Zitto Kabwe: ACT-Wazalendo itaunga mkono juhudi za Serikali

Zitto Kabwe: ACT-Wazalendo itaunga mkono juhudi za Serikali

Tamko lake binafsi au la ACT ??, tangu mwanzo tuliinya CUF - ya Maalim Seif, sasa kajamaa kanauza taaratibu kwa Ma CCM
 
kama Slaa na Mashinji makatibu wakuu wa Chadema wameona kuna haja ya kufanya kazi na CCM, sioni ubaya kuunga mkono juhudi nzuri za serikali😁😁
 
Zitto ni kada wa CCM iliyevishwa nguo za zambarau badala ya kijani. Hana jipya wala maana. Kwa wakati huu ni bora kumsikiliza mzee Pole Pole kuliko Zitto.
Wadau wengi wa JF Watu kama hawa huwaita wachumia tumbo
 
Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo, Ndg. Zitto zuberi kabwe amesema chama hicho kitaunga mkono juhudi za serikali katika miradi mbalimbali ya maendeleo na amewataka wananchi na wanachama wa chama hicho, kuendelea kufuatilia kwa kina iliyotekelezwa ili kukamilika kwa wakati
Zitto amefundwa akafundika kwenye siasa., Huyu jamaa ni genious kuna siku atakuwa kiongozi mkuu wa upinzania Tanzania., Chadema wanasubiri clip za youtube na twitter toka belgium, skuizi kuna yule maria sarungi ndio anamuhoji tundu lisu huwa wanaongea weee tena wakiitikiana wao kwa wao inachosha sana.,
 
Zitto anatamani angelikuwa mzanzibari huenda ndo angekuwa makamu wa kwanza wa rais,chezea njaa na unafiki.
 
Pumbavu zako! Wafiraji nyie! Udini ndo unawasumbua!
Kumbe unatujua nimeshakufirimba mara nyingi tuu kama si ww chogo mwenzio wanaokuja huku wakiwa homeless tunajifaidia tuu
 
Wadau Binafsi nimemuelewa ZITTO KABWE juu ya hizi KELELE ANAZOPIGA hivi sasa.Alianza kumwombea Msamaha MBOWE wakati Wahusika hawakumtuma.

Anaungana na CCM kurekebisha TUME ya UCHAGUZI badala ya KATIBA MPYA
Leo tena Amesema ACT itaiunga mkono SERIKALI
MATAMKO yote haya ZITTO anayatoa ili ASIKIKE
Sawa Amesikika Tunaomba APATE TEUZI ili ATULIE
 
Zitto anatamani angelikuwa mzanzibari huenda ndo angekuwa makamu wa kwanza wa rais,chezea njaa na unafiki.
Ngoja asubiri huenda kuna huruma ya Chief inaweza kumuona
 
Wadau Binafsi nimemuelewa ZITTO KABWE juu ya hizi KELELE ANAZOPIGA hivi sasa.Alianza kumwombea Msamaha MBOWE wakati Wahusika hawakumtuma.

Anaungana na CCM kurekebisha TUME ya UCHAGUZI badala ya KATIBA MPYA
Leo tena Amesema ACT itaiunga mkono SERIKALI
MATAMKO yote haya ZITTO anayatoa ili ASIKIKE
Sawa Amesikika Tunaomba APATE TEUZI ili ATULIE
Jicho la Hangaya Huenda likamuona
 
Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo, Ndg. Zitto zuberi kabwe amesema chama hicho kitaunga mkono juhudi za serikali katika miradi mbalimbali ya maendeleo na amewataka wananchi na wanachama wa chama hicho, kuendelea kufuatilia kwa kina iliyotekelezwa ili kukamilika kwa wakati
Zito UDINI unamsumbua.Hafai kuwa kiongozi, jitu la hovyo kabisa. Atakuwa anafadhiliwa na Serikali kuendesha kikundi chake! Nondo
 
Zito UDINI unamsumbua.Hafai kuwa kiongozi, jitu la hovyo kabisa. Atakuwa anafadhiliwa na Serikali kuendesha kikundi chake! Nondo
Naona anatafuta kupata upenyo ili chief Hangaya amuweke walau sehemu.
 
Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo, Ndg. Zitto zuberi kabwe amesema chama hicho kitaunga mkono juhudi za serikali katika miradi mbalimbali ya maendeleo na amewataka wananchi na wanachama wa chama hicho, kuendelea kufuatilia kwa kina iliyotekelezwa ili kukamilika kwa wakati
Hivyo ndivyo inatakiwa, vyama vyote lengo ni kuendeleza uchumu na Tz kwa ujumla. Chama cha upinzani kikipinga vitu vya maendeleo, haileti maana
 
Back
Top Bottom