johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hahahaaa.......adhabu hiyo inawafaa akina Kibajaji na Jah people msomi hafi njaa!Bunge liazimie Zitto azuiwe Vikao vya Bunge mpaka 2025, kwa maana hata akishinda Uchaguzi ujao abaki kwenye kifungo
Sent using Jamii Forums mobile app