Umekosa cha kuandika ndugu? Sidhani hata Zitto anaweza kujivunia mashabiki wasiojatambua kama wewe.Duuh Zitto ni jembe la ukweli huwezi kumlinganisha huyu dume na yule mwehu wa kinyaturu tundu lissu...Zitto ni mlima na lissu ni kichuguu..jamaa Zitto kashusha points with figure(statistics) yaani huyu ZZK ni leader material,na huyo mwingine mwehu ni activist akajiunge na NGO ..hovyoo sana huyo mnyaturu namuombea kwa mungu apigwe chini come 2015.
Kwani hapa ndiyo sehemu ya kuleta ili 'wahusika' wake wakanushe hizi fake digitally print
Hii ina uhusiano gani na hoja iliyoko mezani.
Kwa mtu ambaye siyo mtaalamu wa computer programming ndiyo anaweza kuukubali huu upuuzi kuwa ni kweli.
Kwenye ulimwengu unaochagizwa na 0 or 1 digitally, everything is possible.
Hizo childish spinning zinaweza kukubalika kwenye ofisi za BAVICHA.
Zitto ni miongoni mwa watanzania wachache wenye busara na wenye uoni wa horizon za mbaaali! .Hata hivyo nyota inapong'ara husuda lazma. Zitto atakuja kufanya jambo katika nchi hii.It is a matter of time!
Mkuu naona Kampeni zako dhidi ya huyu jamaa nowdays zimekuwa too weak.
Siku hizi ume cease kabisa kuanzisha thread mpya kumpamba Msaliti baada ya kuona kuwa unazidi kuijiabisha na kujidhalilisha japa jukwaani.
Wanaosema hawataki kuona hati ya muungano kwenye hili suala zito wanadanganya. Huu ni muungano wa nchi mbili na Katiba inayoandikwa msingi wake ni hati hii. Utapitishaje kitu msingi wake huujui uimara wake?Maoni yake binafsi! Kwa kadiri ya uelewa wake!
Mimi kama ninavyoamini kuna wengi wataniunga mkono, naamini ni busara kujua ulipokosea, ili urekebishe kosa. Ukiona aibu kureview makosa yako utashindwa kuona kosa na hivyo historia inaweza kujirudia.
Mpaka sasa tuna matatizo ya kutosha ya Muungano (tunayaita kero za muungano) Haya yalisababishwa na makosa ya waliouanzisha. Ni vizuri, kama tunataka kuyamaliza tujue walikosea wapi ili turekebishe. kwa mfano:
Kukosekana kwa kwa serikali ya Tanganyika kunamaanisha kuwa serikali ya Tanganyika imemezwa ndani ya ile ya Muungano. hivyo maswala yote ya Tanganyika yanatatuliwa na serikali ya Muungano. Ni serkali hii hii ya Muungano inayofanya kazi Mpaka Zanzibar kwenye yale mambo tunayosema ya-Muungano. Kwa hiyo ni sawa na Kusema Serikali ya Tanganyika inafanya maamuzi ya Zanzibar wakati serikali ya Mapinduzi ya Zenj haina haki hiyo. Mnaonaje Tusiseme kasoro? Tutarekebisha nini? Kwa mtindo huo wa kuionea haya historia kwa kujidai tunaijua kero hizi zitakwisha?
Kimtizamo sikubaliani. Badala yake nasisitiza kuwa wananchi wanapaswa kuisikia historia yao tena na tena bila kukerwa wala kuionea haya. Hata kama inachanganya kichwa. tukumbuke kuwa watoto wetu wengi hawajui hiyo historia kwa sababu iliyopo kwenye vitabu ni ya uongo. Na hata hiyo ya uongo haiwafikii tena kwa kuwa hizo shule za kata hazina vitabu.
Yale mawazo, kwa mtazamo wangu, yalikuwa na walakini!
ndani ya chadema hakuna mwenye uwezo kumkaribia zitto
Kama sio ya mhimu ww iache, jadili inayo kuhusu. Kwangu ni ya mhimu.Hii ina uhusiano gani na hoja iliyoko mezani.
Kwa mtu ambaye siyo mtaalamu wa computer programming ndiyo anaweza kuukubali huu upuuzi kuwa ni kweli.
Kwenye ulimwengu unaochagizwa na 0 or 1 digitally, everything is possible.
Hizo childish spinning zinaweza kukubalika kwenye ofisi za BAVICHA.
Wakati akichangia hoja za Kamati za Bunge Maalumu namba moja hadi 12, juu ya Sura ya Kwanza na Sura ya Sita ya Rasimu ya Katiba, Zitto Kabwe alisema wajumbe hawako Bungeni kwa ajili ya KUKUMBUSHANA HISTORIA YA TANZANIA KUHUSU MUUNGANO, kwa maana kuwa, kujadili hati za muungano ni useless and uncalled for bali wabunge wako bungeni kutafuta mfumo wa uendeshaji wa maisha ya wananchi wa leo na kesho utakao kubaliwa na wananchi wengi na siyo mfumo wa jana.
Tunaielewa historia ya nchi yetu, hakuna haja ya kukumbushana, tuepuke lugha za matusi, chuki, ubaguzi, tubakie na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, alisema Zitto.
Zitto Kabwe alibainisha na kusema, Mchakato huu tuufanye kwa kujadiliana kwa hoja, tusitukanane, muundo wowote wa serikali unaweza kuvunja Muungano, kikubwa ni kuafikiana maridhiano kutoka pande zote mbili za Muungano.
Kabwe Zitto amesema muundo wowote wa serikali uwe serikali moja, mbili au tatu unaweza kuvunja Muungano ikiwa hakutakuwa na muafaka wa pande zote mbili za Muungano.
Katika hatua nyingine Zitto alisema ikiwa itaundwa serikali isiyo na maridhiano ya pande zote mbili za Muungano, gharama ya kuulinda Muungano huo itakuwa ni kubwa sana.
[video=youtube_share;nFRJDBXZJVo]http://youtu.be/nFRJDBXZJVo[/video]
Kinachonisikitisha ni kwamba,"""" historian ya ukoo wenu unaijua hadi kwa babu yako mzaa baba. And not beyond that"""""Maoni yake binafsi! Kwa kadiri ya uelewa wake!
Mimi kama ninavyoamini kuna wengi wataniunga mkono, naamini ni busara kujua ulipokosea, ili urekebishe kosa. Ukiona aibu kureview makosa yako utashindwa kuona kosa na hivyo historia inaweza kujirudia.
Mpaka sasa tuna matatizo ya kutosha ya Muungano (tunayaita kero za muungano) Haya yalisababishwa na makosa ya waliouanzisha. Ni vizuri, kama tunataka kuyamaliza tujue walikosea wapi ili turekebishe. kwa mfano:
Kukosekana kwa kwa serikali ya Tanganyika kunamaanisha kuwa serikali ya Tanganyika imemezwa ndani ya ile ya Muungano. hivyo maswala yote ya Tanganyika yanatatuliwa na serikali ya Muungano. Ni serkali hii hii ya Muungano inayofanya kazi Mpaka Zanzibar kwenye yale mambo tunayosema ya-Muungano. Kwa hiyo ni sawa na Kusema Serikali ya Tanganyika inafanya maamuzi ya Zanzibar wakati serikali ya Mapinduzi ya Zenj haina haki hiyo. Mnaonaje Tusiseme kasoro? Tutarekebisha nini? Kwa mtindo huo wa kuionea haya historia kwa kujidai tunaijua kero hizi zitakwisha?
Kimtizamo sikubaliani. Badala yake nasisitiza kuwa wananchi wanapaswa kuisikia historia yao tena na tena bila kukerwa wala kuionea haya. Hata kama inachanganya kichwa. tukumbuke kuwa watoto wetu wengi hawajui hiyo historia kwa sababu iliyopo kwenye vitabu ni ya uongo. Na hata hiyo ya uongo haiwafikii tena kwa kuwa hizo shule za kata hazina vitabu.
Yale mawazo, kwa mtazamo wangu, yalikuwa na walakini!