Zitto Kabwe asubiriwa na Bunge kueleza lengo la barua yake Benki ya Dunia kuzuia mkopo wa kuboresha Elimu (SEQUIP)

Ningekuwa mimi nisingempa nafasi Zitto aeleze bunge kwani atashinda kimantiki labda watumie hoja ya nguvu lkn kwa nguvu ya hoja Zitto anashinda. Kosa pekee alilotenda, kama ni kweli, ni kutumia nembo ya bunge.
 
Interest,
Alitegemea apeleke hiyo hoja bungeni ijadiliwe?
Kwani hizo pesa zinatolewa na na bunge au serikali ya tanzania? Yeye alipeleka hoje kwa wale wanaotoa mkopo.

Sasa ndugai anataka bunge la ccm ambalo limeshaamriwa wapitishe kila kitu wangeipinga hiyo hoja ya kukopa, wakati hizo pesa zilikuwa zitumike kuwasaidia wao kwenye uchaguzi 2020?
 
Mkuu hayo ni mahaba, watakuja malenga kutuimbia hilo shairi
 
Mabeberu mnaowapigia magoti wawapande kisa mkopo, au mabeberu gani unayomaanisha.

Umesikia maccm yalivyokwapua hela za Epassport? Maccm yameiba Tr 1 dili fake....
Sasa Ndunga si apige kelele na hayo mahela ma trillion hayo yaliyokwapuliwa yarudi yakahudumie elimu badala yake ndunga akaishia kula na CAG na bado anataka kumtafuta Zitto.Zitto ni mtetezi wa kweli wa wanyonge.Na sio mnafiki kama.....

Inasikitisha sana kuona jinsi ambavyo baadhi ya wabunge wasivyoweza kutetea wananchi.Zitto ameona mbali na kutambua kuwa mwisho wa siku huo mkopo ukipita mwananchi mnyonge mwenye mlo mmoja kwa siku ndiye atakayebebeshwa limzigo hilo na wananchi wengi tumeliona hilo.

Wabunge wetu watukufu tunawaomba fikirini kuongeza uzito ili mkopo huo usitoke.Nchi yetu ni tajiri kwa nini tunahangaika na mikopo itakayokuja kutuumiza baadaye.Kama nyie mmejitosheleza sawa.lakini mnapita vijijini na mnaona hali halisi ya umaskini mkubwa uliopo.

Chonde chonde hii fedha tunayolia nayo ni ndogo sana.Pambaneni zile 1.5 na nyingine nyiiiingi tu zipatikane nikianza kuorodhesha hapatatosha.Zinatosha kabisa hiyo elimu mnayotaka.

Zitto ni wetu sisi wanyonge na tunamkubali sana.Mwacheni na nyie mtutetee.
 
Watu wa Kigoma tunakaaga kimya tukisubiri wakati..usituzungumzie..wewe hutoki kigoma..ulabheha
 
Wewe kama mtumishi wa taasisi unaweza kutumia nendo ya taasisi yako kufikisha ujumbe kwenye taasisi nyingine bila ruhusa ya ofisi yako?
Mtumishi wa taasisi kwa kevel gani?

CEO ni mtumishi wa taasisi na yeye ndiye anatoa ruhusa ya nembo kutumiwa.

Mbunge ana a very unique mandate by virtue if being elected by the people.

Mnataka wabunge waombe ruhusa kuandika barua yenye ketterhead ya bunge?

Nimeuliza seali hapo juu. Ikiwa Mbunge anaandika barua World Bank, kuomba habari za kumchunguza Spika kama anatumia hela za World Bank kinyume na malengo rasmi, unataka mbunge huyo aomne ruhusa kutumia ketterhead ya bunge?

Mpaka sasa sijajibiwa. Mnasoma na kuliacha tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
#Habari:Bunge limemwagiza mwanasheria mkuu wa serikali kuangalia kama kuna viashiria vya makosa ya jinai kwa mbunge wa jimbo la kigoma mjini Mhe.Zitto Kabwe kutumia nembo ya bunge kuandika barua benki ya dunia ili isitishe mkopo kwa ajili ya kuendeleza sekta ya elimu nchini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lazima Bunge limuazimie.

Huyo Ndugai anadhani kwamba hatujui kwamba hilo bunge hakuna jambo lolote la wapinzani linafanyiwa kazi? Tume huru ya uchaguzi ndio kilio cha wapinzani, mbona hawako tayari ijadiliwe huko bungeni? Ni hivi, Zito atoe mashitaka awezavyo huko nje maana huku ndani hayo mambo hayawezi kujadiliwa.
 
Huyo ******* anateseka na mengi,ukiachia Zitto kuna kale kaugonjwa hatarishi pia kanamtesa!
 
Kazi za mbunge zimeanishwa wazi kabisa hiyo ya kuwasiliana na benki ya dunia kwa kutumia Ofisi ya bunge na karatasi yenye nembo ya bunge haimo kwenye kazi za mbunge.
Hivyo ndiyo ilivyokuwa?
 

Huko US mifumo yao ina nguvu, utafananisha na hapa kwetu sheria na katiba ya nchi inatekelezwa kwa mapenzi ya rais? Namtaka Zito asipate woga wowote bali aseme uhayawani wowote unaoendelea hapa nchini, wananchi wengi hatupendi kuburuzwa na ccm hivyo tutamuunga mkono kwenda nje kusaka msaada wa kutoburuzwa na shetani.
 

sio mifumo, tatizo hoja zenye mashiko! wapinzania wanakuaga na hoja zenye akili sana nimetoa mfano wa jamaa aliesema matajri walipishwe kodi ya kusaidia maskini , ona hoja kama izo: sasa nyie hata ilani ya chama hatuwelewi, inafika mpaka hatua mnachukua mgombea wa ccm mnamuweka mwakilishi wenu, sasa hio ni akili? upinzani mm naona mrudi tu shule kwanza unampinga mtu aliekupa mtu wa kugombea , what type of mind is this
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…