Hapo umejichanganya mkuu.
Chadema ipo kwa ajili ya kushika dola tu ili wajinufaishe binafsi na wala si kwa ajili ya maslahi ya umma.--- Jinsi Covid 19 walivyosaliti CDM kwa maslahi yao ndivyo Essence ya CDM ilivyo, kwa.maneno mengine Covid 19 wamedhihirisha tabia nzima ya CDM.
Kwahiyo ulifanya sherehe.W
Namaanisha. Kuna mtu hapa jf aliwahi kusema baada tu ya uchaguzi wa 2020 kuwa Magufuli awe makini na waliomwibia Kura maana Wana nguvu Sana na wanaweza kumuondoa. Na kweli miezi mitano baadae akaondoka.
Ninavyomjua kama ni kweli chuki alizokuwa nazo lipindi hicho angeshajitokeza na kusema
Ndio maana sipendi chama, CHADEMA tatizo lenu hamtaki mtu apishane fikra na nyie ila nyie mnaona mnakuwa sahihi kupinga fikra za wenzenu hata zikiwa sahihi.
CHADEMA si chama cha kuaminika walikuwa na mengi sana kabla ya uchaguzi 2015, Richmond na Lowassa ndio ilikuwa ajenda yao, lakini cha kushangaa Lowassa wa Richmond ndio akawa mgombea wao. Hii ni hatari sana.
Unajua mambo mengine bana ni ujinga matupu,
sasa yeye kwenda Nairobi kumuona Lissu ingeongeza au kupunguza nini kwa uongozi uliopita kiasi kwamba waamue kuchoma nyumba yake moto?
Alafu hiyo nyumba yake ilikuwa imejengwa ndani ya nguo zake za ndani mpaka hiyo habari haikuripotiwa na mtu mwingine yeyote tangu kipindi hiko mpaka Leo hii ameamua kusema yeye mwenyewe?
YesuNani rahis kumuamini ?
Zaidi ya ngumu labda tuiweke kwny lugha hii ""very very stiff,very very rigid" unpredictableNgumu sana kumuamini Zitto Kabwe
Pumbavu we
Amina Aleluya.Yesu
Please, Covid 19 sio CHADEMA wale Ni waasi. Mambo yabCovid 19 muulize Ndugai au mahera wa NEC.
..mkono mrefu wa kuchoma nyumba na kuharibu mali za viongozi wa upinzani?
Bora kumuamini nabii huyuKama ngamia kupenya kwenye tundu la sindano
Una tatizo sio bure. Issue Ni Zitto lakini umekimbia kuleta Mambo ya CHADEMA. Chadema ilikufanya Nini wewe CCM?
Hahahaha[emoji23]Bora kumuamini nabii huyu
Nabii mpya mjini anagawa petroli ya upako, ukiweka lita moja gari yako haitaishiwa mafuta kamwe
Hao wapuuzi watakwama tu Magu ni nyumba ya kioo ukifuta vumbi tu kinang'aa zaidiNa aliyeichoma na Magu.
Lazima anamlenga Magu.
Hii kitu inaitwa Maridhiano ni moja wapo ya movements tu za kuendelea kumchafua Dr. Magufuli.
Yaani wanataka kumbrand kama Mhalifu ambaye hajawahi tokea Tangu tumepata uhuru.
Hii sio sawa.
Unataka kusema kwamba Hakuna walioumizwa na utawala wa Nyerere?Mwinyi?Mkapa? Kikwete?? Au hata sasa.
Siasa zinazofanyika sasa is beyond ubinadamu maana wahusika hawana hata aibu kabisa.