Zitto Kabwe asubiriwa na Bunge kueleza lengo la barua yake Benki ya Dunia kuzuia mkopo wa kuboresha Elimu (SEQUIP)

Zitto Kabwe asubiriwa na Bunge kueleza lengo la barua yake Benki ya Dunia kuzuia mkopo wa kuboresha Elimu (SEQUIP)

kama anaona anataka kuendelea na shule akasome private schools sasa kwa kua ni zinalipiwa na kodi bure kelele ziishe
Hiyo point nzuri... lazima watoto wetu watambue kwamba reckless action zao zitakua na consequences. Wakikosea wataadhibiwa...bad choices can never be rewarded...hii ina apply ktk maeneo yote.
 
Hatua ya kwanza ni kuzuia.. Hakua ya pili ndo hiyo kujadiliana sasa mlitaka tujadiri halafu ndo tuzuie tungechelewa Viva #kabwe
 
Spika wa Bunge Mh. Job Ndugai amesema kama kulikuwa na tatizo la kisera, ni mambo ya kujadiliwa bungeni. Sio mara ya kwanza kutokea sera zikawa na udhaifu au zinahitaji maboresho.

Anasema Zitto alipaswa awasilishe maoni yake na mapendekezo kuhusu ubovu wa sera ya elimu kisha litazamwe. Ndio kazi za bunge. Sasa yeye anaenda kupiga kelele nje ya nchi kwa sababu hakubaliani na sera kweli?

Awajibishwe.

=========
Leo Ijumaa Januari 31, 2020 bungeni jijini Dodoma, Spika wa Bunge, Job Ndugai amesema wanamsubiri Zitto awaeleze kwa nini aliandika barua hiyo.

“Mtu unaweza kuwa na tofauti na sera au mtazamo kati ya wewe mbunge au upande wa Serikali na kadhalika, lakini kufikia mahali pa ‘kublock’ Tanzania isipate fursa fulani nadhani ni kwenda mbali mno.”

“Kwa sababu watoto watakaokosa fursa hiyo ni watoto wa Tanzania ni walimu wa Tanzania ni miundombinu ya elimu ya Tanzania, sijui katika hilo kama mbunge unanufaika nini maana kama ni suala la utofauti la kisera haya ni mambo ya kujadiliana tu,” amesema Spika Ndugai.

Katika kusisitiza hilo, Spika Ndugai amesema, “ningependa kutoa ushauri wa ujumla tu kwamba ni vema kutumia fursa yetu kama wawakilishi wa wananchi tukaelimishana tukaelezana kuliko kuwakosesha Watanzania fursa wakati baadhi yetu watoto wetu wapo Feza Boys, wapo Marian Girls halafu unablock msaada kwa watoto walio wengi wa wapiga kura wetu jambo ambalo halifai kabisa.”

Hata hivyo hapo jana Waziri wa zamani wa Viwanda na Biashara nchini Tanzania, Joseph Kakunda alisema kitendo cha Mbunge wa Kigoma Mjini (ACT-Wazalendo), Zitto Kabwe kuandika barua ya kutaka kuzuia mkopo wa elimu unaotolewa na Benki ya Dunia (WB) ni kituko nani aibu.

Kakunda aliyasema hayo bungeni jijini Dodoma wakati akichangia taarifa za kamati za Bunge za bajeti na Uwekezaji na Mitaji ya Umma.

“Naomba nizungumze masikitiko yangu dhidi ya barua moja ambayo mwenzetu mmoja (Zitto) ameiandika kutaka kuzuia fedha za miradi ya elimu ni kituko na ni aibu sana kwetu sisi wabunge kuona mwenzetu ameandika barua,” alisema Kakunda ambaye pia ni Mbunge wa Sikonge (CCM) mkoani Tabora

Alisema barua hiyo wangekuwa wameandika watu wa mashirika yasiyo ya kiserikali yeye asingestuka sana lakini kuandikwa na mbunge mwenzao wakati Serikali imepeleka Sh1 bilioni kwa ajili ya kukarabati Sekondari ya Kigoma iliyoko kwenye jimbo lake ni jambo la kusikitisha.

“Sasa hivi Sekondari ya Kigoma ni kama mpya. Na vilevile Serikali imepeleka zaidi ya Sh4 bilioni kwa ajili ya kuboresha elimu. Sasa anazuia zisije kwa haraka kwa ajili ya kuwasaidia watoto wa kitanzania nieleze masikitiko makubwa sana,”amesema.

“Nilitamani nipaze sauti huko aliko anisikie lakini kwa sababu yuko mbali naachia hapo lakini atasikia kutoka kwenye Hansard (kumbukumbu Rasmi za Bunge)" alisema Mh. Kakunda
Wanaongea kwa huruma kweli.
Lakini spika ndugai lazima afahamu kwamba mara nyingi sana amekuwa haitendei haki michango ya wa upinzani na katumika sana kukandamiza haki zao.
Mtoto akienda kuomba nje ina maana nyumbani hasikilizwi, nadhani hizi ndizo approuch zitakazo wazibua vichwa vyao vigumu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo point nzuri... lazima watoto wetu watambue kwamba reckless action zao zitakua na consequences. Wakikosea wataadhibiwa...bad choices can never be rewarded...hii ina apply ktk maeneo yote.

hilo sio swala la kuwekewa kikao hata, mwenye anataka kusoma asome mwenye anataka mapenzi akafanye mapenzi uko! its very hard to raise a kid who doesnt understand his borders
 
Kapimwe Corona virus.

ukweli mchungu ila ndo uelewe sasa! mapungufu ya ccm yanaeleweka na ni yale yale, atleast they are sensible na mwenendo wa chama, tulishakua na viongozi sio wazuri sana na wakaja kuchagua viongozi wazuri tena, lakini upinzani hata mlivouungana mmeshindwa kutoa mtu anaeweza kuongea sense, mtu aliekua anaonekana kichwwa pale ni wilbroad silaa tu

baada ya hapo kina mbatia , watu wastaarabu wanaoongea vitu hata kama amekosea lakini anawasilisha mfumo matured sasa wengine mpaka wabebwa na watu wa usalama bungeni, what kind of people do you hold! mwingine anaomba nchi isipewe msaada kisa ccm wametumia dola kusema hakuna kuongea(uhuru wa vyombo vya habari) , we kweli unaona huyu mtu kichwa kiko vizuri? upinzani wana watu matured ila wachache sana as i said wakina mbatia, wengine porojo nyingine na hawajui kujenga hoja bila kelele, yaaani nyie kupiga kelele ndo hoja>?????????? WTF

pia ccm ina mapungufu lakini angalia actions zao, very matured! yaaani mm nlishangaa sana mlifika hadi hatua ya kukubali chama chenu kinunuliwe ili mgombea wa ccm aende kugombea, chama gan sasa hicho hakina misimamo! what if mkipewa nchi mkapewa ela mruhusu ushoga si mtaruhusu
 
Kipimo cha kujijua kama wewe ni shetani ni kumpinga Zitto kwenye swala hili

....... Zitto go go go japo jiandae na urudi Kigoma uweke "vidono" kuepuka ya kaka Lissu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hilo sio swala la kuwekewa kikao hata, mwenye anataka kusoma asome mwenye anataka mapenzi akafanye mapenzi uko! its very hard to raise a kid who doesnt understand his borders
Well put...let us all be honest.. regardless of our political ideology...Mr Zitto was ill-advised...that loan would/will do much better for our nation growth than damages as he claimed....HE DID MESS THIS UP.
 
Zito ni kati ya wanasiasa wanaougua ugonjwa wa Urais, akiupata tu anapona.
 
ukweli mchungu ila ndo uelewe sasa! mapungufu ya ccm yanaeleweka na ni yale yale, atleast they are sensible na mwenendo wa chama, tulishakua na viongozi sio wazuri sana na wakaja kuchagua viongozi wazuri tena, lakini upinzani hata mlivouungana mmeshindwa kutoa mtu anaeweza kuongea sense, mtu aliekua anaonekana kichwwa pale ni wilbroad silaa tu

baada ya hapo kina mbatia , watu wastaarabu wanaoongea vitu hata kama amekosea lakini anawasilisha mfumo matured sasa wengine mpaka wabebwa na watu wa usalama bungeni, what kind of people do you hold! mwingine anaomba nchi isipewe msaada kisa ccm wametumia dola kusema hakuna kuongea(uhuru wa vyombo vya habari) , we kweli unaona huyu mtu kichwa kiko vizuri? upinzani wana watu matured ila wachache sana as i said wakina mbatia, wengine porojo nyingine na hawajui kujenga hoja bila kelele, yaaani nyie kupiga kelele ndo hoja>?????????? WTF

pia ccm ina mapungufu lakini angalia actions zao, very matured! yaaani mm nlishangaa sana mlifika hadi hatua ya kukubali chama chenu kinunuliwe ili mgombea wa ccm aende kugombea, chama gan sasa hicho hakina misimamo! what if mkipewa nchi mkapewa ela mruhusu ushoga si mtaruhusu

Ujengaji hoja wa wanaccm ni kama huu wako. Wanaccm karibia wote mmekuwa wajinga, ukisikia wenzako wanasema Slaa ndio alikuwa mjenga hoja na ww unarukia humo humo, ukiambiwa uonyeshe post yoyote uliyowahi kukiri kwamba Slaa ni mjenga hoja kabla ya kuondoka cdm, huna popote ulipowahi kukiri. Ila kwakuwa sasa hivi huyo Slaa hawadhuru ccm mnaishia kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa. Slaa aliwahi kutaka tume huru ya uchaguzi, je ilipatikana ili tujue mlikubali hoja zake? Usiwe bendera fuata upepo, jenga hoja zako acha kuiga za wenzako.

Hueleweki mara ccm ina mapungufu, ila angalia actions zao sijui very matured. Huko ccm unavyotaka kuonyesha wako vizuri mbona wao pia waliwachukua wapinzani kisha wakawarudisha kwa mlango wa uani kwenye chaguzi za kihayawani? Kuna tofauti gani na hao cdm waliomchukua Lowassa na kumpa nafasi? Ni hivi, huna point zaidi ya kuleta hisia zako zisizo na kichwa wala miguu. Kama ccm wangekuwa vizuri mpaka leo nchi yetu ingekuwa masikini?
 
Kuruhusu mabinti waendelee na masomo si kukubali kwamba mabinti kupata mimba ni sawa.

Unaelewa hilo?

Unaelewa kwamba kuna mabinti wanapata mimba kabla ya kupata majority age na hivyo hawatakiwi hata kuwajibishwa kwa kupata mimba ambazo basically zinatokana na statutory rape?

Unaelewa statutory rape ni nini?

Unaelewa majority age ni nini?

Unaelewa kwamba mkono ukishika mavi haukatwi, unaoshwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuwaelewesha watu kama hao ni shida mno maana wamesha amua upande wa kutoelewa.
Labda tuwakumbushe kidogo, hapa JF kulikuwa na taarifa za mheshimiwa Makamba alipokuwa Mwalimu huko Kigoma alimjaza mimba mwanafunzi (obviously atakuwa under 18) na akaamua kukimbia kabisa.
Kwa hiyo huyo mtoto aliyestahili ulinzi ndio ukawa mwisho wa maisha yake kielimu na huku aliyemharibia akipanda ngazi hadi nafasi ya juu katika chama Tawala.
Ni wajibu wa jamii kutafuta kila njia kuwapa ulinzi hawa watoto na Elimu ya uzazi na maadili lakini sio kuwatenga na kuwanyanyapaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Well put...let us all be honest.. regardless of our political ideology...Mr Zitto was ill-advised...that loan would/will do much better for our nation growth than damages as he claimed....HE DID MESS THIS UP.

this isnt the first time, there was a time back he refused the government to construct roads in some parts of kigoma! i dont remember the place exaclty but we talked about it here, and still people praised him though the government used force to construct the roads but he did such a stupid thing
 
Ujengaji hoja wa wanaccm ni kama huu wako. Wanaccm karibia wote mmekuwa wajinga, ukisikia wenzako wanasema Slaa ndio alikuwa mjenga hoja na ww unarukia humo humo, ukiambiwa uonyeshe post yoyote uliyowahi kukiri kwamba Slaa ni mjenga hoja kabla ya kuondoka cdm, huna popote ulipowahi kukiri. Ila kwakuwa sasa hivi huyo Slaa hawadhuru ccm mnaishia kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa. Slaa aliwahi kutaka tume huru ya uchaguzi, je ilipatikana ili tujue mlikubali hoja zake? Usiwe bendera fuata upepo, jenga hoja zako acha kuiga za wenzako.

Hueleweki mara ccm ina mapungufu, ila angalia actions zao sijui very matured. Huko ccm unavyotaka kuonyesha wako vizuri mbona wao pia waliwachukua wapinzani kisha wakawarudisha kwa mlango wa uani kwenye chaguzi za kihayawani? Kuna tofauti gani na hao cdm waliomchukua Lowassa na kumpa nafasi? Ni hivi, huna point zaidi ya kuleta hisia zako zisizo na kichwa wala miguu. Kama ccm wangekuwa vizuri mpaka leo nchi yetu ingekuwa masikini?

zile ni key positions, utaongea vyote lakini zile nafasi ni za heshima sana na apo ndo mstari unaanzia, hata wewe unaenda kanisan kesho yake asubui tena unatenda dhambi alafu unamrudia Mungu, haiwezekan upinga ccm alafu aje kukuongoza uliempinga! wote wanaokuja kutoka upinzani hata uwaziri hawapati, wanaanza kukua ngazi mpaka ngazi hapo ndio heshima inatkiwa iwe, kuna mtu alishambuliwa na upinzani kama lowasa na kikwete, haswa yule tundu lissu wenu! ilifika mpaka mda lowasa akajiuzulu, leo hii anakua kioo cha upinzani. hii ni akili? ccm wamefanya upuuzi wote lakini hawajavuka huu mpaka! kwenye jamii unaonakana kama toilet paper unatumika alafu unatupwa, amekuja akakosa uongozi alafu akasepa! JUST LIKE THAT ......WTF! na uko unashabikia kabisa, yaaani mtu aje atumie mke wako alafu akuache ivo ivo na unampa sifa na mapambio, ndo mnajisifia hiki au>? ebu taja kitu cha maaana upinzani mnajisifia mmefanya

huyo zito alishawahi kukataa ujenzi wa barabara kigoma, kwahio sishangai akisema hataki mkopo ufike tanzania! you really need to fo to school
 
Spika wa bunge Mh ndugai akasirishwa na Zito Kabwe kwa hatua yakuonesha kuwa na furaha baada ya Tanzania kunyimwa mkopo,


. BUNGENI: ndugai amtangazia vita z... tunyimwe mkopo https://youtu.be/UVsv36IolYw


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Spika wa Bunge Mh. Job Ndugai amesema kama kulikuwa na tatizo la kisera, ni mambo ya kujadiliwa bungeni. Sio mara ya kwanza kutokea sera zikawa na udhaifu au zinahitaji maboresho.

Anasema Zitto alipaswa awasilishe maoni yake na mapendekezo kuhusu ubovu wa sera ya elimu kisha litazamwe. Ndio kazi za bunge. Sasa yeye anaenda kupiga kelele nje ya nchi kwa sababu hakubaliani na sera kweli?

Awajibishwe.

=========
Leo Ijumaa Januari 31, 2020 bungeni jijini Dodoma, Spika wa Bunge, Job Ndugai amesema wanamsubiri Zitto awaeleze kwa nini aliandika barua hiyo.

“Mtu unaweza kuwa na tofauti na sera au mtazamo kati ya wewe mbunge au upande wa Serikali na kadhalika, lakini kufikia mahali pa ‘kublock’ Tanzania isipate fursa fulani nadhani ni kwenda mbali mno.”

“Kwa sababu watoto watakaokosa fursa hiyo ni watoto wa Tanzania ni walimu wa Tanzania ni miundombinu ya elimu ya Tanzania, sijui katika hilo kama mbunge unanufaika nini maana kama ni suala la utofauti la kisera haya ni mambo ya kujadiliana tu,” amesema Spika Ndugai.

Katika kusisitiza hilo, Spika Ndugai amesema, “ningependa kutoa ushauri wa ujumla tu kwamba ni vema kutumia fursa yetu kama wawakilishi wa wananchi tukaelimishana tukaelezana kuliko kuwakosesha Watanzania fursa wakati baadhi yetu watoto wetu wapo Feza Boys, wapo Marian Girls halafu unablock msaada kwa watoto walio wengi wa wapiga kura wetu jambo ambalo halifai kabisa.”

Hata hivyo hapo jana Waziri wa zamani wa Viwanda na Biashara nchini Tanzania, Joseph Kakunda alisema kitendo cha Mbunge wa Kigoma Mjini (ACT-Wazalendo), Zitto Kabwe kuandika barua ya kutaka kuzuia mkopo wa elimu unaotolewa na Benki ya Dunia (WB) ni kituko nani aibu.

Kakunda aliyasema hayo bungeni jijini Dodoma wakati akichangia taarifa za kamati za Bunge za bajeti na Uwekezaji na Mitaji ya Umma.

“Naomba nizungumze masikitiko yangu dhidi ya barua moja ambayo mwenzetu mmoja (Zitto) ameiandika kutaka kuzuia fedha za miradi ya elimu ni kituko na ni aibu sana kwetu sisi wabunge kuona mwenzetu ameandika barua,” alisema Kakunda ambaye pia ni Mbunge wa Sikonge (CCM) mkoani Tabora

Alisema barua hiyo wangekuwa wameandika watu wa mashirika yasiyo ya kiserikali yeye asingestuka sana lakini kuandikwa na mbunge mwenzao wakati Serikali imepeleka Sh1 bilioni kwa ajili ya kukarabati Sekondari ya Kigoma iliyoko kwenye jimbo lake ni jambo la kusikitisha.

“Sasa hivi Sekondari ya Kigoma ni kama mpya. Na vilevile Serikali imepeleka zaidi ya Sh4 bilioni kwa ajili ya kuboresha elimu. Sasa anazuia zisije kwa haraka kwa ajili ya kuwasaidia watoto wa kitanzania nieleze masikitiko makubwa sana,”amesema.

“Nilitamani nipaze sauti huko aliko anisikie lakini kwa sababu yuko mbali naachia hapo lakini atasikia kutoka kwenye Hansard (kumbukumbu Rasmi za Bunge)" alisema Mh. Kakunda
Ukisoma barua ya zitto utaelewa Ni kitu gani alikuwa anazungumzia, amezungumzia vitu vingi Sana vya msingi lakini Cha ajabu watu wanaongelea tu suala la fedha, by the way zitto hajasema pesa hizo zisitolewe badala yake amesema ya kwamba zisitolewe Kwanza mpaka happy mabadiliko yatakapofanywa, ameongelea suala la uminywaji wa haki za kufanya siasa ikiwemo suala la kukusanyika kwa ajioi ya watu kutoa ya moyoni, ukiukwaji wa haki za binadamu, na n,k lakini Cha ajabu watu wanachoangaoua Ni pesa tu pengine wamesikia kwa mtu kuhusu barua na siyo wao wenyewe kuisoma
 
Back
Top Bottom