Baada ya mikataba mibovu sasa wataka kulichukua shirika zimaBosi wangu Tanesco inapata hasara kwa Sababu ya mikataba mibovu ya kitapeli ndo tatizo Liko hapo.Vigogo wezi wananufaika kwa njia hiyo na siku hii mikataba ikuvunjwa shirika litaanza kupata faida,hii ishu ni ngumu sana maana walnaufaika ni watu wazito ukionekana unwafatilia unapotezwa.
Hiyo ndio CCM tunayoijua. Kazi iendelee.Yaani hata mzee Rugemalira hajspumzika wanataka kuturudisha kule kule!
Hizi ni mbinu za kujiuzia hili shirika..zito na jk na makamba ni timu Moja..kama magufuli aliweza kutumia mabilioni kuliokoa shirika la ndege ni kwa nini wasifanye hivyo kWa tanescoWanataka kuibinafsisha TANESCO haki ya Mungu familiya za JK na Makamba zitakuwa na mwisho mbaya sana, Tamaa na ubinafsi itawaangamiza
Shirika linadaiwa zaidi ya bil 300...alafu uniambie niiweke fedha zangu hapo..ila unakumbuka swala la tozo lilivyoanza? Waliongea hivi kimasihara mwisho wa siku ikawa hivyo..na hii nakueleza kuna kina kinasukwa na kina jk ...kumtoa Ruge na week hiyo hiyo kumteua januaryYaani wanasiasa ni majinga mno
Yaani uuze hisa za Tanesco kampuni haijawahi kutoa faida tangu ianzishwe mwaka 1974?
Yaani mimi muwekezaji niende nikawekeze kwenye upumbavu wenye hasara kila siku?
Lini nitapata gawio?Hakuna hiyo siku mpaka mwisho wa dunia
Zitto na mwenzake Makamba ni mapumbavu,hayajawahi fanya biashara yanaongea mavi matupu
Nani anunue loss generating machine kwa miaka more than 50years?
Nobody
Haiwezekani...labda kama wangeuza 51 wajiondoe kwenye uongozi ..tatizo la mashirika ya imma mengi ni matumizi makubwa kuliko kinachoingizwa..na mbaya zaidi sera wanatungiwa na wanasiasa..ila hili shirika libaki kuwa la serikali ..huwezi kubinafsisha tanesco kwenye nchi masikini kama tanzaniaWewe hauoni labda hawa 20% watatufunulia kujua kwanini kila mwaka ni Loss? kwasababu 20% watahitaji more transparency and accountability!
Umeandika point ya msingi Sana.Tanesco sio independent entity..wala sio corporation...
Tanesco ni sawa na Halmashauri..
Kila kitu wanapokea maagizo kutoka juu
Makusanyo yote wanapeleka hazina
Halafu wanaomba pesa za matumizi
Sasa haya yana fit vipi kwenye set up hiyo?
Bwawa likianza kuzalisha je??hakutakuwa na faida bado??Lazima ukose akili na maarifa ndiyo ukanunue hisa za TANESCO. Shirika halijawahi kupata faida hata mwaka mmoja tangu lianzishwe, ukanunue hisa, kwaajili ya nini?
That’s the number, halafu mtu anakwambia (based on book value) 20% izalishe over 6 trillion ya kulipa madeni na kufanya investment zingine.Kwa vitabu 2018. Tanesco total assets ni trilioni 8.7?!!!!!!
Kwani DSE ni kama soko la Kariakoo?View attachment 1945226View attachment 1945225
TANESCO wanatengeneza hasara kwenye operation tu kabla ya ata kulipa madeni.
So ata ukilipa madeni yao yote bado shirika litatengeneza hasara tu.
Halafu 20% ya hisa itazalisha kiasi, kwa bei ya soko? Lini shirika lilifanyiwa market valuation kuona 20% ya hisa inaweza kukusanya zaidi ya tsh trillioni 5 na zaidi ili kufanya uwekazaji mwingine huyo Zitto aliopendekeza.
Huo ndio wasiwasi wangu kwa Makamba anakuwa na grand ideas bila ya hata kufikilia practicality wakishakutana kule Twitter na wasomi uchwara wengine kutwa kupongezana ujinga.
Naihifadhi hii commentEleweni January ndio mwanya wake wa kupata pesa za kutafuta uraisi in future.Tegemeeni sanaaa Mambo ya Richmond, dowans etc
Zitto kabwe kwanini kafungua kinywa katika hili..mnaounganisha dot mtaelewa chain ya zitto na January.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Relax Brother, hebu soma nilipoanzia 20% haiwezi kuwa na impact yoyote katika maamuzi maana hata board hawataweza kuiunda, angalia juu kabisa hizi ni assumptions zangu ambazo ni kama guessing tuu.Unajua unachokiongea kweli?
Yaani new owners wa 20% ambao ni wananchi wasiojua lolote na wasiona kura yeyote na wasio kwenye board wataleta "ufunuo" wa kuleta profitability?
Hesabu za Tanesco ni public maana ni kampuni ya wananchi 100%
Hesabu za ni public property
Unatafuta nini?
Hao wananchi 20% wanasaidia nini kwa mfano?
Profitability inaletwa na nini?
Kama unataka profitability privatize 100% au 51% yake iwe private na sio 20%.
Upumbavu mtupu....mimi au wewe huwezi nunua share za kampuni tangu izaliwe miaka 60 iliyopita haijawahi pata faida anywhere
Unakuja na hoja za "labda",nani ana muda wa ku-bet his or her money on "labda"?
Kichaa tu ndio anaenunua hisa za kipumbavu hivyo..no one will ever do that!
Kweli lakini ili watu waweze kununua shares si lazima wawe well informed au ndio wanaenda kutupa capitals zao, kwa namna yoyote hata kama ni ndogo itabadilisha operational style whether postive or in negative way.Haiwezekani...labda kama wangeuza 51 wajiondoe kwenye uongozi ..tatizo la mashirika ya imma mengi ni matumizi makubwa kuliko kinachoingizwa..na mbaya zaidi sera wanatungiwa na wanasiasa..ila hili shirika libaki kuwa la serikali ..huwezi kubinafsisha tanesco kwenye nchi masikini kama tanzania
Well sina uhakika na sheria za Tanzania on the regulation of issuing IPO (kwa nchi zingine faida sio swala la msingi).Kwani DSE ni kama soko la Kariakoo?
Nijuavyo, kuna vigezo rundo mpaka kampuni isajiliwe, ikiwemo KUTENGENEZA FAIDA KWA MIAKA 3 MFULULIZO.
Urafiki Textiles walitaka kutumia hii janjajanja ya Zitto kupiga hela, DSE wakawagomea.
Je kuna shirika la umma lililosajiliwa DSE?
Shida ya wana siasa wetu wengi wanataka kutengeneza fursa za kuchukua bure mali za umma. Kubinafshisha Tanesco kwa weledi itasaidia. Nakumbuka TRC nayo ilibinafishwa. Ikaishia kutegemea tena aliyeibinafisha.Nani anunue hisa za shirika mfu kama TANESCO
Wawekezaji wapo tayari kuzalisha na kusambaza umeme, kikwazo ni sheria iliyotungwa na wanasiasa, kwa sababu wanazojua wao.Wawekezaji wengi Tanzania kwenye umeme wanataka wawe kwenye hpande wa uzalishaji halafu waiuzie Tanesco, kwa nini wasizalishe na kusambaza wenyewe? Jibu ni moja, watanzania hawana tabia ya kulipa madeni hivyo hakuna ambae yuko tayari kubeba hasara.
Ndio maana wao wanawekeza kwenye kuzalisha halafu wanailazimisha tanesco inunue kwao iuze, watu walipe bill wasilipe haiwahusu wao wanamkaba koo tanesco.
Tukiacha siasa, a wao wanawekeza kwenye kuzalisha halafu wanailazimisha tanesco inunue kwao iuze, watu walipe bill wasilipe haiwahusu wao wanamkaba koo tanesco.