Pre GE2025 Zitto Kabwe ashauri vyama vya Upinzani kusimamisha Mgombea mmoja wa Urais katika uchaguzi ujao

Pre GE2025 Zitto Kabwe ashauri vyama vya Upinzani kusimamisha Mgombea mmoja wa Urais katika uchaguzi ujao

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwa tamaa za madaraka za Mbowe na Chadema yake hawawezi kukubali hili jambo. Na hiyo ni faida kwa CCM
 
Kiongozi mstaafu wa Chama cha ACT- Wazalendo Zitto Kabwe, akizungumza na Crown Fm ametoa rai yake kuhusu Upinzani kuungana na kuwa na mgombea mmoja. Akizungumzia jambo hilo Zitto amesema:

Ni wakati Vyama vya upinzani kuweka pembeni tofauti zao na kukaa pamoja kurekebisha makosa yaliyopita kuwa na mgombea urais mmoja katika uchaguzi ujao.
Soma Pia:
Kwa kuwa una "negative attitude" dhidi yake....

Basi kila alisemalo utalichukua kwa mtazamo HASI....

Mgombea mmoja ndio turufu ya upinzani kuongeza IDADI ya majimbo....hili nalo ni la kificho na si la kweli ?!!!

Yaani mkose urais na mkose hata wingi wa majimbo ?!!!
Ccm ina vyama vyake kwenye kambi ya upinzani ambavyo hufanya kaz
Bila wapinzani kuungana ccm haing'oki wala kutetereka, endeleeni kujifanya wapinzani kweli kuliko wenzenu muone mtaishia wapi
wizi wa kura na matumizi ya dola ni fasheni watafanyaje

i yake. Kuungana na vyama hivyo ni kujiandaa kucheza midundo ya mbogamboga
Tatizo Siyo vyama vya Upinzani na wala tatizo Siyo CCM, bali tatizo ni kuwepo kwa Katiba mbaya sana na Sheria za nchi zilizopo pia ni mbaya sana. Hilo ndilo tatizo.
Maisha mazuri kwa wa-Tanzania yanawezekana bila ya vyama vya Siasa.
 
Nafikiri ni muda sahihi sasa kuwa na chama kimoja Tanzania. Chaguzi zitafanyika ndani ya chama. Ccm, chadema, cuf, act, chauma nk. Vyote vivunjwe alafu kiundwe chama kimoja Watanzania wote tuwe wanachama alafu ndio uongozi utspatikana Kwa kura
 
Kiongozi mstaafu wa Chama cha ACT- Wazalendo Zitto Kabwe, akizungumza na Crown Fm ametoa rai yake kuhusu Upinzani kuungana na kuwa na mgombea mmoja. Akizungumzia jambo hilo Zitto amesema:

Ni wakati Vyama vya upinzani kuweka pembeni tofauti zao na kukaa pamoja kurekebisha makosa yaliyopita kuwa na mgombea urais mmoja katika uchaguzi ujao.
Soma Pia:
Naunga mkono hoja ya ZZK ya mgombea mmoja wa upinzani.
P
 
Hayo amesema Tindo lakini mimi najua watu wana wacha usingizi na kupanga misururu kupiga kura!
Mazombie lazima waache usingizi, lakini wanaojitambua hakuna atakayejitokeza kushiriki huo uhuni.
 
Tunaweza kuwa hatumpendi au haaminiki, lakini kwa hili Zitto yuko sahihi, tunapo tengana tuna zigawa kura, washirikiane na waweke tofauti pembeni.
 
Naunga mkono hoja ya ZZK ya mgombea mmoja wa upinzani.
P
You are wrong.

Mimi nafikiri wazo zuri zaidi ni kwamba Wananchi wote wa Tanzania ambao ni wapenda amani ya kweli na wapenda demokrasia tuungane pamoja ili Kupigania upatikanaji wa Katiba ya nchi ambayo itakuwa nzuri na itakayotoa Uhuru na demokrasia Pana kwa kila mmoja, sambamba na kutoa Uhuru kwa mtu yeyote yule aweze kugombea nafasi ya nyadhifa ya kisiasa bila ya kulazimika kujiunga na chama chochote kile cha Siasa, yaani Katiba iruhusu Wagombea huru wa kisiasa wasiokuwa na vyama.

Hii itasaidia Sana Watu kuamua mambo yao watakavyo, sambamba na kuunganisha nguvu zao na kumteua mgombea mmoja wanayemtaka.
 
Tatizo Siyo vyama vya Upinzani na wala tatizo Siyo CCM, bali tatizo ni kuwepo kwa Katiba mbaya sana na Sheria za nchi zilizopo pia ni mbaya sana. Hilo ndilo tatizo.
Maisha mazuri kwa wa-Tanzania yanawezekana bila ya vyama vya Siasa.
Ubaya wa katiba ni upi?..kifungu gani cha katiba ni kibaya?
 
Tatizo ni rahisi kununulika na kusaliti kambi, uaminifu haupo hata Zitto analijua hilo.
 
Bila wapinzani kuungana ccm haing'oki wala kutetereka, endeleeni kujifanya wapinzani kweli kuliko wenzenu muone mtaishia wapi
Haiwezekani kutoboa kwa kuungana na vyama vibaraka wa ccm wewe, never.

Mnaungana mnamsimamisha mtu kutoka ACT-wazalendo kuwawakilisha, anafanya kampeni kama kawaida, ikibaki siku 1 kabla ya uchaguzi, anaita press anawaambia ameamua kuunga mkono sa100. Mchakato unaishia hapo
 
Yaani..wakiunganisha wagombea sera zipi zitafuatwa bila makubaliano?
Toka tuondokane na sera za ujamaa na kujitegemea, hamna chama cha siasa chenye kitu unachoweza kuita sera. Ndio maana watu wanahama kila kukicha bila tatizo lolote. Kila kitu kimekuwa personalised. Sera ya CCM ni Samia Suluhu Hassan, ya Chadema ni Mbowe na Lissu n.k. Wanachotakiwa kufanya ni kukubaliana nani atabeba bendera ya upinzani. Hayo ya sera yatafuata baadae. Suala sio ACT Wazalendo watakubali kuunga mkono Chadema bali ni je Zitto atakubali kumuunga mkono Lissu.

Amandla...
 
Haiwezekani kutoboa kwa kuungana na vyama vibaraka wa ccm wewe, never.

Mnaungana mnamsimamisha mtu kutoka ACT-wazalendo kuwawakilisha, anafanya kampeni kama kawaida, ikibaki siku 1 kabla ya uchaguzi, anaita press anawaambia ameamua kuunga mkono sa100. Mchakato unaishia hapo
Kwani chama chako kina upinzani upi!?..chama kilichoanzishwa na kachero mtei nacho cha upinzani!?.. wakati cuf wanagomea matokeo 2005,mbowe alikaa meza ya mbele kabisa kwenye hafla ya CCM kusherehekea ushindi wa kikwete
 
Chadema ndiyo chama Cha upinzani Tanzania bara na viziwani,Hawa wengine wansoma ramani TU,wakikubali kuingia kwenye makubaliano wataingiza mamluki halafu dakika za mwisho kwenye uchaguzi wanajiunga na chama tawala.
 
Back
Top Bottom