Pre GE2025 Zitto Kabwe ashauri vyama vya Upinzani kusimamisha Mgombea mmoja wa Urais katika uchaguzi ujao

Pre GE2025 Zitto Kabwe ashauri vyama vya Upinzani kusimamisha Mgombea mmoja wa Urais katika uchaguzi ujao

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kiongozi mstaafu wa Chama cha ACT- Wazalendo Zitto Kabwe, akizungumza na Crown Fm ametoa rai yake kuhusu Upinzani kuungana na kuwa na mgombea mmoja. Akizungumzia jambo hilo Zitto amesema:

Ni wakati Vyama vya upinzani kuweka pembeni tofauti zao na kukaa pamoja kurekebisha makosa yaliyopita kuwa na mgombea urais mmoja katika uchaguzi ujao.
Ni wazo zuri.
 
Kwa kuwa una "negative attitude" dhidi yake....

Basi kila alisemalo utalichukua kwa mtazamo HASI....

Mgombea mmoja ndio turufu ya upinzani kuongeza IDADI ya majimbo....hili nalo ni la kificho na si la kweli ?!!!

Yaani mkose urais na mkose hata wingi wa majimbo ?!!!
Tanzania hakuna uchaguzi bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Mtu asiyejitambua au nayefaidika na hizo chaguzi zinazojisiwa na ccm, ndio atapoteza muda kuendelea kushiriki huo upuuzi uitwao uchaguzi.
 
Kwa kuwa una "negative attitude" dhidi yake....

Basi kila alisemalo utalichukua kwa mtazamo HASI....

Mgombea mmoja ndio turufu ya upinzani kuongeza IDADI ya majimbo....hili nalo ni la kificho na si la kweli ?!!!

Yaani mkose urais na mkose hata wingi wa majimbo ?!!!
Kwa kumbukumbu zangu hili jambo mbogamboga,kwa kuhofia kile kimbunga cha Mamvi (RIP) enzi za UKAWA, waliliundia sheria kulifanya liwe gumu, I stand to be corrected though..
 
Kiongozi mstaafu wa Chama cha ACT- Wazalendo Zitto Kabwe, akizungumza na Crown Fm ametoa rai yake kuhusu Upinzani kuungana na kuwa na mgombea mmoja. Akizungumzia jambo hilo Zitto amesema:

Ni wakati Vyama vya upinzani kuweka pembeni tofauti zao na kukaa pamoja kurekebisha makosa yaliyopita kuwa na mgombea urais mmoja katika uchaguzi ujao.
Huwezi kuwa na mgombea mmoja bila kuwa na makubaliano ya kisera.
 
Kiongozi mstaafu wa Chama cha ACT- Wazalendo Zitto Kabwe, akizungumza na Crown Fm ametoa rai yake kuhusu Upinzani kuungana na kuwa na mgombea mmoja. Akizungumzia jambo hilo Zitto amesema:

Ni wakati Vyama vya upinzani kuweka pembeni tofauti zao na kukaa pamoja kurekebisha makosa yaliyopita kuwa na mgombea urais mmoja katika uchaguzi ujao.
Zitto hajawahi kuunga mkono ushirikiano, 2015 aliunga mkono Magufuli kwa njia ya kificho, wenzie wakawa na Lowassa yeye akaleta Mugwira akifadhiliwa na Kikwete, 2020 akaleta Membe, ni kwa vile Maalim Seif Alipinga tu
 
Kiongozi mstaafu wa Chama cha ACT- Wazalendo Zitto Kabwe, akizungumza na Crown Fm ametoa rai yake kuhusu Upinzani kuungana na kuwa na mgombea mmoja. Akizungumzia jambo hilo Zitto amesema:

Ni wakati Vyama vya upinzani kuweka pembeni tofauti zao na kukaa pamoja kurekebisha makosa yaliyopita kuwa na mgombea urais mmoja katika uchaguzi ujao.
Tofauti lazima ziwepo yeye mbona alitumika
 
Wapendwa tukishindana hamtoshinda/
Na hata mkishinda, ushindi wenu hautolindwa/
Kama ambavyo kila mmoja anatumia choo chake/
Basi kila mmoja aplay role yake na awe bingwa.

#Dizasta Vina (Black Maradona - heavy element ilozaliwa baada ya Star kufa)
 
Hata mimi nawaunga mkono. Wakiungana hawawezi kosa nafasi ya pili kwenye uchaguzi.
 
Kiongozi mstaafu wa Chama cha ACT- Wazalendo Zitto Kabwe, akizungumza na Crown Fm ametoa rai yake kuhusu Upinzani kuungana na kuwa na mgombea mmoja. Akizungumzia jambo hilo Zitto amesema:

Ni wakati Vyama vya upinzani kuweka pembeni tofauti zao na kukaa pamoja kurekebisha makosa yaliyopita kuwa na mgombea urais mmoja katika uchaguzi ujao.
Ikishakubarika atataka yeye ndo agombee Kisha atuuze. Ikishindikana kusimamishwa yeye ataleta mifarakano.

Kile ni kijiuchafu fulani
 
Kiongozi mstaafu wa Chama cha ACT- Wazalendo Zitto Kabwe, akizungumza na Crown Fm ametoa rai yake kuhusu Upinzani kuungana na kuwa na mgombea mmoja. Akizungumzia jambo hilo Zitto amesema:

Ni wakati Vyama vya upinzani kuweka pembeni tofauti zao na kukaa pamoja kurekebisha makosa yaliyopita kuwa na mgombea urais mmoja katika uchaguzi ujao.
Never trust this man
 
Mnara wa babeli utavunjika
  • Cdm anataka
  • Cuf anataka
  • Act anataka
Sasa hapo nani asimame!!!
 
Zitto anatafuta mbereko ya CDM, yaani ccm wakupe hela ya kampeni halafu hela hiyo uitumie kuwashinda.
 
Ni kweli maana ushindi unapatikana maporini na serekali ndio inayotoa mshindi na sio box la kura.
Hayo amesema Tindo lakini mimi najua watu wana wacha usingizi na kupanga misururu kupiga kura!
 
Back
Top Bottom