi kinyume cha sheria ni ni ni??--- unamjengea zengwe mtu na halafu umafukuza kazi nyeti kinyume cha sheria!!!--- unataka kuficha nini?!!

Katika hali hiyo unataka aje mtu akushike sikio ndipo akili yako ifunguke??!!--- We Tz are not zombies of such calibre.
 
Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo, Ndg. Zitto zuberi kabwe amesema chama hicho kitaunga mkono juhudi za serikali katika miradi mbalimbali ya maendeleo na amewataka wananchi na wanachama wa chama hicho, kuendelea kufuatilia kwa kina iliyotekelezwa ili kukamilika kwa wakati
Mpaka sasa tangu seif afariki zitto anaumia sana hana sapoti tena huku bara.hivyo amesoma alama kaona ajishike shike huko huenda akapata unafueni.

Binafsi naona kama ana njaa fulani ya madaraka inamsumbua anatafuta pa kuponea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nimenukuu maandishi yako au hujui KAZI ya hizi alama za fungua semi na funga semi (open and closed inverted commas), quotation marks [" "]?...
sasa kama unaambiwa uthibitishe taarifa zilizochakachuliwa,wewe unasema sijui nani alifukuzwa kazi, sasa huoni moja kwa moja unakuwa kwenye kundi la hao uliosema Tz siyo.

ila kwa kuw umeanza na lugha sijui za mazombi, nikuache uendelee kuunga juhudi na kula kwa urefu wa kamba yako.
 
Kuchi mnazozipata athari zake NI kubwa kwenu nyinyi mmezoea na mmekaririshwa kwamba UISLAM NI UDUNI hivyo mkiiona jamii Yao inastawi roho zinawauma mtakufa Kwa vihoro na njia Bora ya kukuumizeni ni Kwa wao kupiga hatua Zaid za kimaendeleo
Any way ushamnunulia mpenz wako zile chupi zilizochapishwa picha ya mchungaji wenu??
Pumbavu zako! Wafiraji nyie! Udini ndo unawasumbua!
 
Sawa tu kama hayo mawazo yamekupeleka hulo ngoja nami niwaze kwa mtazamo wako

Hata Pole pole aliipinga Serikali ya JK, akaiunga Mkono ya JPM na sasa anaipinga ya SSH, hivyo hivyo kwa Gwajima, Mzee Warioba na wengine…au haramu ikenyeshea upande usioupenda tu?
Hahahaha Zitto bhana yani mpaka aseme kila siku yeye hakuna baya kwenye serikali maana inaongozwa na muislam mwenzetu
 
Mkuu dini yetu ni zito kuliko sias, Leo nimeona umependa serikali ya CCM ifanikiwe ila tuko pamoja
Dini imekujaje kwenye mambo ya serikali?

Unataka kuniambia Dr Mpango hataki serikali ifanikiwe kwa kuwa yeye ni dini tofauti na rais?
 
Dini imekujaje kwenye mambo ya serikali?

Unataka kuniambia Dr Mpango hataki serikali ifanikiwe kwa kuwa yeye ni dini tofauti na rais?
Dr mpango yeye anafaidika moja kwa moja kwa sabb ameajiliwa na hiyo serikali........mimi na wewe tunaitaka ifanikiwe kwasbb inaongozwa na mwezetu tu.......
 
Dr mpango yeye anafaidika moja kwa moja kwa sabb ameajiliwa na hiyo serikali........mimi na wewe tunaitaka ifanikiwe kwasbb inaongozwa na mwezetu tu.......
Basi subiri iongozwe na mwenzenu ili na wewe uinge mkono, sasa hivi endelea kupinga kila kitu
 
ACT- Wazalendo= Zitto?! Huwa sielewi mimi.Mara CCM wamemteka kule Iililokuwa Jimbo la Dr.Mpango etc..?!!+
 
Back
Top Bottom