Ndugu, nimemsoma na nimemjibu kulingana na uwezo wa akili na fikra zake.
Alichokifanya ni sawa sawa na kuandika post card digitally.
Ni kwa watu wenye uelewa mfupi wa mambo ya digital print ndiyo wanaweza kukubaliana na kile alichokiweka.
Hakuna hoja iliyowekwa mezani, ni utupu utupu tuIntarahamwe wanaingia vipi hapa?.
Hebu jaribu angalau kujenga hoja kulingana na msingi wa hoja uliopo mezani.
Mtoa mada design kama mbeambea vile leta mada zenye tija coz muungano unazungumziwa na watu wooote not only lisso na kama unadai zitto alimpiga lisso dongo basi angebaki ndani ila kama ulivyomsikia yeye mwenyewe aliujadili muungano tena kwa uzuri than anybody next time jpange ukiwa huna mada we tulia tu.
Hii ina uhusiano gani na hoja iliyoko mezani.
Kwa mtu ambaye siyo mtaalamu wa computer programming ndiyo anaweza kuukubali huu upuuzi kuwa ni kweli.
Kwenye ulimwengu unaochagizwa na 0 or 1 digitally, everything is possible.
Hizo childish spinning zinaweza kukubalika kwenye ofisi za BAVICHA.
Duuh Zitto ni jembe la ukweli huwezi kumlinganisha huyu dume na yule mwehu wa kinyaturu tundu lissu...Zitto ni mlima na lissu ni kichuguu..jamaa Zitto kashusha points with figure(statistics) yaani huyu ZZK ni leader material,na huyo mwingine mwehu ni activist akajiunge na NGO ..hovyoo sana huyo mnyaturu namuombea kwa mungu apigwe chini come 2015.
Mtoa mada design kama mbeambea vile leta mada zenye tija coz muungano unazungumziwa na watu wooote not only lisso na kama unadai zitto alimpiga lisso dongo basi angebaki ndani ila kama ulivyomsikia yeye mwenyewe aliujadili muungano tena kwa uzuri than anybody next time jpange ukiwa huna mada we tulia tu.
Hebu bainisha hoja yako hapo juu wewe..
Mkuu, andika kwa kiswahili, kiingereza hukijui! nenda darasani bwana mdogo!Yah, Zitto is one of the best young leader who has very bright future in this Nation. The guys is bright, full of wisdom and he can play his cards very well
Bravo Zitto
Mkuu, andika kwa kiswahili, kiingereza hukijui! nenda darasani bwana mdogo!
Ndugu, Kuna hoja iko mezani.
Hakuna sehemu inayohitaji kutaja wasifu wa watoa hoja kama mwanamme au Mwanamke.
Tujikite kwenye hoja.
Hapo unawasemea Riz na Jerry!? wao hawajakana wewe unakurupuka kupinga mawasiliano yao. ccm bhana.
Wakati akichangia hoja za Kamati za Bunge Maalumu namba moja hadi 12, juu ya Sura ya Kwanza na Sura ya Sita ya Rasimu ya Katiba, Zitto Kabwe alisema wajumbe hawako Bungeni kwa ajili ya KUKUMBUSHANA HISTORIA YA TANZANIA KUHUSU MUUNGANO, kwa maana kuwa, kujadili hati za muungano ni useless and uncalled for bali wabunge wako bungeni kutafuta mfumo wa uendeshaji wa maisha ya wananchi wa leo na kesho utakao kubaliwa na wananchi wengi na siyo mfumo wa jana.
Tunaielewa historia ya nchi yetu, hakuna haja ya kukumbushana, tuepuke lugha za matusi, chuki, ubaguzi, tubakie na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, alisema Zitto.
Zitto Kabwe alibainisha na kusema, Mchakato huu tuufanye kwa kujadiliana kwa hoja, tusitukanane, muundo wowote wa serikali unaweza kuvunja Muungano, kikubwa ni kuafikiana maridhiano kutoka pande zote mbili za Muungano.
Kabwe Zitto amesema muundo wowote wa serikali uwe serikali moja, mbili au tatu unaweza kuvunja Muungano ikiwa hakutakuwa na muafaka wa pande zote mbili za Muungano.
Katika hatua nyingine Zitto alisema ikiwa itaundwa serikali isiyo na maridhiano ya pande zote mbili za Muungano, gharama ya kuulinda Muungano huo itakuwa ni kubwa sana.
[video=youtube_share;nFRJDBXZJVo]http://youtu.be/nFRJDBXZJVo[/video]
Akili yako naifananisha na hii kitu hapaHii ina uhusiano gani na hoja iliyoko mezani.
Kwa mtu ambaye siyo mtaalamu wa computer programming ndiyo anaweza kuukubali huu upuuzi kuwa ni kweli.
Kwenye ulimwengu unaochagizwa na 0 or 1 digitally, everything is possible.
Hizo childish spinning zinaweza kukubalika kwenye ofisi za BAVICHA.
Hakuna hoja iliyowekwa mezani, ni utupu utupu tu
Yakwako haina tofauti na huyu mtu.Akili yako naifananisha na hii kitu hapa