Zitto Kabwe ampiga 'kijembe' Tundu Lissu kuhusu hoja za hati ya Muungano.

Zitto Kabwe ampiga 'kijembe' Tundu Lissu kuhusu hoja za hati ya Muungano.

Ndugu, nimemsoma na nimemjibu kulingana na uwezo wa akili na fikra zake.

Alichokifanya ni sawa sawa na kuandika post card digitally.

Ni kwa watu wenye uelewa mfupi wa mambo ya digital print ndiyo wanaweza kukubaliana na kile alichokiweka.

Hapo unawasemea Riz na Jerry!? wao hawajakana wewe unakurupuka kupinga mawasiliano yao. ccm bhana.
 
Mtoa mada design kama mbeambea vile leta mada zenye tija coz muungano unazungumziwa na watu wooote not only lisso na kama unadai zitto alimpiga lisso dongo basi angebaki ndani ila kama ulivyomsikia yeye mwenyewe aliujadili muungano tena kwa uzuri than anybody next time jpange ukiwa huna mada we tulia tu.
 
Duuh Zitto ni jembe la ukweli huwezi kumlinganisha huyu dume na yule mwehu wa kinyaturu tundu lissu...Zitto ni mlima na lissu ni kichuguu..jamaa Zitto kashusha points with figure(statistics) yaani huyu ZZK ni leader material,na huyo mwingine mwehu ni activist akajiunge na NGO ..hovyoo sana huyo mnyaturu namuombea kwa mungu apigwe chini come 2015.
 
Mtoa mada design kama mbeambea vile leta mada zenye tija coz muungano unazungumziwa na watu wooote not only lisso na kama unadai zitto alimpiga lisso dongo basi angebaki ndani ila kama ulivyomsikia yeye mwenyewe aliujadili muungano tena kwa uzuri than anybody next time jpange ukiwa huna mada we tulia tu.

chadema ni akili ndogo yanapelekeshwa na mwehu lissu,mgonjwa wa mirembe
 
Hii ina uhusiano gani na hoja iliyoko mezani.

Kwa mtu ambaye siyo mtaalamu wa computer programming ndiyo anaweza kuukubali huu upuuzi kuwa ni kweli.

Kwenye ulimwengu unaochagizwa na 0 or 1 digitally, everything is possible.

Hizo childish spinning zinaweza kukubalika kwenye ofisi za BAVICHA.

Waambie vichaa hao. Wanadhani tunaweza kuamini upuuzi wao huo.
 
Duuh Zitto ni jembe la ukweli huwezi kumlinganisha huyu dume na yule mwehu wa kinyaturu tundu lissu...Zitto ni mlima na lissu ni kichuguu..jamaa Zitto kashusha points with figure(statistics) yaani huyu ZZK ni leader material,na huyo mwingine mwehu ni activist akajiunge na NGO ..hovyoo sana huyo mnyaturu namuombea kwa mungu apigwe chini come 2015.

Unafaa kuunda kundi la taarabu.
 
Mtoa mada design kama mbeambea vile leta mada zenye tija coz muungano unazungumziwa na watu wooote not only lisso na kama unadai zitto alimpiga lisso dongo basi angebaki ndani ila kama ulivyomsikia yeye mwenyewe aliujadili muungano tena kwa uzuri than anybody next time jpange ukiwa huna mada we tulia tu.

ndani ya chadema hakuna mwenye uwezo kumkaribia zitto
 
Yah, Zitto is one of the best young leader who has very bright future in this Nation. The guys is bright, full of wisdom and he can play his cards very well

Bravo Zitto
Mkuu, andika kwa kiswahili, kiingereza hukijui! nenda darasani bwana mdogo!
 
Lissu mo fire na nzito wap na wap?????


Sent from my iPhone 5 using JamiiForums
 
Ndugu, Kuna hoja iko mezani.

Hakuna sehemu inayohitaji kutaja wasifu wa watoa hoja kama mwanamme au Mwanamke.

Tujikite kwenye hoja.

Hoja gani wewe jua kali ? Acheni kupoteza watu maboya nyie habari ya mujini kwa sasa Watanganyika tunataka katiba mpya ya wananchi na sio ya wachumia tumbo wachache mlaaniwe.
 
Hapo unawasemea Riz na Jerry!? wao hawajakana wewe unakurupuka kupinga mawasiliano yao. ccm bhana.

Kwani hapa ndiyo sehemu ya kuleta ili 'wahusika' wake wakanushe hizi fake digitally print
 
Wakati akichangia hoja za Kamati za Bunge Maalumu namba moja hadi 12, juu ya Sura ya Kwanza na Sura ya Sita ya Rasimu ya Katiba, Zitto Kabwe alisema wajumbe hawako Bungeni kwa ajili ya KUKUMBUSHANA HISTORIA YA TANZANIA KUHUSU MUUNGANO, kwa maana kuwa, kujadili hati za muungano ni useless and uncalled for bali wabunge wako bungeni kutafuta mfumo wa uendeshaji wa maisha ya wananchi wa leo na kesho utakao kubaliwa na wananchi wengi na siyo mfumo wa jana.

Tunaielewa historia ya nchi yetu, hakuna haja ya kukumbushana, tuepuke lugha za matusi, chuki, ubaguzi, tubakie na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,” alisema Zitto.

Zitto Kabwe alibainisha na kusema, Mchakato huu tuufanye kwa kujadiliana kwa hoja, tusitukanane, muundo wowote wa serikali unaweza kuvunja Muungano, kikubwa ni kuafikiana maridhiano kutoka pande zote mbili za Muungano.

Kabwe Zitto amesema muundo wowote wa serikali uwe serikali moja, mbili au tatu unaweza kuvunja Muungano ikiwa hakutakuwa na muafaka wa pande zote mbili za Muungano.

Katika hatua nyingine Zitto alisema ikiwa itaundwa serikali isiyo na maridhiano ya pande zote mbili za Muungano, gharama ya kuulinda Muungano huo itakuwa ni kubwa sana.

[video=youtube_share;nFRJDBXZJVo]http://youtu.be/nFRJDBXZJVo[/video]

kwa utashi wako umehamua kuwagonganisha
 
Hii ina uhusiano gani na hoja iliyoko mezani.

Kwa mtu ambaye siyo mtaalamu wa computer programming ndiyo anaweza kuukubali huu upuuzi kuwa ni kweli.

Kwenye ulimwengu unaochagizwa na 0 or 1 digitally, everything is possible.

Hizo childish spinning zinaweza kukubalika kwenye ofisi za BAVICHA.
Akili yako naifananisha na hii kitu hapa

391465_381142818672333_278685924_n.jpg
 
Lisu alishavurugwa akavurugika some time huwa hajui hata anachoongea zimefyatuka kweli.
 
Back
Top Bottom