Ni wazo zuri.Kiongozi mstaafu wa Chama cha ACT- Wazalendo Zitto Kabwe, akizungumza na Crown Fm ametoa rai yake kuhusu Upinzani kuungana na kuwa na mgombea mmoja. Akizungumzia jambo hilo Zitto amesema:
Ni wakati Vyama vya upinzani kuweka pembeni tofauti zao na kukaa pamoja kurekebisha makosa yaliyopita kuwa na mgombea urais mmoja katika uchaguzi ujao.
Tanzania hakuna uchaguzi bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Mtu asiyejitambua au nayefaidika na hizo chaguzi zinazojisiwa na ccm, ndio atapoteza muda kuendelea kushiriki huo upuuzi uitwao uchaguzi.Kwa kuwa una "negative attitude" dhidi yake....
Basi kila alisemalo utalichukua kwa mtazamo HASI....
Mgombea mmoja ndio turufu ya upinzani kuongeza IDADI ya majimbo....hili nalo ni la kificho na si la kweli ?!!!
Yaani mkose urais na mkose hata wingi wa majimbo ?!!!
Ni kweli maana ushindi unapatikana maporini na serekali ndio inayotoa mshindi na sio box la kura.Hata wakiungana hawawezi shinda!
Kwa kumbukumbu zangu hili jambo mbogamboga,kwa kuhofia kile kimbunga cha Mamvi (RIP) enzi za UKAWA, waliliundia sheria kulifanya liwe gumu, I stand to be corrected though..Kwa kuwa una "negative attitude" dhidi yake....
Basi kila alisemalo utalichukua kwa mtazamo HASI....
Mgombea mmoja ndio turufu ya upinzani kuongeza IDADI ya majimbo....hili nalo ni la kificho na si la kweli ?!!!
Yaani mkose urais na mkose hata wingi wa majimbo ?!!!
Huwezi kuwa na mgombea mmoja bila kuwa na makubaliano ya kisera.Kiongozi mstaafu wa Chama cha ACT- Wazalendo Zitto Kabwe, akizungumza na Crown Fm ametoa rai yake kuhusu Upinzani kuungana na kuwa na mgombea mmoja. Akizungumzia jambo hilo Zitto amesema:
Ni wakati Vyama vya upinzani kuweka pembeni tofauti zao na kukaa pamoja kurekebisha makosa yaliyopita kuwa na mgombea urais mmoja katika uchaguzi ujao.
Zitto hajawahi kuunga mkono ushirikiano, 2015 aliunga mkono Magufuli kwa njia ya kificho, wenzie wakawa na Lowassa yeye akaleta Mugwira akifadhiliwa na Kikwete, 2020 akaleta Membe, ni kwa vile Maalim Seif Alipinga tuKiongozi mstaafu wa Chama cha ACT- Wazalendo Zitto Kabwe, akizungumza na Crown Fm ametoa rai yake kuhusu Upinzani kuungana na kuwa na mgombea mmoja. Akizungumzia jambo hilo Zitto amesema:
Ni wakati Vyama vya upinzani kuweka pembeni tofauti zao na kukaa pamoja kurekebisha makosa yaliyopita kuwa na mgombea urais mmoja katika uchaguzi ujao.
Tofauti lazima ziwepo yeye mbona alitumikaKiongozi mstaafu wa Chama cha ACT- Wazalendo Zitto Kabwe, akizungumza na Crown Fm ametoa rai yake kuhusu Upinzani kuungana na kuwa na mgombea mmoja. Akizungumzia jambo hilo Zitto amesema:
Ni wakati Vyama vya upinzani kuweka pembeni tofauti zao na kukaa pamoja kurekebisha makosa yaliyopita kuwa na mgombea urais mmoja katika uchaguzi ujao.
Na uchawi umemla akili.... sura inazidi kusawajika siku hadi siku!!! Angempa tu Yesu maisha yake hana jipya na hatakuwa nalo tena.Zitto alishauza akili zake.
Haeleweki
Kivipi?Huwezi kuwa na mgombea mmoja bila kuwa na makubaliano ya kisera.
Ikishakubarika atataka yeye ndo agombee Kisha atuuze. Ikishindikana kusimamishwa yeye ataleta mifarakano.Kiongozi mstaafu wa Chama cha ACT- Wazalendo Zitto Kabwe, akizungumza na Crown Fm ametoa rai yake kuhusu Upinzani kuungana na kuwa na mgombea mmoja. Akizungumzia jambo hilo Zitto amesema:
Ni wakati Vyama vya upinzani kuweka pembeni tofauti zao na kukaa pamoja kurekebisha makosa yaliyopita kuwa na mgombea urais mmoja katika uchaguzi ujao.
Never trust this manKiongozi mstaafu wa Chama cha ACT- Wazalendo Zitto Kabwe, akizungumza na Crown Fm ametoa rai yake kuhusu Upinzani kuungana na kuwa na mgombea mmoja. Akizungumzia jambo hilo Zitto amesema:
Ni wakati Vyama vya upinzani kuweka pembeni tofauti zao na kukaa pamoja kurekebisha makosa yaliyopita kuwa na mgombea urais mmoja katika uchaguzi ujao.
Atafura huyo.Kila chama kijisimamie chenyewe
Yaani..wakiunganisha wagombea sera zipi zitafuatwa bila makubaliano?Kivipi?
Amandla...
Hayo amesema Tindo lakini mimi najua watu wana wacha usingizi na kupanga misururu kupiga kura!Ni kweli maana ushindi unapatikana maporini na serekali ndio inayotoa mshindi na sio box la kura.