Hiyo point nzuri... lazima watoto wetu watambue kwamba reckless action zao zitakua na consequences. Wakikosea wataadhibiwa...bad choices can never be rewarded...hii ina apply ktk maeneo yote.kama anaona anataka kuendelea na shule akasome private schools sasa kwa kua ni zinalipiwa na kodi bure kelele ziishe
Wanaongea kwa huruma kweli.Spika wa Bunge Mh. Job Ndugai amesema kama kulikuwa na tatizo la kisera, ni mambo ya kujadiliwa bungeni. Sio mara ya kwanza kutokea sera zikawa na udhaifu au zinahitaji maboresho.
Anasema Zitto alipaswa awasilishe maoni yake na mapendekezo kuhusu ubovu wa sera ya elimu kisha litazamwe. Ndio kazi za bunge. Sasa yeye anaenda kupiga kelele nje ya nchi kwa sababu hakubaliani na sera kweli?
Awajibishwe.
=========
Leo Ijumaa Januari 31, 2020 bungeni jijini Dodoma, Spika wa Bunge, Job Ndugai amesema wanamsubiri Zitto awaeleze kwa nini aliandika barua hiyo.
“Mtu unaweza kuwa na tofauti na sera au mtazamo kati ya wewe mbunge au upande wa Serikali na kadhalika, lakini kufikia mahali pa ‘kublock’ Tanzania isipate fursa fulani nadhani ni kwenda mbali mno.”
“Kwa sababu watoto watakaokosa fursa hiyo ni watoto wa Tanzania ni walimu wa Tanzania ni miundombinu ya elimu ya Tanzania, sijui katika hilo kama mbunge unanufaika nini maana kama ni suala la utofauti la kisera haya ni mambo ya kujadiliana tu,” amesema Spika Ndugai.
Katika kusisitiza hilo, Spika Ndugai amesema, “ningependa kutoa ushauri wa ujumla tu kwamba ni vema kutumia fursa yetu kama wawakilishi wa wananchi tukaelimishana tukaelezana kuliko kuwakosesha Watanzania fursa wakati baadhi yetu watoto wetu wapo Feza Boys, wapo Marian Girls halafu unablock msaada kwa watoto walio wengi wa wapiga kura wetu jambo ambalo halifai kabisa.”
Hata hivyo hapo jana Waziri wa zamani wa Viwanda na Biashara nchini Tanzania, Joseph Kakunda alisema kitendo cha Mbunge wa Kigoma Mjini (ACT-Wazalendo), Zitto Kabwe kuandika barua ya kutaka kuzuia mkopo wa elimu unaotolewa na Benki ya Dunia (WB) ni kituko nani aibu.
Kakunda aliyasema hayo bungeni jijini Dodoma wakati akichangia taarifa za kamati za Bunge za bajeti na Uwekezaji na Mitaji ya Umma.
“Naomba nizungumze masikitiko yangu dhidi ya barua moja ambayo mwenzetu mmoja (Zitto) ameiandika kutaka kuzuia fedha za miradi ya elimu ni kituko na ni aibu sana kwetu sisi wabunge kuona mwenzetu ameandika barua,” alisema Kakunda ambaye pia ni Mbunge wa Sikonge (CCM) mkoani Tabora
Alisema barua hiyo wangekuwa wameandika watu wa mashirika yasiyo ya kiserikali yeye asingestuka sana lakini kuandikwa na mbunge mwenzao wakati Serikali imepeleka Sh1 bilioni kwa ajili ya kukarabati Sekondari ya Kigoma iliyoko kwenye jimbo lake ni jambo la kusikitisha.
“Sasa hivi Sekondari ya Kigoma ni kama mpya. Na vilevile Serikali imepeleka zaidi ya Sh4 bilioni kwa ajili ya kuboresha elimu. Sasa anazuia zisije kwa haraka kwa ajili ya kuwasaidia watoto wa kitanzania nieleze masikitiko makubwa sana,”amesema.
“Nilitamani nipaze sauti huko aliko anisikie lakini kwa sababu yuko mbali naachia hapo lakini atasikia kutoka kwenye Hansard (kumbukumbu Rasmi za Bunge)" alisema Mh. Kakunda
Hiyo point nzuri... lazima watoto wetu watambue kwamba reckless action zao zitakua na consequences. Wakikosea wataadhibiwa...bad choices can never be rewarded...hii ina apply ktk maeneo yote.
Kapimwe Corona virus.
Well put...let us all be honest.. regardless of our political ideology...Mr Zitto was ill-advised...that loan would/will do much better for our nation growth than damages as he claimed....HE DID MESS THIS UP.hilo sio swala la kuwekewa kikao hata, mwenye anataka kusoma asome mwenye anataka mapenzi akafanye mapenzi uko! its very hard to raise a kid who doesnt understand his borders
ukweli mchungu ila ndo uelewe sasa! mapungufu ya ccm yanaeleweka na ni yale yale, atleast they are sensible na mwenendo wa chama, tulishakua na viongozi sio wazuri sana na wakaja kuchagua viongozi wazuri tena, lakini upinzani hata mlivouungana mmeshindwa kutoa mtu anaeweza kuongea sense, mtu aliekua anaonekana kichwwa pale ni wilbroad silaa tu
baada ya hapo kina mbatia , watu wastaarabu wanaoongea vitu hata kama amekosea lakini anawasilisha mfumo matured sasa wengine mpaka wabebwa na watu wa usalama bungeni, what kind of people do you hold! mwingine anaomba nchi isipewe msaada kisa ccm wametumia dola kusema hakuna kuongea(uhuru wa vyombo vya habari) , we kweli unaona huyu mtu kichwa kiko vizuri? upinzani wana watu matured ila wachache sana as i said wakina mbatia, wengine porojo nyingine na hawajui kujenga hoja bila kelele, yaaani nyie kupiga kelele ndo hoja>?????????? WTF
pia ccm ina mapungufu lakini angalia actions zao, very matured! yaaani mm nlishangaa sana mlifika hadi hatua ya kukubali chama chenu kinunuliwe ili mgombea wa ccm aende kugombea, chama gan sasa hicho hakina misimamo! what if mkipewa nchi mkapewa ela mruhusu ushoga si mtaruhusu
Kuwaelewesha watu kama hao ni shida mno maana wamesha amua upande wa kutoelewa.Kuruhusu mabinti waendelee na masomo si kukubali kwamba mabinti kupata mimba ni sawa.
Unaelewa hilo?
Unaelewa kwamba kuna mabinti wanapata mimba kabla ya kupata majority age na hivyo hawatakiwi hata kuwajibishwa kwa kupata mimba ambazo basically zinatokana na statutory rape?
Unaelewa statutory rape ni nini?
Unaelewa majority age ni nini?
Unaelewa kwamba mkono ukishika mavi haukatwi, unaoshwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Well put...let us all be honest.. regardless of our political ideology...Mr Zitto was ill-advised...that loan would/will do much better for our nation growth than damages as he claimed....HE DID MESS THIS UP.
Ujengaji hoja wa wanaccm ni kama huu wako. Wanaccm karibia wote mmekuwa wajinga, ukisikia wenzako wanasema Slaa ndio alikuwa mjenga hoja na ww unarukia humo humo, ukiambiwa uonyeshe post yoyote uliyowahi kukiri kwamba Slaa ni mjenga hoja kabla ya kuondoka cdm, huna popote ulipowahi kukiri. Ila kwakuwa sasa hivi huyo Slaa hawadhuru ccm mnaishia kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa. Slaa aliwahi kutaka tume huru ya uchaguzi, je ilipatikana ili tujue mlikubali hoja zake? Usiwe bendera fuata upepo, jenga hoja zako acha kuiga za wenzako.
Hueleweki mara ccm ina mapungufu, ila angalia actions zao sijui very matured. Huko ccm unavyotaka kuonyesha wako vizuri mbona wao pia waliwachukua wapinzani kisha wakawarudisha kwa mlango wa uani kwenye chaguzi za kihayawani? Kuna tofauti gani na hao cdm waliomchukua Lowassa na kumpa nafasi? Ni hivi, huna point zaidi ya kuleta hisia zako zisizo na kichwa wala miguu. Kama ccm wangekuwa vizuri mpaka leo nchi yetu ingekuwa masikini?
Ukisoma barua ya zitto utaelewa Ni kitu gani alikuwa anazungumzia, amezungumzia vitu vingi Sana vya msingi lakini Cha ajabu watu wanaongelea tu suala la fedha, by the way zitto hajasema pesa hizo zisitolewe badala yake amesema ya kwamba zisitolewe Kwanza mpaka happy mabadiliko yatakapofanywa, ameongelea suala la uminywaji wa haki za kufanya siasa ikiwemo suala la kukusanyika kwa ajioi ya watu kutoa ya moyoni, ukiukwaji wa haki za binadamu, na n,k lakini Cha ajabu watu wanachoangaoua Ni pesa tu pengine wamesikia kwa mtu kuhusu barua na siyo wao wenyewe kuisomaSpika wa Bunge Mh. Job Ndugai amesema kama kulikuwa na tatizo la kisera, ni mambo ya kujadiliwa bungeni. Sio mara ya kwanza kutokea sera zikawa na udhaifu au zinahitaji maboresho.
Anasema Zitto alipaswa awasilishe maoni yake na mapendekezo kuhusu ubovu wa sera ya elimu kisha litazamwe. Ndio kazi za bunge. Sasa yeye anaenda kupiga kelele nje ya nchi kwa sababu hakubaliani na sera kweli?
Awajibishwe.
=========
Leo Ijumaa Januari 31, 2020 bungeni jijini Dodoma, Spika wa Bunge, Job Ndugai amesema wanamsubiri Zitto awaeleze kwa nini aliandika barua hiyo.
“Mtu unaweza kuwa na tofauti na sera au mtazamo kati ya wewe mbunge au upande wa Serikali na kadhalika, lakini kufikia mahali pa ‘kublock’ Tanzania isipate fursa fulani nadhani ni kwenda mbali mno.”
“Kwa sababu watoto watakaokosa fursa hiyo ni watoto wa Tanzania ni walimu wa Tanzania ni miundombinu ya elimu ya Tanzania, sijui katika hilo kama mbunge unanufaika nini maana kama ni suala la utofauti la kisera haya ni mambo ya kujadiliana tu,” amesema Spika Ndugai.
Katika kusisitiza hilo, Spika Ndugai amesema, “ningependa kutoa ushauri wa ujumla tu kwamba ni vema kutumia fursa yetu kama wawakilishi wa wananchi tukaelimishana tukaelezana kuliko kuwakosesha Watanzania fursa wakati baadhi yetu watoto wetu wapo Feza Boys, wapo Marian Girls halafu unablock msaada kwa watoto walio wengi wa wapiga kura wetu jambo ambalo halifai kabisa.”
Hata hivyo hapo jana Waziri wa zamani wa Viwanda na Biashara nchini Tanzania, Joseph Kakunda alisema kitendo cha Mbunge wa Kigoma Mjini (ACT-Wazalendo), Zitto Kabwe kuandika barua ya kutaka kuzuia mkopo wa elimu unaotolewa na Benki ya Dunia (WB) ni kituko nani aibu.
Kakunda aliyasema hayo bungeni jijini Dodoma wakati akichangia taarifa za kamati za Bunge za bajeti na Uwekezaji na Mitaji ya Umma.
“Naomba nizungumze masikitiko yangu dhidi ya barua moja ambayo mwenzetu mmoja (Zitto) ameiandika kutaka kuzuia fedha za miradi ya elimu ni kituko na ni aibu sana kwetu sisi wabunge kuona mwenzetu ameandika barua,” alisema Kakunda ambaye pia ni Mbunge wa Sikonge (CCM) mkoani Tabora
Alisema barua hiyo wangekuwa wameandika watu wa mashirika yasiyo ya kiserikali yeye asingestuka sana lakini kuandikwa na mbunge mwenzao wakati Serikali imepeleka Sh1 bilioni kwa ajili ya kukarabati Sekondari ya Kigoma iliyoko kwenye jimbo lake ni jambo la kusikitisha.
“Sasa hivi Sekondari ya Kigoma ni kama mpya. Na vilevile Serikali imepeleka zaidi ya Sh4 bilioni kwa ajili ya kuboresha elimu. Sasa anazuia zisije kwa haraka kwa ajili ya kuwasaidia watoto wa kitanzania nieleze masikitiko makubwa sana,”amesema.
“Nilitamani nipaze sauti huko aliko anisikie lakini kwa sababu yuko mbali naachia hapo lakini atasikia kutoka kwenye Hansard (kumbukumbu Rasmi za Bunge)" alisema Mh. Kakunda
Wananchi gani hao?Hahahaha mkuu umekuja kwa kasi mpaka umechapia, Zito wananchi wanamkibali sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha,hii ndo hatari zaidi maana tunawajua watu wa kigoma kwa fitinaAkiwa nje ya bunge hasikilizwi na WB? Si ndo atahamia makao makuu kufanya fitna?