antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Yaani ukishakuwa "chawa wa mama" unahisi kila asiyekubaliana na mapambio yako ni CHADEMA?!!!Mnaeleweka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani ukishakuwa "chawa wa mama" unahisi kila asiyekubaliana na mapambio yako ni CHADEMA?!!!Mnaeleweka
Kwani tunajadili pambio hapa!!?..tunajadili vyama kuungana dhidi ya CCM kama alivyorai zitto,umesema act ni ccm b,hii inajulikana kauli ya watu gani, endeleeni kuvaa kombati joto kali tuone mtafika wapi!!Yaani ukishakuwa "chawa wa mama" unahisi kila asiyekubaliana na mapambio yako ni CHADEMA?!!!
Tumewashtukia nyie "timu chawa", ushauri wenu pelekeni Lumumba huko.Kwani tunajadili pambio hapa!!?..tunajadili vyama kuungana dhidi ya CCM kama alivyorai zitto,umesema act ni ccm b,hii inajulikana kauli ya watu gani, endeleeni kuvaa kombati joto kali tuone mtafika wapi!!
Umeshindwa kukaza kuficha kombati zakoTumewashtukia nyie "timu chawa", ushauri wenu pelekeni Lumumba huko.
Haiwezekani chawa wa timu A waishauri timu B namna ya kujipanga ili waishinde timu A
Dogo,Umeshindwa kukaza kuficha kombati zako
Wewe ni mende mvaa kombatiDogo,
Take it from me, sina chama chochote. Napenda haki tu
Umesikika Mrs. MboweKwanini wasiungane na mumeo ambaye hana tamaa?
Poa dada anguUmesikika Mrs. Mbowe
Hafai,hafai hafai zito ni wakalaZitto hana credibility ya kushauri kitu kwa upinzani. BTW hapa ametumika kama kipaza tu, msemaji hapa ni Samia
Kwa njaa zao... Wapinzani wachache wataungana dhidi ya ccm huku wengine wakiungana na ccm dhidi ya wapinzani wenzao;
kwa iyo ni bora wasiungane?ZItto atawaingiza wenzie mkenge kama Lipumba
Sasa wataungana nini wakati udongo na chuma kamwe haviwezikwa iyo ni bora wasiungane?
Mkishindwa hamkawii kuunga mkono "JUHUDI"Kiongozi mstaafu wa Chama cha ACT- Wazalendo Zitto Kabwe, akizungumza na Crown Fm ametoa rai yake kuhusu Upinzani kuungana na kuwa na mgombea mmoja. Akizungumzia jambo hilo Zitto amesema:
Ni wakati Vyama vya upinzani kuweka pembeni tofauti zao na kukaa pamoja kurekebisha makosa yaliyopita kuwa na mgombea urais mmoja katika uchaguzi ujao.Soma Pia: