masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
I was supposing you are intelligent enough to read between the lines!Ni wapi jina la Lissu limetajwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I was supposing you are intelligent enough to read between the lines!Ni wapi jina la Lissu limetajwa?
Wakati akichangia hoja za Kamati za Bunge Maalumu namba moja hadi 12, juu ya Sura ya Kwanza na Sura ya Sita ya Rasimu ya Katiba, Zitto Kabwe alisema wajumbe hawako Bungeni kwa ajili ya KUKUMBUSHANA HISTORIA YA TANZANIA KUHUSU MUUNGANO, kwa maana kuwa, kujadili hati za muungano ni useless and uncalled for bali wabunge wako bungeni kutafuta mfumo wa uendeshaji wa maisha ya wananchi wa leo na kesho utakao kubaliwa na wananchi wengi na siyo mfumo wa jana.
Tunaielewa historia ya nchi yetu, hakuna haja ya kukumbushana, tuepuke lugha za matusi, chuki, ubaguzi, tubakie na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, alisema Zitto.
Zitto Kabwe alibainisha na kusema, Mchakato huu tuufanye kwa kujadiliana kwa hoja, tusitukanane, muundo wowote wa serikali unaweza kuvunja Muungano, kikubwa ni kuafikiana maridhiano kutoka pande zote mbili za Muungano.
Kabwe Zitto amesema muundo wowote wa serikali uwe serikali moja, mbili au tatu unaweza kuvunja Muungano ikiwa hakutakuwa na muafaka wa pande zote mbili za Muungano.
Katika hatua nyingine Zitto alisema ikiwa itaundwa serikali isiyo na maridhiano ya pande zote mbili za Muungano, gharama ya kuulinda Muungano huo itakuwa ni kubwa sana.
[video=youtube_share;nFRJDBXZJVo]http://youtu.be/nFRJDBXZJVo[/video]
kwa utashi wako umehamua kuwagonganisha
Ni wapi jina la Lissu limetajwa?
kaka,
salama lakini ndugu?
Khaa!! Kuzaliwa au kufufuka??? Kuna mambo mengine historia ni muhimuSalama Kabisa Kaka,
Heri ya Kuzaliwa Kristu...
What on earth does that mean?Hopeless you
Hopeless you
Kinachonisikitisha ni kwamba,"""" historian ya ukoo wenu unaijua hadi kwa babu yako mzaa baba. And not beyond that"""""
Vipi ulishawahi kuomba Cheti cha nndoa cha wazazi wako?????? Au bado wanaishi Pasi na mapenzi ya mungu?????
Ndugu, watu kama hawa hawawezi hata kuelewa kuna kitu inaitwa kuhusika kimazingira au ushahidi wa kimazingira.Mtu mwenye busara na ufahamu ni yule anaeweza kutowa hotuba nzuri na asitaje jina la mtu wala chama chochote na hotuba ujumbe ukafika kwa mlengwa
Young leader kila siku? Hazeeki kama kingunge sio!Yah, Zitto is one of the best young leader who has very bright future in this Nation. The guys is bright, full of wisdom and he can play his cards very well
Bravo Zitto
Young leader kila siku? Hazeeki kama kingunge sio!Yah, Zitto is one of the best young leader who has very bright future in this Nation. The guys is bright, full of wisdom and he can play his cards very well
Bravo Zitto
Intarahamwe wanaingia vipi hapa?.
Hebu jaribu angalau kujenga hoja kulingana na msingi wa hoja uliopo mezani.
Hii ina uhusiano gani na hoja iliyoko mezani. Are you BAVICHA in making?
Yaani kwa ujinga wako unabadilisha jina kwenye phonebook ya simu moja na kuandika jina la Ridhiwani Kikwete halafu unatumia simu nyingine ku-text ili ionekane aliyekuwa ana text in Ridhiwani Kikwete halafu una save screenshot na kuleta hapa kwenye jukwaa la watu walioenda shule.
Tatizo watu kama wewe mmepewa kazi za spinning za kisiasa ambazo ziko juu ya uwezo wenu.
Kwa mtu ambaye siyo mtaalamu wa computer programming ndiyo anaweza kuukubali huu upuuzi kuwa ni kweli.
Kwenye ulimwengu unaochagizwa na 0 or 1 digitally, everything is possible.
Hizo childish spinning zinaweza kukubalika kwenye ofisi za BAVICHA.
Haihitaji uwe msomi kujua habari hii ni umbeya na uzandiki.Ukiangalia nilipokoleza utagundua wanaopingwa na kusemwa ni CCM wala siyo TL.Wakati akichangia hoja za Kamati za Bunge Maalumu namba moja hadi 12, juu ya Sura ya Kwanza na Sura ya Sita ya Rasimu ya Katiba, Zitto Kabwe alisema wajumbe hawako Bungeni kwa ajili ya KUKUMBUSHANA HISTORIA YA TANZANIA KUHUSU MUUNGANO, kwa maana kuwa, kujadili hati za muungano ni useless and uncalled for, bali wabunge wako bungeni kutafuta mfumo wa uendeshaji wa maisha ya wananchi wa leo na kesho utakao kubaliwa na wananchi wengi na siyo mfumo wa uendeshaji wa jana.
Tunaielewa historia ya nchi yetu, hakuna haja ya kukumbushana, tuepuke lugha za matusi, chuki, ubaguzi, tubakie na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, alisema Zitto.
Zitto Kabwe alibainisha na kusema, Mchakato huu tuufanye kwa kujadiliana kwa hoja, tusitukanane, muundo wowote wa serikali unaweza kuvunja Muungano, kikubwa ni kuafikiana maridhiano kutoka pande zote mbili za Muungano.
Kabwe Zitto amesema muundo wowote wa serikali uwe serikali moja, mbili au tatu unaweza kuvunja Muungano ikiwa hakutakuwa na muafaka wa pande zote mbili za Muungano.
Katika hatua nyingine Zitto alisema ikiwa itaundwa serikali isiyo na maridhiano ya pande zote mbili za Muungano, gharama ya kuulinda Muungano huo itakuwa ni kubwa sana.