Wawekezaji wengi Tanzania kwenye umeme wanataka wawe kwenye hpande wa uzalishaji halafu waiuzie Tanesco, kwa nini wasizalishe na kusambaza wenyewe? Jibu ni moja, watanzania hawana tabia ya kulipa madeni hivyo hakuna ambae yuko tayari kubeba hasara.
Ndio maana wao wanawekeza kwenye kuzalisha halafu wanailazimisha tanesco inunue kwao iuze, watu walipe bill wasilipe haiwahusu wao wanamkaba koo tanesco.
Tukiacha siasa, a wao wanawekeza kwenye kuzalisha halafu wanailazimisha tanesco inunue kwao iuze, watu walipe bill wasilipe haiwahusu wao wanamkaba koo tanesco.