Bunge liazimie Zitto azuiwe Vikao vya Bunge mpaka 2025, kwa maana hata akishinda Uchaguzi ujao abaki kwenye kifungo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani angemsikiliza? Sana sana angezomewa na wagonga meza. Kwani ni mikataba mingapi ya hovyo imepitishwa pale bungeni? Wapinzani wakipinga na kutaka maboresho wanazomewa na kutolewa nje. Leo hii supika ndiyo anasema angemsilikiliza Zitto?
Sent using Jamii Forums mobile app
Na tunataka hela za beberu! Hapo ndio nashindwa kuelewa!Zitto ni pandikizi la mabeberu na ni adui wa nchi!
Kazi za mbunge zimeainishwa wapi na ni zipi?Kazi za mbunge zimeanishwa wazi kabisa hiyo ya kuwasiliana na benki ya dunia kwa kutumia Ofisi ya bunge na karatasi yenye nembo ya bunge haimo kwenye kazi za mbunge.
Na wewe umechapia..... Zitto wana kigoma hatumtakiHahahaha mkuu umekuja kwa kasi mpaka umechapia, Zito wananchi wanamkibali sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaishi kwa methali ya Kiswahili isemayo "Baniani mbaya, kiatu chake dawa".Na tunataka hela za beberu! Hapo ndio nashindwa kuelewa!
Usaliti ni nini?Safi sana Ndugai ,imefika kipindi bunge litunge sheria ya kuwabana wasaliti wa nchi kama Lisu na Zito
Sent using Jamii Forums mobile app
Lucifer mentality!Bunge liazimie Zitto azuiwe Vikao vya Bunge mpaka 2025, kwa maana hata akishinda Uchaguzi ujao abaki kwenye kifungo
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwezi kuwaelewa hao mkuu, ni sawa na uingie klabu ya pombe za kienyeji SAA 4 usiku pale kambi ya fisi utegemee utawaelewa wanaongelea nini!Na tunataka hela za beberu! Hapo ndio nashindwa kuelewa!
Zitto njoo huku mkuu, kuna watu wanataka kudondoka kwa pressure!!Ndugai amesema kama kulikuwa na tatizo la kisera, ni mambo ya kujadiliwa bungeni. Sio mara ya kwanza kutokea sera zikawa na udhaifu au zinahitaji maboresho.
Anasema Zitto alipaswa awasilishe maoni yake na mapendekezo kuhusu ubovu wa sera ya elimu kisha litazamwe. Ndio kazi za bunge.
Sasa yeye anaenda kupiga kelele nje ya nchi kwa sababu hakubaliani na sera kweli?
Awajibishwe.