MwanaDiwani
JF-Expert Member
- Mar 22, 2013
- 5,536
- 2,266
Wakati akichangia hoja za Kamati za Bunge Maalumu namba moja hadi 12, juu ya Sura ya Kwanza na Sura ya Sita ya Rasimu ya Katiba, Zitto Kabwe alisema wajumbe hawako Bungeni kwa ajili ya KUKUMBUSHANA HISTORIA YA TANZANIA KUHUSU MUUNGANO, kwa maana kuwa, kujadili hati za muungano ni useless and uncalled for, bali wabunge wako bungeni kutafuta mfumo wa uendeshaji wa maisha ya wananchi wa leo na kesho utakao kubaliwa na wananchi wengi na siyo mfumo wa uendeshaji wa jana.
Tunaielewa historia ya nchi yetu, hakuna haja ya kukumbushana, tuepuke lugha za matusi, chuki, ubaguzi, tubakie na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania," alisema Zitto.
Zitto Kabwe alibainisha na kusema, Mchakato huu tuufanye kwa kujadiliana kwa hoja, tusitukanane, muundo wowote wa serikali unaweza kuvunja Muungano, kikubwa ni kuafikiana maridhiano kutoka pande zote mbili za Muungano.
Kabwe Zitto amesema muundo wowote wa serikali uwe serikali moja, mbili au tatu unaweza kuvunja Muungano ikiwa hakutakuwa na muafaka wa pande zote mbili za Muungano.
Katika hatua nyingine Zitto alisema ikiwa itaundwa serikali isiyo na maridhiano ya pande zote mbili za Muungano, gharama ya kuulinda Muungano huo itakuwa ni kubwa sana.
[video=youtube_share;nFRJDBXZJVo]http://youtu.be/nFRJDBXZJVo[/video]
Tunaielewa historia ya nchi yetu, hakuna haja ya kukumbushana, tuepuke lugha za matusi, chuki, ubaguzi, tubakie na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania," alisema Zitto.
Zitto Kabwe alibainisha na kusema, Mchakato huu tuufanye kwa kujadiliana kwa hoja, tusitukanane, muundo wowote wa serikali unaweza kuvunja Muungano, kikubwa ni kuafikiana maridhiano kutoka pande zote mbili za Muungano.
Kabwe Zitto amesema muundo wowote wa serikali uwe serikali moja, mbili au tatu unaweza kuvunja Muungano ikiwa hakutakuwa na muafaka wa pande zote mbili za Muungano.
Katika hatua nyingine Zitto alisema ikiwa itaundwa serikali isiyo na maridhiano ya pande zote mbili za Muungano, gharama ya kuulinda Muungano huo itakuwa ni kubwa sana.
[video=youtube_share;nFRJDBXZJVo]http://youtu.be/nFRJDBXZJVo[/video]